kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,257
- 12,244
Anzisha uzi wake , changia mada iliyopo mezaniMbatia kwanza aseme kwanini wamefukuza NCCR Mageuzi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anzisha uzi wake , changia mada iliyopo mezaniMbatia kwanza aseme kwanini wamefukuza NCCR Mageuzi?
Siku AGANO LENU LA MWEGE LIKIFA linalopumbaza Watz LIKIFA mtatafuta pa kukimbilia hamtapaonaHizo hela ni ndogo Sana kuwashughulikia wanaosumbua serikali kufanya kazi ya kuwaletea maendeleo wananchi, polisi waongezewe fungu ili wawanyoshe kina mdudu.
Kwa hiyo kwa msg yako hii inafanya Mchengelwa kuwa sio mwenza wa mtoto wa Samia? Na je kwa comment yako hii inaondoa ukweli kuwa Abduli( mtoto wa Samia) wa kiume hakuiwakilisha Tanganyika huko Uganda kwenye mazungumzo ya nishati na Rais Mseveni? Je kwa comment yako hii tayari umehalalisha billion 125 zitumike kununua silaha kwa ajili ya uchaguzi?Mbatia kwanza aseme kwanini wamefukuza NCCR Mageuzi?
ccm ni ziro brain, hizo pesa wangezielekeza kwenye katiba mpyaMbatia ametoa rai kwa Rais samia /serikali kuwa isiwekeze shiling 125 billioni kuimarisha uovu, badala yake iziweke kwenye kuendeleza maisha ya watanzania. Ametoa mfano, zikiwekezwa Muhimbili, zitatoa huduma bora kwa watu wake!
Serikali imetenga fedha hizo kununua silaha kudhibiti lolote katika kipindi cha chaguzi zijazo . Hii ni sambamba na kumteua mchengelwa kwa vile ana kifua kitumike katika tamisemi chaguzi za mwaka kesho....
Waovu wameanza kuwasiliMbatia kwanza aseme kwanini wamefukuza NCCR Mageuzi?