Ukiitwa mshamba na watoto wanaohitaji disprine ni sawa kabisaHiyo siyo maana ya uongozi. Ndiyo maana aliitwa Mshamba. Na kweli alikuwa mshamba tena bwege. Na kafa kiboya sana hata Chalamila hakuamini
Achana na huyo mjamzitoAcha kusingizia vyombo vya dola sema vyombo vya CCM
Ccm ndio chama dolaAcha kusingizia vyombo vya dola sema vyombo vya CCM
Siku ukifanya ujeuri utaoneshwa mahala ilipoandikwaImeandikwa wapi wee TAGA?
Hujui hata kingereza.
Cowards like you die many times before they die.nae sasa atulie bas utashangaa siku mbili anataka kuongea na vyombo vya habari wala akomagi
Chama Chakavu hakiwezi kuwa Chama dola.Ccm ndio chama dola
Ndio chama dola sasaChama Chakavu hakiwezi kuwa Chama dola.
Ameachiwa lkn chamoto amekipata..
Mdude punda wa madawa ya mboe
Vumilia inakuuma eehhEti hotuba kama ya Martin Luther king Jr. Mashuuuz jazz band.
Usilie sasaEti hotuba kama ya Martin Luther king Jr. Mashuuuz jazz band. NYUMBU kibano kitawatafuna vilevile. Mmepewa likizo fupi na mama . Mwenyewe kasema mpeni time anyooshe uchumi kabla hajawageukia
Mshaurini akae kimya tu...kila mtu anajua wazi ya kwamba mahakama imemfutia mashtaka, hivyo hakuwa na hatia hapo awali (alionewa tu)
Hizo habari za kwamba atatema nyongo, bahati mbaya Herode aliyehusika kumsweka ndani kwa sasa hayupo, yupo Heredo mpya ambaye "pengine" kahusika kumfanya awe huru...
Vyombo vya dola kazi yake ni kuwatia disprine wajeuri!