Tetesi: Mbatia kuanzisha chama kipya cha siasa

Tetesi: Mbatia kuanzisha chama kipya cha siasa

Maalim Seif na Lowasa hawa watu walikuwa ni taasisi, kama huzijui nguvu zao basi huzielewi vizuri siasa za Tanzania.

Licha ya wizi wa kura Lowasa alipata kura million 6, Arusha aliongoza Lowasa, Zanzibar aliongoza Lowasa kwa influence ya Maalim Seif na huu ni ushahidi wa wazi aliyeshinda Urais Zanzibar alikuwa Maalim Seif na Dr Shein alishakubali kushindwa.
Mkuu uko sahihi, kama Lowassa alikuwa na hizo nguvu akiwa na miezi miwili ndani ya cdm, je akiwa na miaka miwili nguvu zake zilienda wapi?

Maalimu Seif alikuwa na nguvu za kweli za kisiasa huko Zanzibar, ningebisha hapa hapo ningekuwa sijui vizuri siasa za Zanzibar. Mkuu hizo nguvu za Lowassa Mimi sikuziona zaidi ya kuwa na hela za kuhonga Ili kupata publicity. Cdm bila Lowassa ingepata kura ilizozipata na hata zaidi.

Kikubwa zaidi bila Lowassa cdm ingebaki na sifa yake ya kitaasisi badala ya kuokota mgombea aliyekuwa haamini kwenye itikadi Yao, zaidi ya kusaka madaraka. Katika hilo viongozi wa cdm walitukosea sana tuliokuwa tunataka mabadiliko ya kweli. Au mkuu ww ndio ulitoa ushauri kwa cdm kuokota yule mgombea wa vodafasta aliyekuwa mgonjwa, hata kuongea jukwaani alikuwa hawezi 😂
 
Mkuu uko sahihi, kama Lowassa alikuwa na hizo nguvu akiwa na miezi miwili ndani ya cdm, je akiwa na miaka miwili nguvu zake zilienda wapi?

Maalimu Seif alikuwa na nguvu za kweli za kisiasa huko Zanzibar, ningebisha hapa hapo ningekuwa sijui vizuri siasa za Zanzibar. Mkuu hizo nguvu za Lowassa Mimi sikuziona zaidi ya kuwa na hela za kuhonga Ili kupata publicity. Cdm bila Lowassa ingepata kura ilizozipata na hata zaidi. Kikubwa zaidi bila Lowassa cdm ingebaki na sifa yake ya kitaasisi badala ya kuokota mgombea aliyekuwa haamini kwenye itikadi Yao, zaidi ya kusaka madaraka. Katika hilo viongozi wa cdm walitukosea sana tuliokuwa tunataka mabadiliko ya kweli. Au mkuu ww ndio ulitoa ushauri kwa cdm kuokota yule mgombea wa vodafasta aliyekuwa mgonjwa, hata kuongea jukwaani alikuwa hawezi 😂
Wewe una mizuka tu huijui vizuri siasa, hakuna chama kinachoweza kukataa mtaji wa kisiasa.

Inawezekana umejuwa Lowasa juzi tu akiwa mgonjwa, humjui Lowasa tangu enzi za boys two men.

Cc: Pascal Mayalla
 
Wewe una mizuka tu huijui vizuri siasa, hakuna chama kinachoweza kukataa mtaji wa kisiasa.

Inawezekana umejuwa Lowasa juzi tu akiwa mgonjwa, humjui Lowasa tangu enzi za boys two men.

Cc: Pascal Mayalla
Mtaji wa kisiasa unaokaa miaka miwili unarejea ulikotoka kwa kushindwa kupambana?! Kwahiyo cdm walimchukua Lowassa kwa historia yake na sio uwezo wake? Na kwa kukusaidia tu, Lowassa hakuwahi kufanya siasa nje ya siasa za ccm, na siasa za ccm zinategemea mbeleko ya vyombo vya dola, na hela za rushwa.

Narudia tena, cdm kwa Lowassa walibug kinoma. Aliwaingiza mjini cdm kuwa atakuja na mtaji wa wabunge 50 wa majimbo wa ccm, alimchukua nani aliyekuwa active huko ccm, zaidi ya chawa wake akina Msindai? Sasa kama alishindwa kushawishi hao wanaccm wenzake, hiyo nguvu ya kuleta kura 6m aliitoa wapi?

Huyo Lowassa namfananisha na mtu aliyekuta chakula mezani, akaanza kugawa vidari vya kuku, kisha wajinga wanamsifia ni bonge la mpishi. Kama kweli Lowassa angekuwa na nguvu hizo mnazompamba nazo, angekuwa mgombea wa TLP kisha awapatie hata kura laki 5. Mkuu pitia vizuri hiyo siasa unayojua, propaganda zimekupofusha. Sio Kila mtaji ni mtaji kwa taasisi, mwingine ni deal za viongozi.
 
sure,
ni kweli CCM ndio maisha ya waTanzania...

CCM ndio dira, tumaini, tegemeo na uelekeo wa wanainchi waTanzania......

CCM ndio furaha, amani, ulinzi, utulivu na usalama wa waTanzania....

CCM ndio afya bora ya wanainchi, CCM ndio maji, ndio barabara za waTanzania, ndio elimu ya waTanzania, ndio umeme, ndio kilimo, uvuvi, usafirishaji, ufugaji bora miongoni mwa wanainchi na waTanzania wote kwa ujumla......

anataka kusema nini huyo muungwana, wakati uhuru wa kujieleza, uhuru wa habari anao enjoy sasaivi hiyo ni CCM pure 🤣
Naam...natupo hapa tulipo.kwa sababu ya CCM.!
 
Naam...natupo hapa tulipo.kwa sababu ya CCM.!
Kuna watu hadi Leo hawajui maji safi achana n salama,umeme ni anasa, wanatembea Km 10.kqenda kupika malaria, makazi.duni..nk.
Upande mwingine Kuna mtu.mmoja anayembelea gari la M500!
 
Hiki ndio kitakuwa Chama kikuu cha upinzani kweli kweli. Weka humo Dkt slaa, Mwambukusi, Tundu Lissu, Luhaga Mpina, Msigwa, Babu Duni,
Chama ni CHADEMA tu hivyo vingine vinapoteza muda tu. Mbatia akitaka kubaki relevant ajiunge CHADEMA arudi bungeni kujenga hoja nzito aachane na vyama vya mfukoni.
 
Wachaga na vyama vya siasa wana ajenda gani,Mbowe,Semu,Selasini,Mbatia, Mrema, nk wote walipenda uwenyekiti wa ma vyama.
 
Kabla hajaanzisha kwanza aeleze kwa nini walimfukuza NCCR?
 
Chama ni kimoja tu hapa Nchini ambacho ni CCM .hivyo vingine ni vikundi tu vya watu kwa ajili ya usaka Tonge.
Mkuu kwani CCM hakisaki tonge?? Kama sivyo kina fuata nini kwenye uchaguzi??? Kama ni cha ukweli kwa nini kifanye wizi kwenye uchaguzi???
 
Hiki ndio kitakuwa Chama kikuu cha upinzani kweli kweli. Weka humo Dkt slaa, Mwambukusi, Tundu Lissu, Luhaga Mpina, Msigwa, Babu Duni,
Mbatia aliongoza NCCR kwa zaidi ya miaka 20 na hakufanikiwa kukirudisha kuwa chamq kikuu cha upinzani , kitakuwa hicho kipya!!
Kitendo cha yeye kuanzisha chama kwenye nchi iliyojaa vyama tayari ameonyesha ubinafsi.
Sidhani kamq anaweza kuwavutia watanzania wamuamini.
 
Back
Top Bottom