Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Afya ya AKILI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
View attachment 2770839
Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya, Benjamin Kuzaga ametoa taarifa za tukio la Askari kujiua kwa kujipiga risasi kisa mgogoro wa mapenzi...
Counselling zinahitajika sana kwa walinzi wetu hawa miaka 24 ni mdogo sana[24]
vijana wa kiume wanapaswa kuanza kushauriwa kuhusu mioyo ya wanawake mara wanapobalehe.....mioyo ya wanawake ni vichaka vina kila aina ya hatari ndnai yake. Hata ndoa kwa sasa ni shida. Wanawake wengi wako ktk ndoa kwa sababu hana kwa kukamata. Akishapata tu anamwanzishia mume vurugu.
Fala mmoja tu Hawa madogo wa Sasa hivi wanajifanya kuishi maisha ya kwenye TV mapenzi gani ya kisenge mtu una miaka 24 unajiua kisa maku halafu Afande kabisa what's a fuckn boy[emoji57]Dogo mdogo sana.
Kana kwamba kaenda CCP kupata mafunzo ya matumizi ya silaha ili kuja kujiua mwenyewe.Fala mmoja tu Hawa madogo wa Sasa hivi wanajifanya kuishi maisha ya kwenye TV mapenzi gani ya kisenge mtu una miaka 24 unajiua kisa maku halafu Afande kabisa what's a fuckn boy[emoji57]
Kana kwamba kaenda CCP kupata mafunzo ya matumizi ya silaha ili kuja kujiua mwenyewe.
Mapenzi yanaua, mapenzi ni kuyawekea akili, (mind set) ujinga wako na uzembe ndiyo unakuua
Mapenzi yanaua, mapenzi ni kuyawekea akili, (mind set) ujinga wako na uzembe ndiyo unakuua
Sasa hapo uekewe vip mkuu??Mara mapenzi yanaua mara ujinga wako nana uzembe ndio unaua.Et umeelewa ulichokiandikaMapenzi yanaua, mapenzi ni kuyawekea akili, (mind set) ujinga wako na uzembe ndiyo unakuua
You need social inference with back ground knowledgeSasa hapo uekewe vip mkuu??Mara mapenzi yanaua mara ujinga wako nana uzembe ndio unaua.Et umeelewa ulichokiandika
Mtu anayechukua laki 3 ya kula na huko lindo Kuna posho ya pesa inatolewa ambayo siyo chini ya elfu kumi kwa siku,ambayo kwa mwezi ni laki 3 kamili au kasoro,bado pesa za madili,bado mshahara,unasema maisha ya huyo mtu ni magumu,duuu!Hawa miamba ni hayo manguo na vimbele mbeletu Ila wanamaisha magumu magumu Sana
Mtu anayechukua laki 3 ya kula na huko lindo Kuna posho ya pesa inatolewa ambayo siyo chini ya elfu kumi kwa siku,ambayo kwa mwezi ni laki 3 kamili au kasoro,bado pesa za madili,bado mshahara,unasema maisha ya huyo mtu ni magumu,duuu!Hawa miamba ni hayo manguo na vimbele mbeletu Ila wanamaisha magumu magumu Sana