LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Tunakushukuru, angalau wewe..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio kagalagazwa na Tulia vibaya mnoNi kweli Sugu kapigwa chini?
Ndio kagalagazwa na tulia vibaya mno
Zitto, kigoma hana mpinzani wa kumtoa anasubiri kutangazwa tu.Kigoma kule kwa Zitto?
Zitto, kigoma hana mpinzani wa kumtoa anasubiri kutangazwa tu.
Sisiemu hawakuweka mtu makiniZitto, kigoma hana mpinzani wa kumtoa anasubiri kutangazwa tu.
Yeye ndiyo mpinzani, FYI!Zitto, kigoma hana mpinzani wa kumtoa anasubiri kutangazwa tu.
Sisiemu hawakuweka mtu makini
kigoma zitto kaanguka jamaa mpaka sisi CCM tunashangaaZitto, kigoma hana mpinzani wa kumtoa anasubiri kutangazwa tu.
So KUB technically anaenda kuwa Zitto? Hali ni mbaya sana kwa wapinzani..
Na kule Tarime na Bunda kwa yule dada??
Baba levo ameconfirm kushindwa udiwani kupitia account yake ya InstagramHata zitto na baba levo wote wapo hoi
Mkuu, utasubiri sana tu mpaka uchoke!Nasubiria post za JPM Kumrudisha Chato!
Tulia Dawa iingie, taja la jimbo ambalo ni hewa Kati ya hayo, au mda wote unawaza Utopolo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uwongo huu, znz.... Kuna majimbo 50 ya uchaguzi..... Hayo matokeo yenu ya kupika ni majimbo zaidi ya 50, punguzeni huu ujinga
HahahahahahhahahahahahaKwani ukizaliwa Mbeya ndiyo nini?
.... Nacheka lakin naogopa....Pole sana sugu, umevuna ulichopanda. Ulifikiri matusi yako ya IG na Twitter yatakusaidia. Haya karibu mtaani utukane vizuri
Si mlisema mtalinda kura? Mnaibiwaje huku mkiwa mnalinda?Kuna watu wana tembea unadhani wazima kumbe ni matahira unashangiliaje wizi wa kura
Baba levo ameconfirm kushindwa udiwani kupitia account yake ya Instagram