Mbeya haina hadhi ya jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

Who taught you Mbalizi ni sehemu ya jiji la Mbeya? Mbalizi ni wilaya ya Mbeya vijijini haina hata Mamlaka ya Mji!

Kwani master plan huja kufanya overall ya sehemu zote? Ndio maana kuna Manzese, Magomeni, etc unadhani Dar haina Master Plan?
Ona sasa hajui hata kama Mbalizi ni Mbeya vijijini😂
 
Kwa hyo mbeya hapo town hamna nyumba za udongo na vumbi kama lote?
 
Bora umesema wewe ...maana sisi Kila siku tunawaambia wanasema wivu ... mbeya sio Kijiji ni zizi..ni aibu mno to call such trash a city..ni fedheha Kwa nchi
 

Akili za namna hii huwa ni ngumu sana kudeal nazo, especially kwa watu kama mimi wenye zero tolerance when it comes to dullness.
Watu wenye uelewa wame take hii criticism positive.
Chuki na mbeya , for what? Nimesoma sekondari huko na mwaka wangu wa kwanza wa career nlikaa hapo forest ya zamani.
Ukweli usemwe, miji ya Tz ina safari ndefu bado ila Mbeya is the worst of all.
 
hivi serikali ina mpango gani na lile shamba uyole pale? inabidi litoke wagawe viwanja
Unasema litoke wakati wamekazana kuongeza eneo. Kuna ekari 64 za wananchi wanataka kuzikwapua. Mwezi wa 5 walileta suma jkt wazungushe ukuta hilo eneo wakati watu wamejenga mijengo yao. Palichimbika aisee


Mkuu wa wilaya akaja akasema watafanya tathmini na raia watalipwa fidia wapishe chuo wachukue eneo lao. Raia wakagoma katakata na wakamwambia kama ni hivyo amlete Rais samia ndio awaambie la sivyo hawatoki [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Utajua mwenyewe
Ndo jiji sasa na tunapapenda pazuri afu inaonekana upajui vizuri au una matatizo yakulinganisha sana

Heheh ,
Kulinganisha ni muhimu. Kama wewe unaona ni tatizo basi wewe ndio tatizo lenyewe.
 
Nani kakwambia watu wa Mbeya wanataka Mall mbona mnahangaika na vitu vya kijinga

Mbeya tunataka Barabara mitaani,Barabara kuu iwe poa,stand ya Mkoa ya Kisasa na Barabara za kuunganisha na Mikoa ya jirani na Mbeya tunataka cold facilities kwenye airport yetu.

Hizo habari za Mall and such nonsenses ni ushamba pelekeni huko kwenu.
 
Mbona mall za dodoma Huwa unazishobokea
 
Sasa kwani ukileta picha za zamani ndio itakusaidia nini bwashee?

Hizo aluminum sheets zinaonekana zimepauka sababu ya vumbi ,
Ndio maana huwezi nawiri ukiwa mbeya.
a reason I have said, and I say it again, suala la kupanda miti linatakiwa liwe ni kipaumbele kwa mbeya . Sioni ugumu kwenye hili hasa ukizingatia hali ya hewa ya mbeya ni rafiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…