Kuwa na master plan ni issue nyingine na utekelezaji wake ni kitu kingine.Afrika mipango mingi, vitendo zeroHapo hakuna jipya uliloandika sana sana uko uninformed ,Mbeya Ina Master Plan yake ambayo ilizinduliwa na Waziri na pia Kuna kujenga upya maeneo ambayo halijengwa kama Slums and so any new developments inafanywa Kupitia hiyo..
Mojawapo ya uongo ni kusema eti Mbeya hakujengwi Nyumba za Kisasa [emoji16][emoji16]
Mimi mwenyewe ni mzawa wa huko Siwezi kumbishia mtoa mada,Mbeya ni pa kipuuzi sanaaa,tunakwamishwa na viongozi wasio na maono.Kwahiyo Mkuu umeamua kumbishia tu mleta uzi? Sisi watu wa Mbeya tukubali tu ukweli hata kama unauma. Asilimia 95 ya aliyosema mleta uzi ni sahihi.
Uzuri ni kuwa Una Uhuru wa kuamua kuishi Moshi au Mbeya, ni wewe tuMbeya, vumbi kama lote, hakuna vivuko sehemu nyeti kama kabwe pale ni vurugu tupu za malori,bajaji, bodabada na waenda kwa miguu
City center ya mbeya haieleweki
Moshi imepangika vizuri mjini mara elfu 10 ya mbeya
Kwa mbunge Gani mlie nae!Master plan itazipanga upya hizo slums Ili kwanza ziwe accessible na Huduma zote za jamii..
Kupanga Mbeya ni rahisi sana kuliko.kupanga slums dwellers wa Mwanza ambao 70% ya population wanaishi kwenye mabanda kule milimani..
Mwisho Master plan inalenga kuhakikisha hakuna slums Mpya zinazoibuka..
Kwahiyo na Dar zile malls ni sehemu ya baridiZile frame zinafaa mjini kuliko malls. Malls zinafaa nchi za baridi kama indoor shopping wakati wa baridi kali. Malls zilijengwa ili kuhudumia wazungu wa suburbs waliotaka kuishi kitulivu na huku zoning laws zao zikiwakataza kuendesha biashara maeneo ya makazi. Malls zinahitaji watu wawe na usafiri binafsi na ndiyo maana malls zinakuwa na parking lots kubwa kuliko hata jengo lenyewe. Huku tunahitaji maeneo wazi ya biashara kama hizo fremu za mjini. Tunahitaji centre nyingi za biashara.
Kwa ushamba watu wanakimbilia kujenga mamalls huku Afrika bila kujua sababu ya uwepo wake. Mshamba akiona kitu kinang'aa au kikubwa anajua ndiyo kizuri.
[emoji1][emoji1][emoji1]acha makasirikoUzuri ni kuwa Una Uhuru wa kuamua kuishi Moshi au Mbeya, ni wewe tu
Kuiga na ushamba. Dar hata kupamba majengo kwa vioo haitakiwi.Kwahiyo na Dar zile malls ni sehemu ya baridi
Huna akili
Mbunge anahusikaje na master plan?Kwa mbunge Gani mlie nae!
Mwaka wa 3 huu kafanya nini mbeya
So Dubai napo Kuna baridi?! Mbna unaongea vitu usivovijuaZile frame zinafaa mjini kuliko malls. Malls zinafaa nchi za baridi kama indoor shopping wakati wa baridi kali. Malls zilijengwa ili kuhudumia wazungu wa suburbs waliotaka kuishi kitulivu na huku zoning laws zao zikiwakataza kuendesha biashara maeneo ya makazi. Malls zinahitaji watu wawe na usafiri binafsi na ndiyo maana malls zinakuwa na parking lots kubwa kuliko hata jengo lenyewe. Huku tunahitaji maeneo wazi ya biashara kama hizo fremu za mjini. Tunahitaji centre nyingi za biashara.
Kwa ushamba watu wanakimbilia kujenga mamalls huku Afrika bila kujua sababu ya uwepo wake. Mshamba akiona kitu kinang'aa au kikubwa anajua ndiyo kizuri.
Wanaiga tu. Pia Dubai wana hela za kuweza kupiga jengo zima kiyoyozi. Watu wa Dubai hata majengo ya vioo hawatakiwi kujenga. Mji unakuwa kama kwenye chungu.So Dubai napo Kuna baridi?! Mbna unaongea vitu usivovijua
Hapana hizo sababu zako hazina mana kabisa mkuuWanaiga tu. Pia Dubai wana hela za kuweza kupiga jengo zima kiyoyozi. Watu wa Dubai hata majengo ya vioo hawatakiwi kujenga. Mji unakuwa kama kwenye chungu.
Ukiwa bendera fuata upepo utaona hivyo. Huku kwetu malls hazifai. Tunaiga tu kwa ushamba na ujinga.Hapana hizo sababu zako hazina mana kabisa mkuu
NAKAZIAKama kuna viongozi wana akili kama hizi basi hili ni tatizo kubwa.
Nashindwa kuelewa kwanini jamaa anapanic, suala la kujadili tu tena sio kwa ubaya ila response ya jamaa ipo emotional sanaKwahiyo Mkuu umeamua kumbishia tu mleta uzi? Sisi watu wa Mbeya tukubali tu ukweli hata kama unauma. Asilimia 95 ya aliyosema mleta uzi ni sahihi.
SahihiWaliotembelea nchi za wenzetu huko duniani, wanasema Tanzania hakuna jiji hata moja.
Nani mwehu kuwekeza BRT nje ya Dsm?Usipangie watu Maisha,wewe ongea unayotamani yawe vinginevyo pita kushoto..
Mbeya ya Leo is way better than it used to be in 2010 wakati ikitangazwa kuwa Jiji..
Njoo 2025 pia kuandika utopolo wako maana by that time Barabara Kuu njia 4 itakuwa imeisha,Barabara za mitaa km 27 zitakuwa zimeisha na ujenzi wa Stand kubwa za Kisasa utakuwa unaendelea..View attachment 2656232
Njia 6 Kwa Sasa haipo sana sana Kuna mradi wa BRT mbeleni na njia ya Sasa ndio itakuwa reserved Kwa Ajili ya BRT..
Mbeya ipi ambayo watu hawajengi Makazi ya Kisasa? Wewe sema Serikali iongeze Kasi ya kupima Mji..
Kitu pekee nachokuunga mguu ni Chuo Cha Kilimo na JKT hapa Uyole wapishe waende Wilayani hayo maeneo yapimwe na yagawiwe viwanja kama ilivyo Kwa Forest au Iwambi Mpya,hakuna Cha NHC,hao NHC wakajenge Dodoma huko.
Huyu hapa 👇Nani mwehu kuwekeza BRT nje ya Dsm?