Uchaguzi 2020 Mbeya: Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia

Uchaguzi 2020 Mbeya: Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia

Mkuu me nimeelewa vibaya ama
Jumla Kata 36
Kata 21 zilipita bila kupingwa
Kata 15 zinaushindani
CCM imeshachukua Kata 5
niweke Sawa

Ndio maana nikatumia neno kuongoza kaka technically Sugu kapoteza manispaa tayari hata akiwa mbunge nguvu yake ya kuchochea maamuzi ni ndogo sana
 
Tupunguze UONGO
Kata 16 CCM walipita bila kupingwa na zikabaki kata 20 tu zenye wagombea
Sasa hizo kata 35 umezipata wapi?
Mzaliwa wa Mbeya mm,Tulia hawezi shinda Mbeya

Kwanini mnapenda speculations na personal attacks UONGO twist kidogo ya maneno inaita uongo na mbaya zaidi kujitanabaisha mzawa wa mbeya hujui hata idadi ya kata CCM alitangulia kata 21 na amechukua nyingine 5 hapa upinzani wamepoteza manispaa ya mbeya mjini Sugu atakuwa kama kiongozi wa makaratasi kama ikitokea akishinda
 
Daaah nimepoteza ulaji hapa kwa mheshimiwa anyway way ngoja nianze kujipendekeza kwa huyu mzawa
 
Huyu Revolving Journalist mwangalieni kwa jicho la pili. Ameanzisha thread za matokeo maeneo mbalimbali ila hakuna update. Ameshikilia thread kimkakati.
 
Vyama vya upinzani vilikosa mpango mkakati baada ya uchaguzi wa Serikali za mitaa Vyama vya upinzani vilikuwa na hali mbaya matokeo yake leo 60% ya wasimamizi wake / mawakala walikuwa teenagers ambao hawa kuwa kimkakati vyama vimekosa roho ya mapambano huku chini .
Hii ni tathimini fupi ya Dar es Salaam
 
hali ni shwari na ime TULIA sana hapa kituo cha manga veta
 
Back
Top Bottom