Tetesi: Mbatia kuanzisha chama kipya cha siasa

Ccm sio chama cha siasa, bali ni genge la Dola lililojivika koti la chama cha siasa.
Usiifananishe CCM na take magenge vile vikundi vingine vya udalali na utapeli wa kisiasa vinavyojiita vyama vya siasa. CCM Ni Chama Kiongozi barani Afrika.
 
Tunashinda ya utitiri wa vyama au katiba mpya??

Tukiwa na katiba Bora na mpya hata ccm ikitawala si tatizo

Mwaka 1995 Nyerere aliitisha press conference kujadili nyufa za taifa

Waandishi wakamchomekea majina ya watu. Akawa mkali sana akasema "sikuja kujadili watu nimekuja kujadi maswala ya nchi"

Nchi haiitaji vyama inahitaji dira sahihi
 
Mwanzo ACT ilipewa nguvu ya fedha na genge la msoga gang, kwenye uchaguzi wa 2015 wakasimamisha wagombea nchi nzima. Alivyoingia Magufuli alikuwa hampendi Zito na genge la msoga gang akawapotezea. ACT walifaidika na mgogoro wa CUF.
and that is politics,
hata chadema na NLD walifadika na ujio wa hayati E. N Lowasa2015, Lakini pia wakafaidika kwa ACT ya zito kumtema Membe na kumuunga mkono mgombea urasi wa Chadema ambae pia ni puppet ๐Ÿ’

miongoni mwa maombi mengi sana ,miongoni mwa vyama vingi vya siasa duniani ni kuombeana ajali ajali za kisiasa zitokee kwa wengine, huenda wao wakanufaika kwa namna moja ama nyingine ๐Ÿ’

kutokuaminia, ubinafsi, uhasama, kutokupendana, kutokuungana ni ishara na dalili ya wazi kabisa ya kwamba adui yako muombee njaa ๐Ÿ’

Lakini kitu muhimu zaidi kufahamu na kujua, kuendesha chama cha siasa requires a lot of money, man power potential organs and credible individuals to run it.....

But in elections,
there must be huge chain of money but also huge financial muscles.

Otherwise utalaumu kuibiwa kura maisha yako yote kisiasa ๐Ÿ’
 
Chama ni kimoja tu hapa Nchini ambacho ni CCM .hivyo vingine ni vikundi tu vya watu kwa ajili ya usaka Tonge.
Comred kuna vitu sio vya kuviongea. Kwa hiyo chama kinashindana na vikundi vya wasaka tonge?

Inapasa tukumbuke kuwa, kukosekana kwa upinzani imara ni matokeo ya CCM kutokutekeleza ilani yake ya uchaguzi.

JK alilijua hili na ndio maana alifanikiwa sana kiutawala. Kuitawala nchi alafu ukatoka madarakani wananchi wanakupenda ni mafanikio ya hali ya juu kisiasa
 
Wakati mapalala anaanzisha CUF ofisi ilianzaaga nyumbani kwake
Mimi wakat huo nlikuw kijana kadogo nlienda kwake kusikia sera
Zake mzee wangu yule nahisi johnthebaptist alikuwepo,lazimaa

Ova
 
Vp unatakuwa mwnachama wake nini au unasubiria sera za chama ๐Ÿ˜„ mwanangu
Maana umetuahidi utagombea ubunge chama ndiyo hicho

Ova
young professionals and visionary politicians leaders, huwaga hatubabaiki bali kusaidia kutoa tahadhari za kisiasa, uelekeo na kuonyesha njia vijana ili tusonge mbele pamoja ๐Ÿ’

by the way,
wakati nafundisha chuo kikuu kimoja hapo mjini,
politicians wengi humu nchini, wa vyama mbalimbali wamekuja kuniomba niomba ushauri wa kisiasa sana tu. Na kwa vile mimi si mchoyo na wala sina hiyana nimewapatia maoni na ushauri ambao wengi sana wamenifaika nao ๐Ÿ’

Hata hivyo mimi ni kiongozi wa wanainchi,
mtaalamu na mbobezi wa siasa za Chama Tawala nchini Tanzania, na siasa za vyama vingi barani Africa. Mengine ni porojo na stori za hapa na pale tyuuuu ๐Ÿ’
 
Wana.mikakati watu wabaya sana! Yaani Mbatia alipokonywa CHAMA CHAKEkirahisi vile!
 
Wana.mikakati watu wabaya sana! Yaani Mbatia alipokonywa CHAMA CHAKEkirahisi vile!
politics is very interesting game ๐ŸŽฎ

you mesup you loose completely ๐Ÿ’

and sometimes is a dirty game ๐Ÿคฃ
 
Cdm wafaidike na ujio wa Lowassa akiwa na miezi miwili, kisha akiwa na miaka miwili asiwe na mchango wowote?! Uza ubongo huo ๐ŸŒˆ
 
Chama ni kimoja tu hapa Nchini ambacho ni CCM .hivyo vingine ni vikundi tu vya watu kwa ajili ya usaka Tonge.
Hicho siyo chama ni genge...
Bila kubebwa na Dola (polisi, tume ya uchaguzi, nk) genge la ccm hawatoboi kokote
 
Cdm wafaidike na ujio wa Lowassa akiwa na miezi miwili, kisha akiwa na miaka miwili asiwe na mchango wowote?! Uza ubongo huo ๐ŸŒˆ
mim nakusaidia kukuongezea ufahamu na uelewa mpana zaidi juu ya mambo haya ya kisiasa, yawezekana umesahau au unajisahaulisha makusudi ๐Ÿ’

ukishupaza shingo itavunjika na hasara utapata wewe mwenyewe, na wala si mimi mnyonge ๐Ÿ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ