Tarehe 15/02/2022 Mahakama wilaya ya Kyela, Mbeya ilimpa hukumu Gerald Mwakitalu kifungo cha maisha kwa mashtaka ya kudaiwa kuchoma nyumba ya mgombea wa CCM wakati wa kampeni za uchafuzi 2020.
Leo 7/10/2022 ameshinda rufaa yake, amefutiwa hukumu hiyo, yupo huru.
======
Ni Gerald Mwakitalu aliyehukumiwa kutumikia adhabu hiyo Februari 15, 2022 kwa mashtaka ya kudaiwa kuchoma nyumba ya mgombea wa CCM wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020
Mwakitalu amefutiwa adhabu hiyo iliyotolewa kupitia Mahakama ya Wilaya ya Kyela baada kukata Rufaa ya kipinga hukumu.