Uchaguzi 2020 Mbeya: Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia

Uchaguzi 2020 Mbeya: Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia

Ni simanzi kubwa kigoma mwanga kaskazini japo mimi ni ccm ila anguko la baba levo limenigusa saana

naandika hapa kwa uchungu saana

kuna next time mkuu, ajaribu again next time ila sasa ajitahidi kuwaskiliza wananchi zaidi wanataka nn, akienda na akiliza za upinzani ataanguka tena, ingawa sidhan kama ana tabia hii
 
Inauma saana jamaa

sijawai kupata uchungu kama leo

imenitonesha ule uchungu ambao niliupata miaka kadhaa nyuma siku ambayo Manchester United tulifungwa 2-0 na Barca UEFA champions final
Matokeo yameshatangazwa rasmi?
 
Alikuwa ametuadi kuwa huu ndio mwaka wake wa mwisho kugombea uchaguzi angepanda hatua nyingine
kuna next time mkuu, ajaribu again next time ila sasa ajitahidi kuwaskiliza wananchi zaidi wanataka nn, akienda na akiliza za upinzani ataanguka tena, ingawa sidhan kama ana tabia hii
 
Jiulize mwenyewe kwa sababu wewe ni maiti inayo tembea huwezi juwa
Hapo umecomment huku ukiwa na maumivu sana sehemu za siri. Mlikuwa na maneno meeengi huku vitendo sifuri.
Kalinde kura sasa tuone, au nguvu ya umma imeshindikana?
 
Back
Top Bottom