Una akili finyu sana!Chama ni kimoja tu hapa Nchini ambacho ni CCM .hivyo vingine ni vikundi tu vya watu kwa ajili ya usaka Tonge.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una akili finyu sana!Chama ni kimoja tu hapa Nchini ambacho ni CCM .hivyo vingine ni vikundi tu vya watu kwa ajili ya usaka Tonge.
it might be, you never know 🐒Huenda anaandaliwa kuvuruga uchaguzi ujao! Anataka kuunda branch nyingine ya Chama pendwa.
covid 19 watakuwemo pia. chadema chaliHiki ndio kitakuwa Chama kikuu cha upinzani kweli kweli. Weka humo Dkt slaa, Mwambukusi, Tundu Lissu, Luhaga Mpina, Msigwa, Babu Duni,
My foot 🦶this is politics and not taarabu 🐒
Kiongoz Elli uliishaambiwa nchi hii imejaa watu wajinga sana huo niujumbe tosha usiumize kichwa!Mara Lissu mara Mbatia, hizi nguvu za kujadili wanaume wenzenu mnazipataga wapi??
usipoumiza kichwa chako, Lazima utaumizwa wewe sasa upende usipende labda sijui ukaishi sayari gani 🐒Kiongoz Elli uliishaambiwa nchi hii imejaa watu wajinga sana huo niujumbe tosha usiumize kichwa!
taratibu tu utazielewa, ukizifiatilia kwa karibu bila kutegemea upande fulani wala kua na majibu au majawabu yako mfukoni juu ya masuala mbalimbali kwenye hizo siasa....Sijawahi kuzielewa siasa za Bongo
CCM siyo chama cha siasa ni genge la wahuni na raia feki ...kwao uzalendo ni mafii ....Ibada yao ni kuwa tumikia mabeberu na waarabuChama ni kimoja tu hapa Nchini ambacho ni CCM .hivyo vingine ni vikundi tu vya watu kwa ajili ya usaka Tonge.
CCM Ndio Tumaini la watanzania.ndio chama chenye uchungu na maisha ya watanzania.ndio maana kinaungwa mkono na mamilioni ya watanzania.ma cha siasa ni genge la wahuni na raia feki ...kwao uzalendo ni mafii ....Ibada yao ni kuwa tumikia mabeberu na waarabu
relax basi muungwana 🐒Wewe kweli ni zuxu ...ccm siyo chama cha siasa ni genge la wahuni na raia feki ...kwao uzalendo ni mafii ....Ibada yao ni kuwa tumikia mabeberu na waarabu
Ccm sio chama cha siasa, bali ni genge la Dola lililojivika koti la chama cha siasa.Chama ni kimoja tu hapa Nchini ambacho ni CCM .hivyo vingine ni vikundi tu vya watu kwa ajili ya usaka Tonge.
Mamilioni ya watanzania au mamilioni ya kura fake?CCM Ndio Tumaini la watanzania.ndio chama chenye uchungu na maisha ya watanzania.ndio maana kinaungwa mkono na mamilioni ya watanzania.
Mwanzo ACT ilipewa nguvu ya fedha na genge la msoga gang, kwenye uchaguzi wa 2015 wakasimamisha wagombea nchi nzima. Alivyoingia Magufuli alikuwa hampendi Zito na genge la msoga gang akawapotezea. ACT walifaidika na mgogoro wa CUF.Unless kitapata ufadhiri wa Abdul .... Chama siyo mchezo.
Hata ACT wameponea Nguvu ya Maalim Seif kutoka CUF....!!