Big up mkuuMungu Baba ninatubu kwa dhambi zangu na taifa letu Tz, tuonee huruma, tujalie hekima na busara tukafanye wajibu wetu kupiga, kuhesabu, kutangaza matokeo kura itakayo leta HAKI na ustawi wa taifa letu.
Amina
Kama ww mama, mbona mnapotosha, waambieni sugu kashindwaa
Ngoma bado mbichi hifadhi pongezi zakoKama ww mama, mbona mnapotosha, waambieni sugu kashindwaa
Sugu chaliNgoma bado mbichi hifadhi pongezi zako
Wakati Wakina Magufuli wanapiga magoti kule Njombe kuomba kura, mlikuwa mnawacheka..leo watu wanashinda mnawaita wajinga.Ccm wajinga sn
it might beSo hii ina manisha hakuna mpinzani Tanzania bara atakaye ingia bungeni