Pamoja na kuwavimbisha matumbo ila bado mnaongeza silaha tu?Hizo hela ni ndogo Sana kuwashughulikia wanaosumbua serikali kufanya kazi ya kuwaletea maendeleo wananchi, polisi waongezewe fungu ili wawanyoshe kina mdudu.
Ulipata bwana 'Dubei'?Tena niliikimbia kabisa nchi, kama Lema.
Nakushauri badili I'd unajitia aibu uzuri ww sio muislamu naapa kwa hiya haina shidaMbatia kwanza aseme kwanini wamefukuza NCCR Mageuzi?
Huyo mwehu ni mdini kindakindakiNa wewe utuambie hapa kwanza, ni kwa nini wakati wa utawala wa Rais Magufuli, ulikuwa unapinga kila kitu humu jukwaani, ila kwenye awamu hii kila kitu unasifia.
Mwambieni rais aache matusi, Kila mtu ana kifuaMbatia ametoa rai kwa Rais samia /serikali kuwa isiwekeze shiling 125 billioni kuimarisha uovu, badala yake iziweke kwenye kuendeleza maisha ya watanzania. Ametoa mfano, zikiwekezwa Muhimbili, zitatoa huduma bora kwa watu wake!
Serikali imetenga fedha hizo kununua silaha kudhibiti lolote katika kipindi cha chaguzi zijazo . Hii ni sambamba na kumteua mchengelwa kwa vile ana kifua kitumike katika tamisemi chaguzi za mwaka kesho....
kifua kipi? Mh!Kila mtu ana kifua
Mbatia ana hoja, so jikite kweny hoja yake! Then anzisha uzi kuhusu kufukuzwa kwake NCCR MAGEUZI!!!Mbatia kwanza aseme kwanini wamefukuza NCCR Mageuzi?
Kwa sababu alikataa kumuita Samia "Mama"Mbatia kwanza aseme kwanini wamefukuza NCCR Mageuzi?
Siyo kununua vifaa ni kununua vitendea kazi. Vifaa inaweza kuwa mikanda, Buti n.k lakini vitendea ni tofauti kabisaKununua vifaa vya kujindaa na uchaguzi zijazo
Mbatia kwanza aseme kwanini wamefukuza NCCR Mageuzi?
Wewe wala hutaki hoja ni kutetea tu huyo mvaa hijab mwenzako kipibdi hiki.Mbatia kwanza aseme kwanini wamefukuza NCCR Mageuzi?
Hata mama'ke Yesu sijawahi kumuona bila Hijab, wewe umewahi?Wewe wala hutaki hoja ni kutetea tu huyo mvaa hijab mwenzako kipibdi hiki.
Suala la kufukuzwa NCCR Mageuzi siyo la Kitaifa, hili la pesa za kununua magari ya washawasha ni la Kitaifa, wakati mwingine upime uzito wa suala kabla hujaropoka.Mbatia kwanza aseme kwanini wamefukuza NCCR Mageuzi?
Mtuambie kwanza nikwanini mmemweka "MKWE" pale tamisemi tunapoelekea uchaguzi 2024 na 2025?Mbatia kwanza aseme kwanini wamefukuza NCCR Mageuzi?
Wewe ndo useme kwanini unataka kujua kwanini mbatia amefukuzwa NCCR mageuzi.Mbatia kwanza aseme kwanini wamefukuza NCCR Mageuzi?
Umewahi kumwona mama yake YESU?? we na nduguyai walewaleHata mama'ke Yesu sijawahi kumuona bila Hijab, wewe umewahi?
Hawa wanaumwa, kuwatengeneza jeshi la polisi liwe la kisasa ndiyo kufanya "uovu"?
Au waovu kwa kuwa waliwashika?
Ni mdini na agenda zake zote ni udini tuu, usipokuwa dini yake wewe ni nusu binadamuNa wewe utuambie hapa kwanza, ni kwa nini wakati wa utawala wa Rais Magufuli, ulikuwa unapinga kila kitu humu jukwaani, ila kwenye awamu hii kila kitu unasifia.
Maagizo ya Msajili wa CCMMbatia kwanza aseme kwanini wamefukuza NCCR Mageuzi?