Mbeya haina hadhi ya jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

Mwanza sio Mji ni slums everywhere,huna hata aibu?
Hivi wewe kwenu ni wapi ulinganishe na Mwanza? watu wameshakwambia Mbeya ilikuwaje ikawa jiji hauwelewi. Mwanza imepimwa CBD yote, Nyegezi yote, Buswelu yote, Nyamongolo yote, Igoma yote, Ghana yote, Nyamanoro yote Nyakato yote! hivi haunaga aibu kulinganisha Mwanza na vimiji vyako hivyo?.Mwanza ile inayojengwa daraja refu nchini km 3.2,daraja la juu la sgr (Viaduct)km 1.4,soko kubwa pale City Center, stend 2 za maana, meli kubwa kuliko yoyote nchi hii.Tuwe wakweli tu Mbeya bado sana kwa Mwanza tuache chuki za kijinga hazitusaidii nchi hii ni yetu sote hata Mwanza ni kwetu wote wa Tanzania. All in all Mwanza is most developed City by everything after Dar es Salaam.

Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
 
Ndiyo limeshakua Jiji sasa amua.
 

Unaposema Watu wa Mbeya hawazihitaji, unaongea kama nani sasa , mkuu wa mkoa au mbunge wa mbeya au Mayor? Wewe ni msemaji wa watu wa mbeya ? Kaa kwa kutulia mshamba mmoja wa umalila.
Sisi watu wa mbeya tunataka hivyo vitu , tunataka shopping malls , tunataka kumbi za Cinema , tunataka kila aina ya maendeleao. Mambo ya vumbi la mwanjelwa na soweto inatosha.
 
Kama mwana Mbeya na ukiweka utafungasha mwenyewe..

Nyinyi watu wa Mbeya wewe na nani? Jenga Sasa unataka nani akujengee? Hayo ma Mall yangekuwa yanahitajika yangeshakuwepo kitambo,what's so special Kwa hayo ma hall mnaita mall?

Mwisho badala ya kuhangaika na huo ushamba wa mall ungekuwa unapigania Barabara za mitaa,Mpango Miji,na Gardens au Public Parks..
 

upo Sawa , a reason tunasema mbeya ni kijiji fulani kikubwa, sababu hata akili kama zako ni typical mwanakijiji.
 
Mkuu kati ya mbeya na Iringa wapi kuna afadhali na bata kuliko sehemu nyingine naomba unielezee tofauti ya mbeya na Iringa.
 
Mkuu kati ya mbeya na Iringa wapi kuna afadhali na bata kuliko sehemu nyingine naomba unielezee tofauti ya mbeya na Iringa.

Kote huko hakuna hizo bata kama mtu umebahatika kusafiri duniani.
Although naweza Chagua Iringa over mbeya sababu Iringa ni pasafi Hapana Vumbi kama Mbeya , Iringa pana ustaarabu na utulivu sio chaotic, noisy na vurugu kama Mbeya , hata mji wa iringa kwa ujumla ni mzuri kuliko mbeya.
 
Ulivyo ongea kwa ukali utadhani kuna mtu kakulazimisha kuishi mbeya

Kila sehemu na utaratibu wao wa maisha hujapapenda sepa

Wengine tulipaona pazuri tu
 
nikiwa new york hapa niki wa-zoom tu mnavyowashambulia majirani zetu 🤣🤣🤣
 
Ulivyo ongea kwa ukali utadhani kuna mtu kakulazimisha kuishi mbeya

Kila sehemu na utaratibu wao wa maisha hujapapenda sepa

Wengine tulipaona pazuri tu

Hakuna utaratibu wa maisha unaosema mji uwe na vumbi, mchafu, hauna ustaarabu, na miundombinu duni. Mimi kama mlipakodi Nina haki ya kuyasema haya ikiwa yananikera.
 
Seems like uko na exposure ndogo ya sehemu kubwa ya Mbeya! Yapo machache unaweza kuwa sahihi!

Anyway, reli zijengwe mitaani Mbeya jiji? Unajua jiografia ya Mbeya kweli? Unajua nature ya ujenzi wa reli inavyotaka tambarale? Au unazungumzia subways?
Mbeya ni kijiji kikubwa huo ndio ukweli
 
Ukitaka kijua kuwa swala la mipangilio siyo moja ya utaratibu na tamaduni zetu , wewe nenda hata kaangalie sehemu au maeneo tunayowazika wapendwa wetu waliotutangulia ??.. jibu utakaro lipata kule basi ndiyo linalotoa picha halisi ya jinsi tulivyo..
 

Well said , CC huyu mbanga [mention]ChoiceVariable [/mention] , haya sasa hata tabora haoni ndani [emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…