Mbeya: Balozi Mpya wa Marekani Nchini Tanzania amtembelea Joseph Mbilinyi

Mr. Two proud a.k.a Jongwe a.k.a Rais wa Mbeya a.k.a Sugu
 
what's up ma men? Sugu anajua kutema slang?
Kwanini asijue wakati kaishi usa,scandinavia,UK
Siyo siasa tu watu wamevutiwa na maisha yake ya uharakati...kutoka zero mpk hapo alipo
Huwezi fananisha na watoto wa vigogo baba zao wao wanakwapua na watoto watumia pesa za ukwapuaji

Ova
 
ndiyo maana nchi kuwa huru kwelin kweli ni safari ndefu.
kama balozi anaweza kumtembelea mtu binafsi tena mwanasiasa unategemea nini? kwnye uchaguzi lazima kuna wafadhli.
 
ni naniiiiii? suguuuuuuuuu...... sugu moto chini sugu moto chini suguuuuuuuu
 
hahahaa bro we ni mwelewa sana wa vitu hapo erythrocyte atabisha ulivyoweka tu CCM huyo ni msifia abubakar
 
Ndo maana ulipata kura 1, yaan wee babu kwa kuisifia CCM na bado wanakuchinjilia mbaliiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…