profesawaaganojipya
JF-Expert Member
- Apr 21, 2015
- 1,595
- 3,416
umechanganya na moshi labda,,,,mbeya kila baada ya nyumba 10 kanisa la walokole,hapa tanzania asilimia kubwa ya viongozi wa makanisa makubwa na madogo,na waimbaji wa gospo ni watu wa mbeya..Majambazi nishasema! Njooni mnipige🏃🏃
hilo ni tatizo la africa nzima kwa sasa..
Ziwa NgosiKona za chunya aka kona za mkoa
Bila kusahau ziwa ngozi rungwe
Na safu ya milima ya livingstone huko kyela kuelekea ziwa nyasa
Wasafwa tuna uchafu gani? Mtu kazi yake kulima na anakaa juu kwenye jua la kuchoma ukimkuta kwenye mazingira yake utasema mchafu!?Maisha nafuu mbeya, nyumba zimejengwa kiholela, wasafwa washamba sana na wachafu, wanyakyusa majidai mengi ingawa ni maskini, wakinga wameshikilia biashara.
Halafu wanafanya tambiko na maombi. Vinajicancel.Mlima iwambi, pana mteremko mrefu malori huwa yanafeli breki sasa chakushangaza hili eneo halifanyiwi ukarabati badala yake kila mwaka hawa watu wa mbeya pamoja na makanisa yao mengi huwa wanawaita machifu na wazee wa kimila ili kufanya tambiko.
Sio stori jana tarehe 26 kwanzia asubuhi sa 3 barabara ilifungwa kwa saa 2 kupisha zoezi la tambiko.
Imagine tatizo ni mteremko mkali na ubovu wa magari ndio chanzo cha ajali lakini wenyewe wanafanya tambiko.
mwaka gani,fani ganiSafi sana mbeya ,nimesoma MTC.
Mkuu,Halafu wanafanya tambiko na maombi. Vinajicancel.
ewaaaa....umenikumbusha jina la hotel.Hapo ni Floor ya pili pale Holiday Hotel! Vyumba safi kwa 20k Mbeya maisha poa sana
parachachichi Oyeeee(kwa sauti ya upole ya Mama samia).Halafu pisi za Mbeya zimefungasha hatari. Inasemekana sababu kubwa ni ulaji wa maparachichi [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
View attachment 2370174
Ile misalaba iliwekwa na wazungu, zamani tulikuwa tunasema nì alama zao za.kuelekea kwenye hazinaMlima Loleza niliupanda 2004 hadi kule juu kwenye mnara hivi ni kwa nini kila ukitembea umbali flani kutoka pale Hospital ya rufaa kuukwea mlima kuna misalaba?
mwaka gani,fani gani
Halafu pisi za Mbeya zimefungasha hatari. Inasemekana sababu kubwa ni ulaji wa maparachichi [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
View attachment 2370174
Walidanganywa na buji hapa hapa JF na ajali hazijakoma
Walidanganywa na buji hapa hapa JF na ajali hazijakoma
Halafu wanafanya tambiko na maombi. Vinajicancel.
Sisi waafrika sjui tumelogwa wapi.. kwahiyo haya maombi yanapaswa kwenda kwenye magari na kuzuia breki zisifeli, au yanapaswa kuupunguza mteremko mkali uwe tambarare.Duuuh selikari zetu
Zina maajabu mengi machifu na wachungaji wanafanya ibada sehemu moja
Ugonjwa wangu huoKWA WALE WA PENDA MISWAMBWANDA KWA PISI ZA KINYAKYUSA UNYAMA NI MWINGI MWAISA
Bhati mbaya imani za dini siyo kigezo cha kumdignose mtu kuwa na kichaa. Lakini vichaa na wapumbavu ni wengi sana.Sisi waafrika sjui tumelogwa wapi.. kwahiyo haya maombi yanapaswa kwenda kwenye magari na kuzuia breki zisifeli, au yanapaswa kuupunguza mteremko mkali uwe tambarare.
Mwanafilosofi mmoja alishasema "big problems happening when we fail to solve small problem"
Na pia badala ya kutatua tatizo sisi tunatafuta njia mbadala ya kulikwepa tatizo. Hapo ndipo tunapofeli sana.
Mateo QuaresKuna mkuu wa mkoa alikuwa anaitwa Quares mtu wa Mbulu, aliwadhihaki wana Mbeya, akapotezwa
Ilianza MTC=MBEYA TECHNICAL COLLEGESafi sana mbeya ,nimesoma MTC.
Nimeruka sana kwenye huo ukuta wa matofali ya kuchoma wa hapo Mbeya day.Picha ya Mt. Loleza haijatenda haki. Hii hapa nilipiga mimi last December nikiwa barabara ya Mbeya Day-Magereza. Imekua wallpaper kwenye PC yangu ever since.
View attachment 2370027