Uchaguzi 2020 Mbeya: Joseph Mbilinyi(Sugu) akamatwa na Polisi wakati akichukua fomu ya Uteuzi

Uchaguzi 2020 Mbeya: Joseph Mbilinyi(Sugu) akamatwa na Polisi wakati akichukua fomu ya Uteuzi

Anatafuta nafasi ya Sirro
Naona anavyojitutumua kuonyesha anamudu.

Sugu wanataka kumdisqualify asigombee ili Tulia apite bila kupingwa?!

Wamfungulie kesi wamuachie akajaze form ya kugombea.
 
Ni sheria za kikoloni tu hizo kwani wenzetu hapo jirani tu hawana sheria za kuomba vibali vya kuandamana. Mkoloni wakati wa harakati za kupigia na uhuru aliweka sheria za watu zaidi ya wawili wakionekana ni unlawfu assembly. Tanzania huru tunakuwa kama South Africa kipindi cha apartheid.

Issue kubwa hapo ni kuwa wangewaacha kulikuwa na tatizo gani as tunaona mikoa mingine wagombea wakisindikizwa na hakuna tatizo. Watanzania bado tunatii sheria hata kama zinatunyima haki yetu ya msingi ya kibinadamu.
Hakuna nchi isiyotaka kuomba kibali cha kufanya public assembly kwa sababu ya usalama.

Hizo mechi tu mnazopenda kuangalia za la-liga sijui EPL sio tu zinavibali vya polisi bali mwenyeji analipia gharama za ulinzi wa match day. Ndio maana timu za karibu kama Arsenal na Tottenham uwezi kukuta home games zao zinachweza siku moja kwa sababu wote wanategemea polisi wa eneo moja kufanya ulinzi.

Sembuse ukusanye watu bila ya kibali unless protest itokane na tukio la ghafla na polisi wataangalia the morality of the event kama vile kifo cha yule mmarekani wa juzi wanaweza acha watu waandamane bila ya kibali. Vinginevyo thubutu kuingia barabarani bila kibali uone cha moto.
 
..hivi umeona jinsi polisi walivyokuwa na SILAHA NZITO?

..sasa hawa polisi wanalinda usalama, au wanahatarisha usalama?

..mbona maeneo mengi CDM wamechukua fomu bila vurugu zozote zile?

..kwa kweli polisi wanapaswa kujiongeza wakati huu tunapoelekea kwenye uchaguzi.
Ndio maana nimesema wanacheza bahati nasibu kukusanyika bila ya kibali ni kuvunja sheria sasa swala la kuamua kupuuzia au kuchukua hatua ni la OCD husika.

Na hapo kwenye hiyo clip hao wasindikizaji waliombwa kistaarabu kwanza. Lissu ni tatizo endeleeni kutetea anachoongea atawaponza watoto wa wenzake.
 
M
Jamaa tapeli huyu..... Anaogopa tu anavomulikwa na mikwara aliyopigwa kutoka nje.....

Moyoni huyu mzee wa kulala kwenye mawe km mjusi ni shetani kabisa
Mkuu Wangu Una Maneno Makali na MATUSI loooh Shusha Pumzi Mkuu Wangu Mana unaweza UKAMMEZA MTU...

Amani Amani Amani Amani Amani.

Jioni Njema Mkuu Wangu
 


From this video you get a different perspective polisi anapoweka mikono yake yote kifuani au kwa nyuma ana ashiria tii kwa amani.

Ukinyanyua yako una ashiria shari kwake na umemruhusu kutumia nguvu. Kwanza unaposhikwa na polisi hakikisha mikono yako anaiona.

Halafu kumbe ukaidi ulianzia getini. Japo lugha ya polisi aikuwa nzuri I think both parties are blameworthy after watching the second video.

Police provocation is a primitive act
 
Jeshi la Polisi mkoani Mbeya linamshikilia Joseph Mbilinyi (SUGU) kwa tuhuma za kuratibu maandamano kinyume cha Sheria, tukio hilo limetokea leo alipokuwa anachukua fomu ya kuwania tiketi ya Ubunge jimbo la Mbeya Mjini kupitia tiketi ya chama chake cha Chadema.

Sugu amekamatwa pamoja na wanachama wa Wengine wa CHADEMA. Baadhi ya Waliokamatwa ni Stive Mwenyekiti wa BAVICHA Mkoa, Katibu wa mbunge, Kasambala.

Hii imetokeaa bila kujulikana sababu, angalia.

Ni sula la mda tu huu ujinga utakoma
 
Lissu atawaponza wengi huu uhamasishaji wake wakutaka watu wasindikizwe ni kucheza bahati nasibu na polisi.

Pamoja na makosa ya Sugu, lugha aliyotumia polisi kwa kweli ni very provocative, iliyokosa staha na si lugha ya kiaskari. Ata mabosi wake wakitetea lugha wananchi tutashangaa.

The whole arrest procedure is wrong, lakini huyu Lissu atawaletea watu matatizo.
Hivi umesikia lugha ya kijinga aliyotumia huyo polisi? Polisi mwenye mafunzo na weledi siku zote anaepusha utumiaji wa nguvu na lugha chafu kwa wananchi. Hii karne bila kujali hata sababu zilizofanya akamatwe lakini huyo polisi ameonyesha ujinga wa hali ya juu. Ujinga wa kuzuia mikutano aliofanya huyo jamaa yenu ndiyo ulimdanganya akaona kama anapendwa sana na upinzani umesambaratika. Naona Lissu amekuweka kwenye kona mbaya mpaka unashindwa kupumua!
 
Hivi umesikia lugha ya kijinga aliyotumia huyo polisi? Polisi mwenye mafunzo na weledi siku zote anaepusha utumiaji wa nguvu na lugha chafu kwa wananchi. Hii karne bila kujali hata sababu zilizofanya akamatwe lakini huyo polisi ameonyesha ujinga wa hali ya juu. Ujinga wa kuzuia mikutano aliofanya huyo jamaa yenu ndiyo ulimdanganya akaona kama anapendwa sana na upinzani umesambaratika. Naona Lissu amekuweka kwenye kona mbaya mpaka unashindwa kupumua!
Nakubali asilimia 100 lugha ya polisi ilikuwa shida.
 
Kasome public order offences kwenye penal code za Tanzania.
Hakuna kitu kama hicho. Wadanganye mbumbumbu.

Sheria inasema kuwa kwaajili mikusanyiko ya mikutano ya hadhara au maandamano, chama husika KITATOA TAARIFA POLISI angalao masaa 48 kabla kwa mkuu wa Polisi wa wilaya husika. Naye atatakiwa kuandaa ulinzi kwaajil ya kuhakikisha kuna usalama.

Siyo kila kusanyiko unahitajika kuwataarifu polisi.

Siyo mmekutana tu watu 20 kwaajili ya kusukuma gari lililokwama, eti unahitajika kutoa taarifa Polisi.
 
Hata TBC inaona aibu kutangaza kukamatwa kwa Jongwe.
Lissu atawaponza wengi huu uhamasishaji wake wakutaka watu wasindikizwe ni kucheza bahati nasibu na polisi.

Pamoja na makosa ya Sugu, lugha aliyotumia polisi kwa kweli ni very provocative, iliyokosa staha na si lugha ya kiaskari. Ata mabosi wake wakitetea lugha wananchi tutashangaa.

The whole arrest procedure is wrong, lakini huyu Lissu atawaletea watu matatizo.
 
Police Force and Auxiliary Service Act 2002

Endeleeni kusikiliza porojo za Lissu hakuna sheria.
Weka nukuu yake hapa. Mnaongea upuuzi tu. Hakuna sheria inayosema kila kusanyiko lazima upate kibali cha Polisi. Hakuna, nina uhakika. Kama kweli ipo, weka hapa kila mmoja aione.
 
Unaandaa maandamano kinyume cha sheria, then unakamatwa unatupwa sero, tarehe za kuchukua 4m ziaisha, unaanza kulalamikia democrasia kuminywa.
Watz tunawacheki tu.
 
Police need not raise voice unnecessary and create a stand off....they have all the powers. When civilised will know that all the powers they have have been vested to them by the same people they stand down as the video shows.
 
Mkuu wangu wa shule kuna wakati aliwahi kutuambia kuwa alishangazwa na watu wanavyoliona Jeshi la Polisi. Kuna mkuu wa shule mmoja katika kutoa comments kuhusiana na mwanafunzi mmoja, wakati wa selectuon, aliandika ifuatavyo,

"Mwanafunzi huyu ni mtukutu, mara mbili aliwahi kukamatwa ameiba mahindi ya shule, ni mgomvi sana, hana heshima, ana uwezo wa chini sana katika masomo. Kazi inayoweza kumfaa ni kuwa Polisi"

Sina shaka wenye sifa hizi badi wapo kwenye Jeshi la Polisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi polisi hata awe ndugu yangu wa damu sitakaa
1.Nimchangie harusi
2.Sitakaa niende msiba wa polisi
3.Sitakaa nimzike
4.Sitakaa nimkope hata kama nahakika anakufa mama yake
5.Sitakaa nimpangishe
ANGALIZO: Sitakaa nivunje sheria kwenye kuwadeal ikiwemo kutowatukana ,kutowaua ,japo siwezi kuahidi sitowaombea mabaya
Naona Hali hiyo wanakutana nayo sana uraiani

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom