Uzuri siumii mimi ataumia mdude na familia yake ambae atajifanya anajua sana kuongea na kupambana na mwenye ngivuunadhani kwanini kabla ya Magufuli mdude hakuwepo ? ukileta udikteta tutakupinga bila huruma , hatutanyamaza , ukiwa muungwana tutakuheshimu , hatutakubali kuburuzwa kamwe !
Kwanini unahangaika na huyo mamluki duni ?Unalamu viongozi wa CHADEMA kwa hujuma zilifanywa na CCM?! Kwa taarifa yako Mdude ana utashi wake wa kisiasa, na anafanya siasa kama mwito wake na hajatumiwa na mtu! Wewe baki kilioni na mataga wenzako, mliofikiri Mdude atafungwa!
Mwenye nguvu ni Mungu tuUzuri siumii mimi ataumia mdude na familia yake ambae atajifanya anajua sana kuongea na kupambana na mwenye ngivu
Ee mkuu. Sina namnaWewe unaimani na ccm wewe ?
Aaah mataga mnajisikiaje siku hizi, hakuna viroba tena baharini, kamatakamata ya mapolisi,DPP kushindana na TRA kukusanya kodi.Punda wa kubeba cocaine amechomoka
Waanze na Chalamila
Sawa mkuu maoni hayapigwi nyundo.Mwenye nguvu ni Mungu tu
HahhahaAwamu zote zinazoongozwa na Waislamu zinakuaga saafi Sana na Zina furaha Sana sijajua kwa Nini yaaani. Kwani huko makanisani huwa mnafundishwa kitu gani
Kichaa weweSasa hapo umma umehusikaje?
Hoja ni ushahidi kukosekana hakuna cha nguvu ya Mungu wala ya umma.
Stupid ass, yaani wewe na hilo dikteta Hamnazo linalooza huko na wenzentu wote ni machoko.Mdude hutamuona akitukana watu hovyo tena!
Hata wewe hapa ukileta lugha zako za kikwenu lazima mods wakushughulikie
ila mdude anajiamini sanaAibu nyingine kwa mwendazake.
Nawewe mods watakushughulikia muda si mrefu! Wewe endelea kuleta lugha za nyumbani kwenu hapaStupid ass, yaani wewe na hilo dikteta Hamnazo linalooza huko na wenzentu wote ni machoko.
Awamu zote zinazoongozwa na Waislamu zinakuaga saafi Sana na Zina furaha Sana sijajua kwa Nini yaaani. Kwani huko makanisani huwa
Mmmnafundishwa kitu gani
Chalamila alikuwa RC Mbeya na Siyo SongweWaanze na Chalamila
Chalamila hajawahi kuwa RPC wa mkoa wa Songwe mkuuNatoa wito huu kwa Serikali ya awamu ya 6, kwamba wote walioshiriki kumtesa Mdude ambao bila shaka wanafahamika , wakamatwe haraka sana na kushitakiwa Mahakamani...
Naomba kufahamu sheria za tz zinasemaje kuhusu malicious prosecution kama mdude anaweza kuwashitaki RPC wa mbeya kwa kumtengenezea mashtaka yasiyo na mashikoHuyu jamaa hapana aisee. CCM bado tunaimani nayo ila kwa hili kosa la 2015 hatuta wasahau.
Amtukane nani jiwe is no longer exists.Atakuwa na adabu sasa!
Hutaona tena yale matusi aliyokuwa anataukana!
Kwa muda aliaokaa ameshanyooka kama rula