[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Keyboard inapo kufanya kuwa mwamba mithili ya simba, ngoja udakweUsitutishe aise
Eti TCRA wawafichue, hizo ndoto kumbe mpaka leo unazondiyo, hii ni nchi yangu, ndio maaana nasema TCRA wawafichue wale wote walio husika na kushabikia uzushi, wakamatwe na hatua kali zichukuliwe dhidi yake, tena naomba safari hii kabla hawajafikishwa mbele ya mahakama waonyeshwe hadharani
Lijinga lenu lenye rohombaya limeshakufa hukoUnajifariji
Huyo dada ni mjinga, kafanya biashara na watu wengi humu Ila anaendeshwa na upepo wa wanasiasa bila kujua wale wapo kwenye kazi yao ya siasa.[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Keyboard inapo kufanya kuwa mwamba mithili ya simba, ngoja udakwe
Ndiyo msambaze taarifa zenye taharuki, unajua ndugu wa mheshimiwa wangapi wana matatizo ya presha nk what if katika uvumi huo ikawapa presha na kuwapoteza kwa taarifa zisizo na ukweli, kwanin msikae kimya tu msuburi matamko ya serikali, halafu chuki hailipwi kwa chukiFeatures of dictatorship is controlling freedom of expression
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa si uende ukalizike?Lijinga lenu lenye rohombaya limeshakufa huko
[emoji23][emoji23]Ugali wa moto mboga ya moto.
Ofsini kwakeHivi Jiwe yuko wapi?!
Wasaidie kama hawajamkata,Wanakamata dagaa wanamuacha kigogo huu ni uonevu
Wanamsaka wapi sasa? Kwenye mtandao au huku uraiani au popote pale?
Halafu, hivi yule E.Chahali ana akili timamu kweli?
Magogoni, chattle ama domOfsini kwake
Tusubiri msemaji wa serikali atakapo tolea tamko afya yake, kwanini kujipa tabuHivi Jiwe yuko wapi?!
Unajua Leo nimeshangaa Sana watu ambao tumekuwa tukiwasiliana kuhusu biashara na maneno wanayoyatoa. Lakini pia nawaza Kama unataka kufanya hayo yote why unaji-engage kwenye business Tena na id ileile?Lijinga lenu lenye rohombaya limeshakufa huko
Hawa wapuuzi, wameshindwa wenye nguvuKigogo huwa anakuwa na baba,mdogo,watoto na ukoo mzima, ina maana wote wanasakwa?
Ku support uzushi/uvumi nawe unakua kwenye hatiaHuyo charles Majura kumbe ndiyo huyo ambaye anaitwa Kigogo 2014.maana ndiye aliyetweet
Huyo jamaa nadhani hajielewi humu kishawasilianaa na watu wengi kuhusu business, lakini hapo naona anatukana matusi yote bila sababu zozote. Hakuna justification ya kutukana.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa si uende ukalizike?
Subiri 2025 litakugonga kisawa sawa
Huu uelewa mwingine ni shida!Chahali ndo Kigogo Duh.!
Jiwe ni attention seaker! Utashangaa anaibukia feri kununua samaki na mapapaiTusubiri msemaji wa serikali atakapo tolea tamko afya yake, kwanini kujipa tabu