permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Hiki kikosi, mpaka Half Time, Simba itakuwa nyuma kwa Goli 2. Subiri uone.
Ukimaliza ndoto hii, ota nyingine unaendesha ndege.FT MBEYA CITY 0-3 SIMBA
Daaaah, kibu ni mlozi huyu.
Ni kitu ambacho hâta wewe unajua hakiwezekani.Hiki kikosi, mpaka Half Time, Simba itakuwa nyuma kwa Goli 2. Subiri uone.
Tukutane apa baada ya dakika 90'Ukimaliza ndoto hii, ota nyingine unaendesha ndege.
Kushinda tunashinda na hivyo vitambulisho vyako kaa navyo tu wala hatuhitaji kukujua wewe ni nani humu.Simba akishinda leo naweka hapa, PICHA YANGU, KITAMBULISHO CHA KAZI, MAJINA KAMILI NA FAMILIA YANGU. Najua mtakuwa na MSHANGAO sana kwa kutoamini kuwa huyu mtu msumbufu humu ndani ndio huyu.