Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,176
- 10,068
Kama Jiwe alivyokufinyeniWanaongelea vitisho vya kijinga na kuwatia taharuki raia.
Hawa wa kufinywa tu.
Siyo kweli, weka ushahidi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama Jiwe alivyokufinyeniWanaongelea vitisho vya kijinga na kuwatia taharuki raia.
Hawa wa kufinywa tu.
Siyo kweli, weka ushahidi.
Muulize mwenyejiti wa maisha.Kama Jiwe alivyokufinyeni
Jiwe alitapeliwa na Mwenyekiti, Mtoto wa MjiniMuulize mwenyejiti wa maisha.
Wengine tulimpisha mwenye nguvu apite, kama Lema.
MwenyekitiMuulize mwenyejiti wa maisha.
Wengine tulimpisha mwenye nguvu apite, kama Lema.
Nilifurahia sana kwa jinsi ulivyokuwa unaishi kama popo juu ya mitiMuulize mwenyejiti wa maisha.
Wengine tulimpisha mwenye nguvu apite, kama Lema.
Muulize Lema aliishi vipi Canada.Nilifurahia sana kwa jinsi ulivyokuwa unaishi kama popo juu ya miti
Yaani unajilinganisha wewe na mtabiri wa taifa?Muulize Lema aliishi vipi Canada.
whatever, sasa polisi wanapiga kura? vitendea kazi vya kupiga kura kwa polisi ni nini? kama siyo mabomu ya kuumiza wapinzani... elewa udikiteia wa samiaSiyo kununua vifaa ni kununua vitendea kazi. Vifaa inaweza kuwa mikanda, Buti n.k lakini vitendea ni tofauti kabisa
A second wave of liberation strugle!Ni utaahira mkubwa sana kutumia mabilioni ya kodi zetu kununulia vifaa vya kudhuru walipa kodi badala ya kununua vifaa vya kuokoa maisha ya watu wakati wa maafa.Tumeona mara kadhaa yanapotokea maafa kama ajali za moto au za majini mamia ya watu wetu wakipoteza maisha kwa kukosa zana sahihi za kuwaokoa,mf. MV Bukoba na nyinginezo. Kama kweli uchaguzi unakuwa huru na haki kwa nini mbashiri machafuko? CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala.
Magari ya washawasha ?! Au ??! 😅🙏Uovu
Ccm huwaga hawajiamini hata kidogo linapofika suala la maamuzi ya kumtafuta mtawala ajaye.whatever, sasa polisi wanapiga kura? vitendea kazi vya kupiga kura kwa polisi ni nini? kama siyo mabomu ya kuumiza wapinzani... elewa udikiteia wa samia
Unauliza ndevu kwa Osama?Magari ya washawasha ?! Au ??! [emoji28][emoji120]
Kumbe siku ile tunagegedana pale ulikuwa unakimbia nchi?Tena niliikimbia kabisa nchi, kama Lema.
Nikupongeze kwa kuwa na moyo wa kungegeda ajuza kama huyoKumbe siku ile tunagegedana pale ulikuwa unakimbia nchi?
Ilibidi nimsaidie tu mkuu!Nikupongeze kwa kuwa na moyo wa kungegeda ajuza kama huyo
Yale yale ya Mwendazake.....this time watakodisha wa wapi?Serikali imetenga fedha hizo kununua silaha kudhibiti lolote katika kipindi cha chaguzi zijazo . Hii ni sambamba na kumteua mchengelwa kwa vile ana kifua kitumike katika tamisemi chaguzi za mwaka kesho....