Hiyo busara ndiyo niliyokutaka wewe ujiweke kwenye position ya RPC wa Mbeya. Tusubiri siku mh Tulia anachukua form tuone, tutarudi hapa tujadiri namna atakavyokua amechukua form. Watu wamekaa kimya bila siasa miaka 5, leo kweli hiyo ya watu kumsindikiza imekua nongwa!!!!???Kasome ‘police force and auxiliary services act 2002’ mkusanyiko usiokuwa na kibali ni kosa la kisheria.
Nachokubaliana na wewe vitu vingine polisi wanatakiwa kutumia busara.
Kumbuka issue ya Daud Mwangosi.Aisee tuna safari ndefu kwa kweli, Mimi sio mshabiki wa Upinzani ila inaumiza. Polisi tendeni haki, naona kama nyie ndo mtatuchafulia amani ya hii nchi. Sijapenda kwa kweli.
Nakodi wanalipa ccm pekeyao. Barabara zinazojenga wana changishana kwenye vikao vya ccm . Hii ndo inawapa kiburi muone hili taifa nimali ya ccm .mpaka vikao vya ccm mnafanyia ikulu.hapana polisi wamekosea hapa,huyu mtu atashinda kwa kura za huruma, halafu huu ni msimu wa siasa mbwembwe kama hizo zitakuwepo tu ndo maana lisu anabweka ovyo huko njiani kwenye lami iliyotengenezwa na serikai ya CCM, juzi lipumba amepokelewa kapita kweny flyover waachwe tu tutamalizana nao kwenye sanduku la kura, namna hii si vema.
Elimu muhimu ili uweze kuchanganua mambo ,kama uli-fail uwalimu na uaskari umeshindwa? Je kauli kama hii unaielewaje.Yaani jeshi namabavu yao nasilaha mafunzo nakila kitu lakin bado wanashikiwa na ccm, wanashangaza sana hawa jamaa
Acha kushikiwa akili. Hakuna kosa kwenda kuchukua fomu na watu! Mbona Mwakanjoka alichukua juzi Tunduma na hakukuwa na shida. Huu ni uonevu wa mchana kweupe na ninajua wana mbeya lazima walipe.
Enough is enough!!
Kama utaona post zingine za nyuma nimeita ili zoezi la CDM ni kucheza kamali hujui jamaa watakavyokuja.Hiyo busara ndiyo niliyokutaka wewe ujiweke kwenye position ya RPC wa Mbeya. Tusubiri siku mh Tulia anachukua form tuone, tutarudi hapa tujadiri namna atakavyokua amechukua form. Watu wamekaa kimya bila siasa miaka 5, leo kweli hiyo ya watu kumsindikiza imekua nongwa!!!!???
kwa kweli nimeshaanga sana nilipoona hii kitu, hawa askari wapaaswa waache hii tabia haikisaidii chama zaidi wanawafanya wapiga kura wamuonee huruma tu huyo mgombea.Wambie. Siasa zimezuiwa miaka 5, leo hata kwenda kuchukua form rafiki zako waliokumis kwa muda wote huo wanakusindikiza imekua nongwa!!!?? Siasa isiyo na wafuasi ni siasa gani hiyo???
Maagizo kutoka juuTanzania ni ngumu kujua nani mwenye haki ya kusikilizwa
Nani anapaswa amsikilize mwenzake
Inawezekana au ni kujipendekeza kwa wahusikaMaagizo kutoka juu
CCM ndio wenye serikali tatizo lako nini?Nakodi wanalipa ccm pekeyao. Barabara zinazojenga wana changishana kwenye vikao vya ccm . Hii ndo inawapa kiburi muone hili taifa nimali ya ccm .mpaka vikao vya ccm mnafanyia ikulu.
Maagizo au kujipendekeza ili kupata cheo ukuona ya mahakimu kuwashughulikia wapinzani wakateuliwa ujaji.tumbo Ni kitu kibaya sanaInawezekana au ni kujipendekeza kwa wahusika
Au mtuhumiwa kukaidi maelezo aliyo pewa na polisi kabla hawajafika kukamatana
Kuwa na serikali sio ticket ya kumiliki watuCCM ndio wenye serikali tatizo lako nini?
Ashaachiwa kwaniwamemwachia bila mdhamana wowote
Sawa yote yanaweza kuwa majibuMaagizo au kujipendekeza ili kupata cheo ukuona ya mahakimu kuwashughulikia wapinzani wakateuliwa ujaji.tumbo Ni kitu kibaya sana
Tena leo alikuwepo kwenye ibada ya TAG akarudiaHalafu kuna mtu anasema tuombe uchaguzi uwe wa amani tena akiwa kwenye nyumba za ibada kumbe ni kutuadaa huku yeye akifanya kinyume chake.
POLISI WATAKIWA KUSIMAMIA NIDHAMU: Polisi imewataka maafisa wake kusimamia nidhamu na haki wakati wa kusimamia harakati mbalimbali za uchaguzi mkuu wa mwaka huu.kwa kweli nimeshaanga sana nilipoona hii kitu, hawa askari wapaaswa waache hii tabia haikisaidii chama zaidi wanawafanya wapiga kura wamuonee huruma tu huyo mgombea.