Okay!! Kwa mtazamo wako wewe Kwa nafsi yako,, unaitazamaje??Kwa picha za marudio inaonesha kuwa kagere hakuwa offside, ila bocco Ndio alikuwa offside, hivo naimani mwamuzi msaidizi alinyoosha kibendera kwakuwa bocco alidhamiria kuucheza mpira na Kufanya iwe offside
Pamoja sana [emoji172][emoji169]Wakabebwa lakini wapi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi ni Mwananchi ninayetokea Mbeya ciry[emoji5][emoji847]
Umeshapapaswa kaa utulie na upooze machungu ndugu ya nini kuongea SanaNisijifariji nini sasa au unadhani shabiki wa Simba ni wewe tu humu? Toa ushabiki ongea ukweli, kwa jinsi LIGI ilivyo ngumu msimu huu hatukutakiwa kukaa nyuma ya Yanga kwa point 5.
Hâta hizo point tano zanaweza kuongezeka kutaokana na uchezaji wetu wa viporo.
Psychologically timu haitakuwa sawa kimorali.
Kwahiyo ushapata matokeo au bado?...[emoji16]Nikimbie ili iweje?
Hawa ni tanesco wamefakisha
Ni umeme, simu haina chaji si unacheki hapo juu sasa hivi itazima
Kaka katoka Madrid huyu si ndivyo mnavyo semaga.haya ni matokeo ya kocha. kapanga mfumo wa kijinga akijilinda. halafu alikubalije dirisha dogo kufungwa bila kusajili striker wakati ni tatizo lolionekana mapema?
Acha nikupe update sasaNikimbie ili iweje?
Hawa ni tanesco wamefakisha
St francis wameshindaKwahiyo ushapata matokeo au bado?...[emoji16]
jamaa anafikiri nyuzi zake za kuinanga Yanga zinawasaidia Simba...NI UZUNI KWAKWELI [emoji3525]Tumsubiri GENTAMYCINE akija na nyuzi lukuki juu ya kupoteza mechi ya leo.
Lile goli lilikuwa sahihi kabisa! Refa katuua mkuu! We mwache tu, tutakata rufaa ili hii mechi irudiwe kwenye dimba la Mkapa [emoji3062]Wajuvi wa soka mkaribie hapa,, kujibu swali tajwa hapo juu, maana imekuwa gumzo Sasa!!
Nikiona tu Bocco na shoga yake Mugalu kwenye kikosi cha kwanza hiyo mechi haitanihusu.Hahahaaa. Sawa.
Ila nimecheka sana. Lol.
Hao jamaa wakibaki 10 uwanjani huwa wanakuja kama nyuki.[emoji23]
Kumbe nawe ni mcheshi hivyo?Acha nikupe update sasa
Sasa ni dakika ya 700 chama cha saccos amepindua meza kibabe what a comeback..!
R.I.P HANSPOPEhaya ni matokeo ya kocha. kapanga mfumo wa kijinga akijilinda. halafu alikubalije dirisha dogo kufungwa bila kusajili striker wakati ni tatizo lolionekana mapema?