SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Mie nilishasema, ...ipo siku itabidi tu tujitokeze hadharani, kwasababu ambazo haziwezi kuzuilika.kawaida yake kuongeza mbwembwe kwenye habari zake
Kama ubongo wamechukua unadhani macho watakuachia ?
Mfumo wako wa elimu ,ulioletwa na serikali ya CCM ndio unatuzalishia mazuzu kama wewe, Rwanda imeenda kutafuta English teachers Zimbabwe wakati kuna English speaking country mlangoni mwao!!,royal families zimefanikiwa mno kutuzalilishia mazuzu wanaosubiri kupangwahuyo mvuta bangi hn akiili hafu chadema viongozi wake wote ni form four failure yaani vilaza watupu
hii digital ya karatasi ya Chadema ni kiboko dah!!!Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema , Joseph Mbilinyi, leo ameongoza Kampeni Kabambe ya Kusajili wanachama wapya kwa njia ya kisasa ya Mtandao (Chadema digital)
Umati Mkubwa uliojitokeza unaonyesha kwamba CHADEMA ndio chama kilichobeba matumaini ya wananchi , Sugu na timu yake ni dhahiri kwamba walizidiwa na umati kiasi cha Computer zao kuchemsha na kwa kuzidiwa na wingi wa watu .
Leo sitaki kuweka porojo wakati ushahidi umejaa tele , Jionee mwenyewe
View attachment 2841757View attachment 2841758View attachment 2841759View attachment 2841760View attachment 2841761View attachment 2841763View attachment 2841764View attachment 2841765View attachment 2841766View attachment 2841767
wewe sugu mjinga sana Nani alikuambia usisome unajidhalilisha Mbeya wanajuta kukufahamu unawaaibisha SanaMfumo wako wa elimu ,ulioletwa na serikali ya CCM ndio unatuzalishia mazuzu kama wewe, Rwanda imeenda kutafuta English teachers Zimbabwe wakati kuna English speaking country mlangoni mwao!!,royal families zimefanikiwa mno kutuzalilishia mazuzu wanaosubiri kupangwa
Hao wenye PhD wamefanya nini cha maana zaidi ya uchawa na kulamba miguu ya mabosi wao wapate kula?huyo mvuta bangi hn akiili hafu chadema viongozi wake wote ni form four failure yaani vilaza watupu
Okay sasa umejipa usemaji wa wakazi wa mbeya upumbavu huu,zao la shule za kanumba, huyo aliyezianzisha hata kitukuu chake hakijasoma huko, subiria kupangwa na kulalama humuwewe sugu mjinga sana Nani alikuambia usisome unajidhalilisha Mbeya wanajuta kukufahamu unawaaibisha Sana
Wewe ambae huvuti umefanya nini hata ktk familia yako zaidi ya Uchawa?huyo mvuta bangi hn akiili hafu chadema viongozi wake wote ni form four failure yaani vilaza watupu
wewe sugu wewe nani alikuambia ukimbie shuleWewe ambae huvuti umefanya nini hata ktk familia yako zaidi ya Uchawa?
Bora ungekaa kimya kuficha upumbavu wako wa kihayawani!
Wewe kwa ubongo wako unaona kuna umati wa watu hapo bandani?Kama ubongo wamechukua unadhani macho watakuachia ?
Vp mkuu, bado computer hazijapata nguvu ili zianze kutumika.? Au zilipata moto sanaBaada ya computer kuchemsha zikarejeshwa stoo
Digital ya kalamu na karatasi?Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema , Joseph Mbilinyi, leo ameongoza Kampeni Kabambe ya Kusajili wanachama wapya kwa njia ya kisasa ya Mtandao (Chadema digital)
Umati Mkubwa uliojitokeza unaonyesha kwamba CHADEMA ndio chama kilichobeba matumaini ya wananchi , Sugu na timu yake ni dhahiri kwamba walizidiwa na umati kiasi cha Computer zao kuchemsha na kwa kuzidiwa na wingi wa watu.
Leo sitaki kuweka porojo wakati ushahidi umejaa tele , Jionee mwenyewe
View attachment 2841757View attachment 2841758View attachment 2841759View attachment 2841760View attachment 2841761View attachment 2841763View attachment 2841764View attachment 2841765View attachment 2841766View attachment 2841767
Fungua machoDigital ya kalamu na karatasi?