Mbatia: Tusiwekeze fedha zetu 125 bilioni kwenye uovu

Hizo hela ni ndogo Sana kuwashughulikia wanaosumbua serikali kufanya kazi ya kuwaletea maendeleo wananchi, polisi waongezewe fungu ili wawanyoshe kina mdudu.
Siku AGANO LENU LA MWEGE LIKIFA linalopumbaza Watz LIKIFA mtatafuta pa kukimbilia hamtapaona
 
Mbatia kwanza aseme kwanini wamefukuza NCCR Mageuzi?
Kwa hiyo kwa msg yako hii inafanya Mchengelwa kuwa sio mwenza wa mtoto wa Samia? Na je kwa comment yako hii inaondoa ukweli kuwa Abduli( mtoto wa Samia) wa kiume hakuiwakilisha Tanganyika huko Uganda kwenye mazungumzo ya nishati na Rais Mseveni? Je kwa comment yako hii tayari umehalalisha billion 125 zitumike kununua silaha kwa ajili ya uchaguzi?
 
ccm ni ziro brain, hizo pesa wangezielekeza kwenye katiba mpya
 
Tuseme ukweli: Hawa ndg zetu huwa ni weupe sna kichwani. Na ndio wamemzunguka wote Maza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…