Na wewe uje na mrejesho..!! Kama ukitumia inabidi uhamishie makazi chooni, tujue..!!Dawa nyingine ya kusafisha tumbo hii hapa.. nimeipewa mda huu nichemshe na maji lita 1 na nusuView attachment 3159982
Hivi, kwanini kuharisha kunachukuliwa kama ndo kusafisha tumbo?Mbegu za mnyonyo zinaua ndani ya dakika chache sana.
Sasa endelea kufurahia kuharisha baada ya kumeza hizo mbegu
Story inaanza mti ulikuwa kwa jirani, akatuambia ndani vitunda vina karanga ni salama kwa kula, nilimeza kimoja Ile kuonja, Kuna waliokula mpk kumi wakashushia na maji....Tupe uzoefu..!! Maana sentensi hii imekaa kiuzoefu haswaa..!!
Kwani ubonge wao unasababishwa na kuwa na mavi mengi tumboni?Inawafaa mabonge hii
Hahaha! Yule jamaa na digidigiNilimeza ikapita kama masaa5 kumbe ngoma ndiyo inachanganywa huko tumboni πππ baada ya hapo ilikua mwendo wa kasongo yeyeeee
Kama wewe ulimeza kimoko hali ilikuwa vile, najaribu kumuwaza huyo aliyemeza 10..!!! Hakutokwa na utumbo mpana huko takoni kweli?Story inaanza mti ulikuwa kwa jirani, akatuambia ndani vitunda vina karanga ni salama kwa kula, nilimeza kimoja Ile kuonja, Kuna waliokula mpk kumi wakashushia na maji....
Baada ya hapo ilikuwa ni ruti kupishana toi halafu wote wapangaji Kila mtu na Siri yake ....
Kesho yake ndio tukaja kusimuliana ndio tukajua ni vile vitunda wote tulipitia Hali moja Kuna baadhi waliokula vingi iliwapelekea kutapika ...
Na mti tukaukata π
Swali zuri, me pia nataka kujuaUnaumeza ukiwa unataka nini kitokee?
Hii inaitwa sanamaki,nayo unaharishaDawa nyingine ya kusafisha tumbo hii hapa.. nimeipewa mda huu nichemshe na maji lita 1 na nusuView attachment 3159982
kweli mkuu ni comment yako ndio ilinitoa gizani..ila wale walio comment mwanzoni mwa uzi ndio niliowashit.Hujasoma komenti zote ndo maana ukaja na huu uharo kama umemeza mbegu zinazojadiliwa..!!
Hakuna aliyetumia hiyo dawa na akarudia haifai
Dawa ya nini hiyo mkuuHizo Hazifai Maana Ukitafuna Tu Ukameza Koki Inafunguka Mpaka Unywe Chai Ya Rangi Ama Soda Baridi Sana
Tumia Glass 1 Ya Ukwaju Ama 2 Ni Nzuri Mno