Mbasha na Nabii Shillah ngoma nzito

Huu umbea mbona sijawahi kuusikia, huyo shillah na sura kama nguchiro atampata nan labda awadanganye na hivo vijihela
Nguvu ya pesa binamuuuh, si watoto wa chuo wanawarubuni kwa kuwapa pesa, mavazi, kuwapangia apartments, na kuwapeleka sehemu za starehe.
Mtu gan smart gay akubali kudate na shillah lol.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila binamu bhanaaah,
 
Watu wengi hawamfahamu,wamemfahamia mtandaoni!
Baba na mama both ni RPC km sikosei!
Sio kwamba wana shida kwao,kamaliza form 6 hapo st.Antony!
Na alikuwa vzr tu,sijui nn kimetokea hapo katikati!
Duh ila yezebel anapiga kazi sio mchezo!,anahakikisha anamgeuza mtu kabisaa mpk anakua kituko sio vile Mungu alivyomkusudia
 
Aisee [emoji119]
 
Eti kapata umaarufu baada ya kulambwa mtama?[emoji13]
 
Muacheni jamaa apige hela dunia ya Sasa unahitaji kuwa na akili za kuwatawala watu fikira zao ndio utatusua kimeisha
 
Yezebel ndio nani huyo 😲
 
Mara aingie kwenye siasa mara aingie kashfa za utapeli, mara awatishie watu kuwa baba yake ni RPC atawaweka ndani yani tafrani bado watu wanamuona ni nabii

Sijui mitanzanania akili zao wanaziwekaga wap, hizo pesa bora tu wapeleke kwa waganga kuliko kwa hilo linabiii fake
 
Nipo binamu nilipigwa Ban flani kandamizi na onevu, Sasa mpaka Ban hiyo katili imeisha nimejikuta sipo sana Jf nimejipata niko kwenye kusoma vitabu zaidi. huku jamvini nakuja mara chache.

Pole sana aiseh binamu, ila bora umerudi, ukiwa legend BAN sunna, mie nimepigwa NaN Naona had ma mods wamenivulia kofia mdomo ndo siachi[emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…