Chawa mwenyewe...!Huyo ni Laana kwa namna yoyote! Au ndio wewe una account nbili?
Anayoyashadadia humu mtandaoni unayajua?
Inatakiwa tuwe na sheria kwamba ukifanya ufisadi uuawe au ukishadadia ufisadi ufungwe.
Wewe chawa umenielewa?
Ukimtetea mwizi lazima tukuone mwizi! Pumbavu zako chawa weweChawa mwenyewe...!
Hapo umeniacha...gwa kumyetuTuntufye Kyala bhosa bhumi....π
Wifi kumbe unampenda kaka hivi πLucas Mwashambwa upo salama?
MmhChawa mwenyewe...!
Ndio maana kule Usangi kuna misitu huruhusiwi hata kuokota kuni iliyodondoka kutoka kwenye misitu hiyo. Walijua ukiruhusu tu uharibifu mkubwa utatokea.Ni kweli kabisa hata yale ya Hanang ni haya haya tu
Wanakata miti bila akili na wakijua fika madhara ila wanajitoa ufahamu
Sasa madhara yake ndio haya
Viongozi wao wanajua kuhamisha watu tu ila akili ya kuwahimiza wapande miti kwa lazima hawana
Tuna viongozi hopeless kabisa
πππ Ephen ndo kashafika bei hivo safari ku Mbozi ww upo hapa JF unapiga domoHakuna mwanamke anayeweza kudate na kada wa CCM π π π
Huyo kada anitishi, labda amroge π ππππ Ephen ndo kashafika bei hivo safari ku Mbozi ww upo hapa JF unapiga domo
Wengi wanataka elimu sana na kuwafundisha umuhimu wa mitiNdio maana kule Usangi kuna misitu huruhusiwi hata kuokota kuni iliyodondoka kutoka kwenye misitu hiyo. Walijua ukiruhusu tu uharibifu mkubwa utatokea.
Unaweza kurekebisha mkuu π πmkuu taratibu na lugha za watu ni feasibility study na sio visibility
haha hatari!Unaweza kurekebisha mkuu π π
Ili upige picha, au ufunikwe pia?Natamani ningekuepo huko.
Wengine tukishalewa na kunusa majani ndio huwa tunaingia JF kuchangia mijadala mkuu π πhaha hatari!
mimi bwana comments zako huwa zinanviunja mbavu
ππππ ushachelewa harusini karamu imeliwaHuyo kada anitishi, labda amroge π π