Mbeya haina hadhi ya jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

Hii nchi kuna mji uliopangika vizuri??
Kote ni za uso tu.
Miji yetu ni vijiji vikubwa, hatua mbili mbele unakutana na slums ni kama magomeni na posta au kigamboni na poata yani ukivuka maji tu tayari uabubwada hui hapa.

Mbeya nawatetea bado wanalitengeneza jiji lao.

Majiji ya zamani yaliendelezwa sana na watu wa makabila ya huko, mfano watu wa kaskazini wameendeleza sana huko kwao.

Huku Mbeya kulikua na wasafwa, hawa watu hawawazagi madndeleo ya jumuia.
Walivyofika wageni wengi mbeya ndio imeanza kubadilika sasa.
 
Tunataka kuwasaidia tuwavushe kutoka mji wa kijima mpaka mji ufanane angalau kama singida kwa mpangilio naona anashipaza fuvu kama zamadamu.
Nachoipendea Kula misosi tu Ila Jiji bado sana shida mjini sio Kwa wanyakyusa wamejaa Wasafwa wanafeli wapi nimekumbuka Savoi,moondust,SAE,Iwambi na Forest [emoji2][emoji2]
 
Ukiacha mpangilio Kuna jipya jingine umeliona huko kwingine?

Haya umetaja Tabora,Mwanza Ina mpangilio gani ukiacha

Mipangilio ya miji yetu mingi inareflect thinking capacity tuliyonayo wala sio vinginevyo. Na hii ni kwa Africa nzima I think wala sio kwa bahati mbaya.
Mh,mkuu Kuna baadhi ya miji Afrika ni mizuri mkuu,ebu jaribu kusearch miji ya Nigeria ya kawaida tuu,ila Angalia miundombinu na planings zao
 

Attachments

  • Screenshot_20230614-200521.png
    358.5 KB · Views: 12
  • Screenshot_20230614-200521.png
    358.5 KB · Views: 10
Kama umetembea sana duniani huko au kama haujatembe jitahidi utembee na ukirudi ndiyo utagundua kwamba dar es salaam ni kijiji kilichochangamka tu
Hilo nalo ni likijiji la kijamaa linalowakutanisha wavuvi kutoka sehemu mbalimbali, jiji kila sehemu ni harufu ya vibua, harufu ya maji machafu, jiji limejaa slum basi watu wanajiona wapo NYC.
 
Nachoipendea Kula misosi tu Ila Jiji bado sana shida mjini sio Kwa wanyakyusa wamejaa Wasafwa wanafeli wapi nimekumbuka Savoi,moondust,SAE,Iwambi na Forest [emoji2][emoji2]
Ukiona jiji lina gharama ndogo jua hapo hakuna mzunguko wa pesa.
 
Huna akili wewe
 
We mluga luga acha ushamba na unatakiwa kutembea uone miji, hilo vumbi na nyumba za tembe za hapo mbeya basi unaona mbeya ni jiji zuriii kama Las vegas
Nimetembea sana hasa Mwanza nilichokiona ni mara 1000 Mbeya, yaani Mwanza ya mabanda ya nguruwe ndio mtu anaweza sema ametembea? Acha ujinga wewe ngumbaru
 
Mtoa mada ni mtu wa Iringa na anaishi mbeya kwasasa, mnataka kusaidiwa ili gulio lenu livutie lakini unajifanya mjuaji hii yote ni Tanzania naweza kutaka kuishi huko mbeya lakini kama hakuna facilities za msingi sitaweza kuwekeza huko.
Sasa mtu wa Iringa kwenye mabanda ya udongo nae ana nini Cha kuongea? Huyo akawaringishie Simiyu sio Mbeya 😁😁
 
Leta hoja tukuparure na limji lako la ajabu.
Baada ya Dar na Dom ,Mbeya ndio Jiji litakuwa na dual carriage ndefu kushinda takataka yeyote hapa Tanzania km 35..

Mbeya ndio Mkoa wa kwanza Tanzania utapata Dual Carriage road ndefu ambayo ni highway ya km 215 igawa-Tunduma so mtakuwa mnakuja kupiga picha πŸ˜†πŸ˜†
 
Nimetembea sana hasa Mwanza nilichokiona ni mara 1000 Mbeya, yaani Mwanza ya mabanda ya nguruwe ndio mtu anaweza sema ametembea? Acha ujinga wewe ngumbaru
Nan ameleta mambo ya Mwanza, hiyo mwanza siijui na wala sijawahi kwenda, lakini mjitahidi kwenye suala la makazi na mpangilio wa mji sio kila sehemu mnaweka vibanda na bado barabara hazipitiki.
 
Sasa mtu wa Iringa kwenye mabanda ya udongo nae ana nini Cha kuongea? Huyo akawaringishie Simiyu sio Mbeya 😁😁
Iringa wana CBD nyie pimbi wa mbeya hamna bali mna magulio ya wachuuzi kila eneo.
 
Hiyo highway ndio itabadirisha uchafu na maudongo ya mji wenu, raha ya jiju ni skyscrappers na mpangilio mzuli ikiwemo shopping centres, recreational parks, malls na barabara za uhakika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…