miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
no nonoπ
Tufanye exchange of goods with goods kama kwenye historia ya form one π
Yupi hajamwonaMbasha angetafuta mdhaifu mwenzake halafu aoe, kwa sasa anafanya ujinga tu
no nono
mimi unanipanua wakati yako haibadilikiMiss chagga, plz si kila mmoja ana vifaa vinavyo mhitaji mwingine jamani.
Come on, Miss Chagga πππππ
Kwani mbasha anasoma jf nilitaka kumkumbsha jambo
Ujumbe upi sasa mbona hujausema!Mbasha amesema kijana aliyemuoa flora hana tatizo naye na alikua hamjui na wala hajawahi kumletea matatizo ila aliyemletea tatizo ni jamaa mmoja ambaye watanzania wote wanamfahamu.
Pia amesemapia flora alimuoa akiwa mama wa nyumbani na kumfanya afahamike na Tanzania na dunia ila alimuacha kwa sababu anazozijua yeye ila alikuwa na fedha za kutosha
mimi unanipanua wakati yako haibadiliki
haipo hiyoAiseeeh,
Haaa haaaaa haaaa, no plz I won't enlarge it ! πππ
[emoji1] [emoji1] [emoji1] na pesa natakaMiss chaga ana miguu mwembamba. Hana jicho hana makario kama alivyo frola
Inatakiwa kunyamaza!Ingekuwa mimi ndie Mbasha ningenyamaza kimya
haipo hiyo
True madame. Akae kimya maisha yasonge mbele. Warembo mpo wengi.mbasha kaa kimya tu usijeonekana mfa maji
huh.....hivi viingereza!!..ama kweli the Heart wants what it wants..
haipo hiyo