Mbaroni kwa kumkamata, kumshambulia na kusambaza picha za utupu za waliyemfumania

Walimuombea adui njaa ila hawakufanikiwa shwaini zao
 
Watanyea debe kwa ushamba wa mapenzi!
 
Mkuu una uhakika walipeana talaka......au waliachana kimasihara.
 
Huwezi kuchunga mtu mzima. Ukimfumania mkeo
1. Umsamehe na mrudiane
2. Muachane
N. B
Kuwapiga picha au kuwachukua video ni uvunjifu wa sheria
Kumlawiti au kumpiga wagoni wako ni uvunjifu wa sheria
Hayupo binadamu yoyote duniani anayemiliki mwanadamu mwenzio
Hata mtoto. Akiwa tumboni ni wako ila akizaliwa siyo wako tena
Kwann uende jela kwasabb ya mwanamke ambaye mekutana ukubwani?
Kugongewa wife kunauma aise, afande aombe yasimkute.🚶🚶
 
Uko sahihi mkuu siyo sawa kuwatendea hayo ya ulawiti pia kuwapiga picha ila nilichosema mimi ni kugongewa kunauma sana ila sijajustify kwamba wafanyiwe unyama wakikutwa.
 
Kugongewa kunauma ila huwa haiepukiki km mwanamke kaamua.
Huwa tunalawaumu bure na kuwafanyia unyama wanaume wenzetu ila hawana makosa 100%. Wanawake waliolewa hawana alama
Kosa lipo kwa mwanamke mwenyewe. Mwanamke hata km ni mkeo upo naye kitandani akikataa kutoa mzigo huwezi kufanya chochote.
Uko sahihi mkuu siyo sawa kuwatendea hayo ya ulawiti pia kuwapiga picha ila nilichosema mimi ni kugongewa kunauma sana ila sijajustify kwamba wafanyiwe unyama wakikutwa.
 
Huyu yeye hakupigwa wala nini...ila..!!!
Your browser is not able to display this video.
 
Huyo mwamaume na ndugu zake hawana akili, yan walimpeleka huyo mama hadi kwa watoto na wakamuona mama yao bila nguo,mtoto wa kike akarudi ndani huku akilia
 
Naona tunaotembea na wake za watu tunahangaika kupata video tujue adhabu gani mpya kagewa mshirika mpaka polisi wameingilia kati
 
Huyo mwamaume na ndugu zake hawana akili, yan walimpeleka huyo mama hadi kwa watoto na wakamuona mama yao bila nguo,mtoto wa kike akarudi ndani huku akilia
Acha wakanyee ndoo familia nzima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…