Umebaki wewe nasikia unatumia na kuuza unga!Haingii akilini mtu aliyekuwa front foot kukosoa serikali kama huyu afanye ujinga wa kukaa na madawa ya kulevya. Hii ni kubambikiwa kabisa na inazidi kutuonyesha jinsi huu utawala ulivyokosa utu na usivyoaminika.
Umebaki wewe acha hiyo biashara!Acheni ujinga mnarudia ujinga walioufanya Makaburu wa Afrika ya kusini
Wao wana ushahidi kwamba unga ni wake ????Una ushahidi amebambikiwa wewe?
Mbona mama yako ana sura kama hiyo naye anatumia?Huyo dogo hakika anatumia madawa ya kulevya,ukimwangalia tu hayuko sawa kichwani
Nasikia covid imemkalia meko kooni tayari, Mungu hadhihakiwi.Sio bavicha Sema misukuma isiyofanya Kazi Kwa kutumia akiri kila kitu ni bunduki tu na manguvu, mwisho itawakosti wasukuma wote, kuna kipindi sisi wasukuma tutapata taaabu Sana huko mbeleni tuombe MUNGU huyu mzeee apone na huo ugonjwa anaoumwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nimejihami barabara ndugu nyumba yangu ina camera zaidi ya hamsini njoo na unga wakoUmebaki wewe acha hiyo biashara!
Umebaki wewe! Nakushauri uache hiyo biashara hailipi mkuu!Mnamuonea, kumbambikia kesi. The whole worl is aware of this barbaric act! Hawezi kuwa na madawa ya kul;evya wakati anajua kuwa serikali wakati wowote itampekua! mmekuja nazo wakati wa kumpekua.
Nchambi muondoe hapo mkuuHata wewe hauko salama ni swala la muda tu!!jifunze kwa wenzako wakina nape,nchambi,jauary makamba,makamba Senior,membe!!wakitumaliza watahamia kwenu wenyewe kwa wenyewe dictator hana rafiki
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaanza na wewe! Acha hiyo biashara kwanza wewe siyo msukuma acha kujipendekeza kwenye kabila kubwa!Sio bavicha Sema misukuma isiyofanya Kazi Kwa kutumia akiri kila kitu ni bunduki tu na manguvu, mwisho itawakosti wasukuma wote, kuna kipindi sisi wasukuma tutapata taaabu Sana huko mbeleni tuombe MUNGU huyu mzeee apone na huo ugonjwa anaoumwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo sentensi ya pili kutoka mwisho itatimia mungu hajawahi kumpenda shetaniPole yake. Ukiona kina Kigogo wanaisema serikali kwa ID fake lazima ujifunze. Humu JF tunaisema Serikali kwa ID fake sisi sio vilaza. Hapo atateseka miaka kama miaka. Aombe Magufuli ashindwe Urais ama afariki dunia.
Hiyo tabia wanayo washenzi wenzako huko lumumba
Wamempa hiyo kesi kumdhibiti, ila corona lazima itaondoka na DPP na huyo aliepanga huo mpango, muda ni ukutaNi ufala kuisema serikali huku ukiwa na makando kando tena unatumia ID halisi.
Pole yake. Ukiona kina Kigogo wanaisema serikali kwa ID fake lazima ujifunze. Humu JF tunaisema Serikali kwa ID fake sisi sio vilaza. Hapo atateseka miaka kama miaka. Aombe Magufuli ashindwe Urais ama afariki dunia.