Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ina maana chadema hawajaambulia hata kata moja?CCM inaongoza kata 21 bado kata 15 UDIWANI jimbo la Mbeya Mjini .
16 walishinda bila kupingwaIna maana chadema hawajaambulia hata kata moja?
Acha kupotosha wewe. Ni kata 5, hizo nyingine 16 CCM walishapita bila kupingwa muda mrefuCCM inaongoza kata 21 bado kata 15 UDIWANI jimbo la Mbeya Mjini .
Mkuu me nimeelewa vibaya ama
Jumla Kata 36
Kata 21 zilipita bila kupingwa
Kata 15 zinaushindani
CCM imeshachukua Kata 5
niweke Sawa
Tupunguze UONGO
Kata 16 CCM walipita bila kupingwa na zikabaki kata 20 tu zenye wagombea
Sasa hizo kata 35 umezipata wapi?
Mzaliwa wa Mbeya mm,Tulia hawezi shinda Mbeya
😂🤣😂🤣😂😂😂🤣😂😂😂😂😂😂🤣😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣Wenzako weshachanganyikiwa hao Wanahisi kuwa mzawa ni Ushindi Tayari dah CCM imewafanya vibaya Hawa mazuzuKwani ukizaliwa Mbeya ndiyo nini?
Naona Mbeya watu wanashangilia ushindi kwa Tulia
Duh za masiku nkamu, umepotea sana kada wa CCMUmeanzisha mada na huna updates zozote za uhakika.
Speculations tu!
Ni wizi tu kama unavyofanyika sehemu zingineTulia amefanyia wanambeya mengi