Yudatade Edesi Shayo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 2,903
- 4,334
Ndugu, kwani ni nani alikuambia mwanasiasa hawezi kuwa mfanyabiashara wa madawa ya kulevya au unaishi kwa kukariri? badili mtazamo hawa wanasiasa pia hawaminiki wana pande mbili.Mdude alitekwa na kupotea kwa muda kadhaa baada ya Wafadhili kupiga kelele sijui kama unakumbuka Mdude alipigwa vibaya sana na Task force
Kama wewe ni mfuatiliaji wa siasa utagundua kuwa hii serikali ndio iko nyuma ya kuteka na kupoteza wananchi wasio na hatia
Na haya ya Mdude ndiyo yanajidhihirisha kabisa
Iko siku utabanwa korodani halafu uje humu na ushuhuda
Acha ujinga.Kujitoa bongo ? Tena nyuma yako hakuna hata wananzengo. Kina Mandela walikuwa na wananchi nyuma yao. Narudia ni ufala kusema serikali huku wewe mwenyewe una makando na on top of that nyuma hakuna hata mwananchi atakeotoka nje kukupigania ukiwa jela.Kila mtu angekuwa na mawazo kama yako dunia isingekuwa na mabadiliko yoyote. Kwenye kupigania haki ni lazima kuwe na sacrifice na wale wa mwanzoni wengi huuawa au kuumizwa na kufungwa kwa kesi za kubambikiwa...
Uraibu wa dawa ni kuhujumu uchumi?!Ndo hapo sasa wakati kamanda anasema nikosa kisheria kutumia madawa ya kulevya
Sent using Jamii Forums mobile app
Gram 23 si za matumizi binafsi tumfanyabiashara wa madawa
Dhulma haidumu.. Nadhani ni suala la muda tu![emoji23] [emoji23] [emoji23] Eti mashekhe wamewaweka ndani miaka karibia 9 saivi wanasema uchunguzi haujakamilika, mdude anaambiwa madawa ya kulevya, yaani hii nchi inanuka uvundo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nibanwe kwa mambo mengine ila siyo kutukana viongozi huku nikipumbazwa na likes.Iko siku utabanwa korodani halafu uje humu na ushuhuda
Vipi unataka kuziba nafasi ya Mdude ?. Jamani taratibu, tujitahidi tujenge kuheshimia.Mbowe kakuharibu mbele nyuma?
Hata Akwilina (R.I.P.) Ulimwengu ume mfundisha ..
suala kakutwa na gram za unga ndio maana kafikishwa kizimbani, kwanini hukupelekwa wewe kizimbani?? hayo unayotaka kuleta wewe ni siasa maji takaSijui kama umenielewa au unafahamu utaratibu wa Sheria na kanuni zake ,kauli yako ya awali umemhukumu moja kwa moja.Kilichopo Mahakamani ni tuhuma tu na Ukweli wa tuhuma hizo uta thibitishwa na Mahakama...
Upuka kuhukumu Watu bila ya Uthibitisho ,bado unaishi kwenye Dunia hii hii iliyo jaa maovu.
Tafuteni nchi ya kutumia sio tanzaniaGram 23 si za matumizi binafsi tu
Hapo Ume-Bwabwaja tu wala hukutoa ushahidi wowote ule tulitarajia utuwekee hapa na sisi wengine tuone!!All in all msema kwel mpenzi wa MUNGU....
Kuna post zisizokua na STAHA
Huwa zinapostiwa na mtu anae jiita mdude chadema...
Sina uhakika Kama Ni za huyu jamaa huwa zinatumia jina lake mdude chadema hakika huwa zinakosa maadili.....
Sijajua Kama Ni huyu huyu mdude Alie kua anagombea uenyekiti wa bavicha na Rafiki yangu diwani wa butimba Mwanza John Pambalu
Nafikiria Sana content za mabandiko ya mdude katika mitandao ya ki JAMII yalikua yamejaa ukosoaji wa maudhi na
Utovu wa nidhamu.....
Hatuwezi kuukumu Kama Ni mdude NYAGALI au Ni Nani?? Vitabu vya dini vinatukataza kuhukumu Wala kumjudge mtu Ila uchunguzi ufanyike....
Kwa harakari za namna ya mabandiko ya anae jiita mdude wa mitandao ya kijamii..
Kwa harakari za sampuli hii Hakika na chelea kusema yanaweza mkuta ya marehemu Alfonce mawazo R.I.P
KAMA SIO YEYE AKANUSHE PIA ASHIRIKIANE NA TCRA KUWEZA
KUZIBITI WOTE WANAO HUSIKA NA KUTUMIA HIZO ACCOUNT
utovu wa NIDHAMU
Kweny hili inabidi busara na hekima ili haki iweze kutendeka...
Hivi ndio vitu vinavyofanya viongozi wakifa na Corona, watu washangilieWamembambikia dogo. Mashetani kabisa hawa.
Not relevant.
sawa atajieleza hayo mahakamaniGram 23 si za matumizi binafsi tu
Sasa kutukana kiongozi sheria inasema adhabu yake ni kubambikiwa heroine?Nibanwe kwa mambo mengine ila siyo kutukana viongozi huku nikipumbazwa na likes.
Sent using Jamii Forums mobile app