Mbona wewe kipindi cha Jiwe ulilikimbia jukwaa lkn hatukukuuliza sababu?Mbatia kwanza aseme kwanini wamefukuza NCCR Mageuzi?
Na wewe utuambie hapa kwanza, ni kwa nini wakati wa utawala wa Rais Magufuli, ulikuwa unapinga kila kitu humu jukwaani, ila kwenye awamu hii kila kitu unasifia.Mbatia kwanza aseme kwanini wamefukuza NCCR Mageuzi?
Kisa ni msaraba na kibandikoNa wewe utuambie hapa kwanza, ni kwa nini wakati wa utawala wa Rais Magufuli, ulikuwa unapinga kila kitu humu jukwaani, ila kwenye awamu hii kila kitu unasifia.
Kweli tupu, Polisi wapewe 125 billion za nini?Mbatia ametoa rai kwa Rais samia /serikali kuwa isiwekeze shiling 125 billioni kuimarisha uovu, badala yake iziweke kwenye kuendeleza maisha ya watanzania. Ametoa mfano, zikiwekezwa Muhimbili, zitatoa huduma bora kwa watu wake!
Siyo kweli, weka ushahidi.Na wewe utuambie hapa kwanza, ni kwa nini wakati wa utawala wa Rais Magufuli, ulikuwa unapinga kila kitu humu jukwaani, ila kwenye awamu hii kila kitu unasifia.
Kununua vifaa vya kujindaa na uchaguzi zijazoKweli tupu, Polisi wapewe 125 billion za nini?
Wakati wa Jiwe ulikonda kama sindanoWanaongelea vitisho vya kijinga na kuwatia taharuki raia.
Hawa wa kufinywa tu.
Siyo kweli, weka ushahidi.
Kwasababu Samia aliwatuma vibaraka wake wakaivuruge NCCR, leo NCCR - Mageuzi ndio imesahaulika kabisa.Mbatia kwanza aseme kwanini wamefukuza NCCR Mageuzi?
Tena niliikimbia kabisa nchi, kama Lema.Wakati wa Jiwe ulikonda kama sindano
Wacha kujilinganisha na nabii wa nchii hiiTena niliikimbia kabisa nchi, kama Lema.
wamekuwa NEC?Kununua vifaa vya kujindaa na uchaguzi zijazo
Shujaa Magufuli alitisha sana 😂😂🔥Tena niliikimbia kabisa nchi, kama Lema.
waanzishe tu chama chao kipya. soon kitakuwa hewani.Mbatia kwanza aseme kwanini wamefukuza NCCR Mageuzi?
“Great minds discuss ideas; average minds discuss events; small minds discuss people” - Eleanor RooseveltMbatia kwanza aseme kwanini wamefukuza NCCR Mageuzi?
Hana shukrani huyo yani pamoja na Magufuli kuomba ujengwe msikiti ila bado alikuwa anampinga tu.Na wewe utuambie hapa kwanza, ni kwa nini wakati wa utawala wa Rais Magufuli, ulikuwa unapinga kila kitu humu jukwaani, ila kwenye awamu hii kila kitu unasifia.
Lakini ndio tuliendeleza mashambulizi mpaka moyo ukamsimamaShujaa Magufuli alitisha sana 😂😂🔥