Mbeya: Askari Polisi afariki kwa kujipiga risasi kisa mgogoro wa mapenzi

Mbeya: Askari Polisi afariki kwa kujipiga risasi kisa mgogoro wa mapenzi

View attachment 2770839
Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya, Benjamin Kuzaga ametoa taarifa za tukio la Askari kujiua kwa kujipiga risasi kisa mgogoro wa mapenzi...

Afya ya akili ni pamoja na kufikiri, kupanga, kuwaza, kuamua na kutenda jambo au mambo yanayo kuathiri pakubwa wewe mwenyewe.

mathalani askari huyo amewaza na kutenda jambo ambalo limemuathiri yeye mwenye kwa kuhitimisha maisha yake kwa mtutu wa bunduki yake mwenyewe.

Rejea mambo wanayoyafanya vichaa unaowaona huko mtaani, mambo yale yanaathari kwao zaidi ya wengine.

In conclusion,
ukianza kuskia sauti ambazo wenzako woote hawaziskii unaskia wewe pekeako tu, ukianza kuona vitu ambavyo wenzako wote hawavioni ispokua wewe pekeako ndio unaviona, ukianza kujikuta uko pekeako lakini unangea na kucheka pekeako kwa furaha nderemo na vifijo nakadhalika nakadhalika.

My friend nenda umuone dakitari kabla homa haijapanda na mwezi mchanga kuandama, lakini pia kabla hujaamua kujipiga vita vilivyo vizur wewe mwenyewe mithili ya uko vitani kama bwana afande.
 
vijana wa kiume wanapaswa kuanza kushauriwa kuhusu mioyo ya wanawake mara wanapobalehe.....mioyo ya wanawake ni vichaka vina kila aina ya hatari ndnai yake. Hata ndoa kwa sasa ni shida. Wanawake wengi wako ktk ndoa kwa sababu hana kwa kukamata. Akishapata tu anamwanzishia mume vurugu.

Uko wapi nikulambishe bia kreti
 
Dogo mdogo sana.
Fala mmoja tu Hawa madogo wa Sasa hivi wanajifanya kuishi maisha ya kwenye TV mapenzi gani ya kisenge mtu una miaka 24 unajiua kisa maku halafu Afande kabisa what's a fuckn boy[emoji57]
 
Fala mmoja tu Hawa madogo wa Sasa hivi wanajifanya kuishi maisha ya kwenye TV mapenzi gani ya kisenge mtu una miaka 24 unajiua kisa maku halafu Afande kabisa what's a fuckn boy[emoji57]
Kana kwamba kaenda CCP kupata mafunzo ya matumizi ya silaha ili kuja kujiua mwenyewe.
 
Kana kwamba kaenda CCP kupata mafunzo ya matumizi ya silaha ili kuja kujiua mwenyewe.

Hawa silaha hawawezi kuzitumia vizuri tofauti na kuzitumia kujiua
Basi yatolewe maelekezo wasitumie silaha ,wabebe magongo.
Hawawezi kuzimudu silaha .
 
Mapenzi yanaua, mapenzi ni kuyawekea akili, (mind set) ujinga wako na uzembe ndiyo unakuua

Mapenzi yanaua, mapenzi ni kuyawekea akili, (mind set) ujinga wako na uzembe ndiyo unakuua

Mapenzi yanaua, mapenzi ni kuyawekea akili, (mind set) ujinga wako na uzembe ndiyo unakuua
Sasa hapo uekewe vip mkuu??Mara mapenzi yanaua mara ujinga wako nana uzembe ndio unaua.Et umeelewa ulichokiandika
 
Matatizo yakukopa mkopo bank ili umpate mwanamke

Pesa ikiisha matokeo ndo hayo
 
Akili zake zilikuwa za kitoto na ye mwenyewe bado mtoto 24 is too young to die kwa sababu za kijinga. Mwanaume unajiuaje kisa demu?

Kuzaliwa mwanaume tu ni bahati, inamaana kwamba umepambana sana na kwa bahati sana ukazaliwa wewe out of sperm mamilioni yaliotoka siku ile ya kutungwa mimba yako. Kukua kwa mwanaume ni mapambano, na utafutaj pia ni mapambano makali, sasa unajiuaje kizembe?

Wanawake wapo wengi sana kama mchanga, yan unajichagulia tu hata ukitaka kuwa nawanawake 10 unakua nao. Ukiwa na akili timamu, unatuhusu vipi nafasi kwa kusumbuliwa akili yako na mwanamke? Dem anazinguaa achana nae tafuta pisi nyingine ujinga achana nao. Mwanamke anatakiwa akulilie wewe apambane kuto kukukosa kwasabab wao wako wengi.

Maiti ya huyu jamaa inatakiwa ichapwe viboko sana, af sjui kwanini mipolisi ndo inajipiga risas kisa mapenzi hili litakua lipolisi la 5 au la 6 nimeskiaa limejiua kisa demu.
 
Hawa miamba ni hayo manguo na vimbele mbeletu Ila wanamaisha magumu magumu Sana
Mtu anayechukua laki 3 ya kula na huko lindo Kuna posho ya pesa inatolewa ambayo siyo chini ya elfu kumi kwa siku,ambayo kwa mwezi ni laki 3 kamili au kasoro,bado pesa za madili,bado mshahara,unasema maisha ya huyo mtu ni magumu,duuu!
Tambua mwalimu abapokea mshahara tu na maisha yanasonga,huyo askari sijui utakua umedanganywa kua alikua na maisha magumu?Aisee.
 
Hawa miamba ni hayo manguo na vimbele mbeletu Ila wanamaisha magumu magumu Sana
Mtu anayechukua laki 3 ya kula na huko lindo Kuna posho ya pesa inatolewa ambayo siyo chini ya elfu kumi kwa siku,ambayo kwa mwezi ni laki 3 kamili au kasoro,bado pesa za madili,bado mshahara,unasema maisha ya huyo mtu ni magumu,duuu!
Tambua mwalimu abapokea mshahara tu na maisha yanasonga,huyo askari sijui utakua umedanganywa kua alikua na maisha magumu?Aisee.
 
Back
Top Bottom