ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Yeah namuelewa sana😄Unamuelewaga uyo mwamba?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah namuelewa sana😄Unamuelewaga uyo mwamba?
😃😃😃😃 Nipo Salamaaa na nitaendelea kuwa salama kwa uweza wa Mwenyezi Mungu mpaka nitakapotimiza ahadi zangu kwako ephen.Nikadhani umesombwa nilitaka niruke chap nije kukuokoa
Poleni Wahanga, Mungu awafariji mioyo yenu.
Duh pamojaYeah namuelewa sana😄
Unadhani kwa yanayoendelea nchi hii mlima utaacha kuangukaSalaam, shalom!!
Mlima kawetele ulioko jijini Mbeya umeipotiwa kumeguka na kuziangukia nyumba zaidi ya 20.
Chanzo Cha janga Hilo inasemeka a ni mvua nyingi zinaonyesha Nchi nzima zilizoloanisha udongo Kwa kiasi kikubwa.
Mwanzoni, iliaminika walioko milimani, wako katika USALAMA zaidi, kumbe Si Kweli, Mvua za ernino ndio kwanza zimeanza, tuendelee kuwa na Tahadhari na kudumu katika maombi.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Source: ITV
Amen
Unaupiga mwingi kama Mama Samia!😃😃😃😃 Nipo Salamaaa na nitaendelea kuwa salama kwa uweza wa Mwenyezi Mungu mpaka nitakapotimiza ahadi zangu kwako ephen.
Lucas unajipigia pande msibani,😃😃😃😃 Nipo Salamaaa na nitaendelea kuwa salama kwa uweza wa Mwenyezi Mungu mpaka nitakapotimiza ahadi zangu kwako ephen.
Ni kweli kabisa hata yale ya Hanang ni haya haya tuWamekata miti yote kwenye huo mlima landslide lazima itokee .
Njia ya kwenda ChunyaDuh,,ndio upi huo mlima?? Au ndio ule uliopo Nzovwe?
Ukiwaambia wanasema usiwasumbue wapigakura wetuNi kweli kabisa hata yale ya Hanang ni haya haya tu
Wanakata miti bila akili na wakijua fika madhara ila wanajitoa ufahamu
Sasa madhara yake ndio haya
Viongozi wao wanajua kuhamisha watu tu ila akili ya kuwahimiza wapande miti kwa lazima hawana
Tuna viongozi hopeless kabisa
Wapumbavu sana haoUkiwaambia wanasema usiwasumbue wapigakura wetu
Lucas bora afe tu hana faida kwa wanambeya na TaifaLucas Mwashambwa upo salama?
Utakufa wewe, yeye utamuacha!Lucas bora afe tu hana faida kwa wanambeya na Taifa
Huyo anakufa nakuambia,Hana faida kwa TaifaUtakufa wewe, yeye utamuacha!
Aisee kuna brother wangu anakaa mitaa hiyo, karibu na Mary's.Nadhani Tushukuru Mungu, Hakuna madhara kwa binadamu.... Shule ya Generation ime funikwa.. ila leo jpili hakukuwa na wana funzi. Wanafunzi wa Mary's waliopo Bwenin wame ondolewa.