Mbeya: Mlima Kawetele wameguka, nyumba zaidi ya 20 zadaiwa kufunikwa

Mbeya: Mlima Kawetele wameguka, nyumba zaidi ya 20 zadaiwa kufunikwa

Salaam, shalom!!

Mlima kawetele ulioko jijini Mbeya umeipotiwa kumeguka na kuziangukia nyumba zaidi ya 20.

Chanzo Cha janga Hilo inasemeka a ni mvua nyingi zinaonyesha Nchi nzima zilizoloanisha udongo Kwa kiasi kikubwa.

Mwanzoni, iliaminika walioko milimani, wako katika USALAMA zaidi, kumbe Si Kweli, Mvua za ernino ndio kwanza zimeanza, tuendelee kuwa na Tahadhari na kudumu katika maombi.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Source: ITV

Amen
Unadhani kwa yanayoendelea nchi hii mlima utaacha kuanguka
 
Nadhani Tushukuru Mungu, Hakuna madhara kwa binadamu.... Shule ya Generation ime funikwa.. ila leo jpili hakukuwa na wana funzi. Wanafunzi wa Mary's waliopo Bwenin wame ondolewa.
 
Wamekata miti yote kwenye huo mlima landslide lazima itokee .
Ni kweli kabisa hata yale ya Hanang ni haya haya tu
Wanakata miti bila akili na wakijua fika madhara ila wanajitoa ufahamu

Sasa madhara yake ndio haya
Viongozi wao wanajua kuhamisha watu tu ila akili ya kuwahimiza wapande miti kwa lazima hawana
Tuna viongozi hopeless kabisa
 
Ni kweli kabisa hata yale ya Hanang ni haya haya tu
Wanakata miti bila akili na wakijua fika madhara ila wanajitoa ufahamu

Sasa madhara yake ndio haya
Viongozi wao wanajua kuhamisha watu tu ila akili ya kuwahimiza wapande miti kwa lazima hawana
Tuna viongozi hopeless kabisa
Ukiwaambia wanasema usiwasumbue wapigakura wetu
 
Nadhani Tushukuru Mungu, Hakuna madhara kwa binadamu.... Shule ya Generation ime funikwa.. ila leo jpili hakukuwa na wana funzi. Wanafunzi wa Mary's waliopo Bwenin wame ondolewa.
Aisee kuna brother wangu anakaa mitaa hiyo, karibu na Mary's.

Jirani yake na nyumbani kwao yule msanii Izzo bizness.

Vipi madhara kwenye nyumba kipande hicho, namcheki kwenye simu simpati.
 
Back
Top Bottom