Mbeya: Mdude Nyagali aachiwa huru na Mahakama baada kutotiwa hatiani katika kesi ya kusafirisha dawa za kulevya

Bendera fuata upepo bana. Nadhani sasa umeelewa kwanini watu wanaojitambua walikuwa wanapiga kelele kuhusu yule dhalimu.
Mkuu mdude hutaona akitukana tena
 
Wengi katika mkoa wa Songwe wako ndani kwa kesiza kusingiziwa, ilimradi walijihusisha na vyama vya upinzani. Walitakiwa yule Rc na Rpc watupwe ndani kwa kutumia madaraka yao vibaya huku matumbo yao yakijazwa na Kodi za wananchi!!,Tupa ndani wote!!
 
Mkuu mdude hutaona akitukana tena

Amtukane nani wakati dhalimu hayupo? Tatizo lake lilikuwa ni yule rais muovu, na muovu hayupo na uovu sasa umepungua, baada ya muovu kuelekea kuzimu.
 
Amtukane nani wakati dhalimu hayupo? Tatizo lake lilikuwa ni yule rais muovu, na muovu hayupo na uovu sasa umepungua, baada ya muovu kuelekea kuzimu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Si ndio maana kila siku huwa nasema sasa tuko vizuri,?

Mambo ni super, hata Mbowe sasa atabatilisha lile wazo la kwamba hamtashiriki uchaguzi maana mambo ni bam bam, mbaya wenu hayupo!

Hata mdude hutaona akitukana mtu tena maana mambo ni safi sana!
 
Hahaa!!!!!chama chakavu ni wapigania tumbo tu
 
Angehukumiwa kwenda Gerezani basi muda huu Hakim angekuwa anajadiliwa vikali lakin Kwa kuwa kaachiwa huru hakuna hata anayefaham jina la hakimu. Tatizo CDM wanapenda sana kuonewa huruma

Cdm hawahitaji huruma ya mtu yoyote, bali wanahitaji haki tu. Yoyote asiyetenda wakati analipwa ili atoe haki ni adui yao mkubwa.
 
masikini mataga pori roho imewauwa mmeumbuka [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Tumeumbukaje?

Waliompeleka kumshikisha adabu ni ccm na waliomtoa ni ccm baada ya kuona kabadirika.

Au wewe unaona kuna mfumo mwingine ndani ya hii nchi?
 
ASANTE MUNGU KWA KUTUONDOLEA SHETANI NA KUTULETEA MALAIKA
 
Mafanikio ya Samia ni habari mbaya sana kwa Lisu maana 2025 hana chake tena.

Ccm itaendelea kupeta
Pia ni aibu kwa mwendazake na waliokuwa wanamsifia, hapa ndio nimeamini mama alishawahi kutaka kujiuzuru
 
Sifa na utukufu ni kwa Mungu alieamua kutuondolea yule dhalimu
 
Kijana umepambana vya kutosha Mungu akubariki sana na kukutetea, umeendesha mapambano hadi haki imepatikana
 
Kwa mara ya kwanza nasikia mtuhumiwa wa Madawa ya kulevya anaachiwa huru kiroho safi.

Huu ushahidi kuwa sio wote wanaofungwa ni wakosaji kwa hizo kesi walizotuhumiwa.
 
Nasema hivi. Huko kuzimu kama kuna jela basi jiwe atakua anatumikia kifungo cha maisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…