Nguvu ya pesa binamuuuh, si watoto wa chuo wanawarubuni kwa kuwapa pesa, mavazi, kuwapangia apartments, na kuwapeleka sehemu za starehe.Huu umbea mbona sijawahi kuusikia, huyo shillah na sura kama nguchiro atampata nan labda awadanganye na hivo vijihela
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila binamu bhanaaah,Shillah ni tapeli na mshirikina snaa yule , kama Kweli sio tapel angeenda kumshtaki mbasha na sio kumfuata wayamalize Yan mpaka hapo watu bado hawaamin Jamaa ni tapeli
Mi mara ya kwanza tu namuona nikajisemea hapa hakuna mtumishi wa Mungu , anatongoza mno vitoto vya watu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaahNa wewe upelekwe wap mume wangu
Yaan mie wakijaga kwangu, huwa sina mda wa kusoma, napita hiviiioh.Mi mwenyew mwanga, wawadanganye hao hao wagen wa mji
Sina mda mchafu wakuvulia wajinga chupi, nitake radhiUlimvulia chupi??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sina mda mchafu wakuvulia wajinga chupi, nitake radhi
Pole Daudi.Nipo binamu nilipigwa Ban flani kandamizi na onevu, Sasa mpaka Ban hiyo katili imeisha nimejikuta sipo sana Jf nimejipata niko kwenye kusoma vitabu zaidi. huku jamvini nakuja mara chache.
Kosa ni matumizi ya neno "kihiyo" sikujua kuwa ni tusi hasa ukiliekekeza kwa mods.Pole Daudi.
Niliiyona ile Ban yako..Kosa lilikuwa kusupport ule uzi?
Duh!!! Pole.Kosa ni matumizi ya neno "kihiyo" sikujua kuwa ni tusi.
Watu wengi hawamfahamu,wamemfahamia mtandaoni!Ila kiukwel kilichonishtusha nilipoanza kumfuatilia huyu nabii ni tendency yake ya kugawa hela kanisani, utadhan lil wyne yupo stejini ana-flaunt his dollars, hapo ndipo nilipomuhamisha chemba nyingine ya akili zangu. Afu kuna kipindi alitaka kugombea ubunge huku kwetu Ifakara ila anasema figisu figisu sijui nn akahama chama had kashindwa, ila baba ake ni RPC. Jamaa ana mambo mengi huyu!
Yaani,duh!Mhhhh kweli tapeli ila vingine mnajitungia.
Aisee [emoji119]Huyu shillah ana scandal chafu sana, sio utapeli tyuuh ni Gay, kadate na james delicious alimpa gari atembelee week 1 kampora tena, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Now anamla kijana m1 wa chuo CBE, kampangia appartment mbezi beach.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan futuhi tupu lol.
Yezebel ndio nani huyo 😲Watu wengi hawamfahamu,wamemfahamia mtandaoni!
Baba na mama both ni RPC km sikosei!
Sio kwamba wana shida kwao,kamaliza form 6 hapo st.Antony!
Na alikuwa vzr tu,sijui nn kimetokea hapo katikati!
Duh ila yezebel anapiga kazi sio mchezo!,anahakikisha anamgeuza mtu kabisaa mpk anakua kituko sio vile Mungu alivyomkusudia
Mara aingie kwenye siasa mara aingie kashfa za utapeli, mara awatishie watu kuwa baba yake ni RPC atawaweka ndani yani tafrani bado watu wanamuona ni nabii
Nipo binamu nilipigwa Ban flani kandamizi na onevu, Sasa mpaka Ban hiyo katili imeisha nimejikuta sipo sana Jf nimejipata niko kwenye kusoma vitabu zaidi. huku jamvini nakuja mara chache.