Mbatia: Tusiwekeze fedha zetu 125 bilioni kwenye uovu

Mbatia: Tusiwekeze fedha zetu 125 bilioni kwenye uovu

Sijui kwanini viongozi wanakosa 'uono' kwa kiasi hiki!
Anyway, huenda ndio njia rahisi ya kuzipiga kama zile za uniform za mapolisi.
 
Wapiga kura namba moja Tanzania waanza kujipanga😁😁😁
AXXf2.jpeg
 
Hivi itakaa itokee hawa wafuasi wa ccm wakajitambua na kuwa na akili kweli!
Tuanze kufunga na kuwaombea ili wajitambue, ikishindikana "tuwasomee kisomo" watuachie nchi yetu tusonge mbele.
 
Siyo kununua vifaa ni kununua vitendea kazi. Vifaa inaweza kuwa mikanda, Buti n.k lakini vitendea ni tofauti kabisa
whatever, sasa polisi wanapiga kura? vitendea kazi vya kupiga kura kwa polisi ni nini? kama siyo mabomu ya kuumiza wapinzani... elewa udikiteia wa samia
 
Ni utaahira mkubwa sana kutumia mabilioni ya kodi zetu kununulia vifaa vya kudhuru walipa kodi badala ya kununua vifaa vya kuokoa maisha ya watu wakati wa maafa.Tumeona mara kadhaa yanapotokea maafa kama ajali za moto au za majini mamia ya watu wetu wakipoteza maisha kwa kukosa zana sahihi za kuwaokoa,mf. MV Bukoba na nyinginezo. Kama kweli uchaguzi unakuwa huru na haki kwa nini mbashiri machafuko? CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala.
A second wave of liberation strugle!
 
whatever, sasa polisi wanapiga kura? vitendea kazi vya kupiga kura kwa polisi ni nini? kama siyo mabomu ya kuumiza wapinzani... elewa udikiteia wa samia
Ccm huwaga hawajiamini hata kidogo linapofika suala la maamuzi ya kumtafuta mtawala ajaye.
 
Serikali imetenga fedha hizo kununua silaha kudhibiti lolote katika kipindi cha chaguzi zijazo . Hii ni sambamba na kumteua mchengelwa kwa vile ana kifua kitumike katika tamisemi chaguzi za mwaka kesho....
Yale yale ya Mwendazake.....this time watakodisha wa wapi?
 
Back
Top Bottom