Mbeya: Mdude Nyagali aachiwa huru na Mahakama baada kutotiwa hatiani katika kesi ya kusafirisha dawa za kulevya

Asanteni sana ndugu Watanzania kwa kusimama na mimi mpaka nimeachiwa.

Sina cha kuwalipa zaidi ya kusema asanteni sana.

Mapambano yaendee...

Kwa jamiiforums hii ndio account yangu na muda si mrefu itakua verified.
 
Siku ya leo ni siku ya Ukombozi kwa waliofungwa. Mungu wa Mbinguni alinuliwe milele amina.
 
Namna alivyoiwasilisha utadhani ni Wapigania uhuru wa zamani kama Kwame Nkrumah au Nelson Mandela , ama labda unaweza kudhani ni Mmarekani Mweusi Martin Luther , Hakika huyu kijana anacho kipawa fulani ndani yake , hebu Msikilize mwenyewe

Your browser is not able to display this video.
 
Tuwekee kwa maandishi mkuu, maandishi yanadumu sana hapa jukwaani ili tuweke kumbukumbu
 
Mwenye haki anastawi milele na milele.

Bwana wa Majeshi ametenda miujiza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…