Mbeya: Mpaluka Nyagali Mdude akamatwa na Heroine, apandishwa kizimbani akikabiliwa na mashtaka ya Uhujumu Uchumi

I bet haitofika January 2021 akiwa jera. Hata Mandela alitoka. Uzuri jamaa kisaikolojia alikua kashajiandaa, saizi anacheka tu akijua ipo siku atatoka. Na atatoka tu am sure.
 
Mdude umenaswa kiboya kweli. Pole naona Chalamila kakukamata kwenye angle
 
Kivipi? Bado ni mtuhumiwa tu.
Watuhumiwa wakishafikishwa mahakamani hawarudishwi vituoni ni magereza na kumbuka kesi yake haina mdhamana!Na mikesi ya namna hii unakuwa mfungwa manake inachukua muda mrefu hadi hukumu kutoka!
 
Na wewe ushaona mtoto wa jiwe, Kasimu, Suluhu, job wapo humu kuitetea ccm? Mpo nyie masikini kupindukia mnaoitetea ccm wakati familia za viongozi wenu zinakula bata! Hatuwezi fanana wote.......tuvumiliane!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo maana nimesema sie masikini... Nilikua naonya na ujumbe umefika. Hao wanasiasa wanatufanya sie mafala.so tucheze kwa step

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi kesi zimezoeleka kwa hii awamu ya tano hata ukimuuliza mtoto wa darasa la tatu swali la ikiwa anaifahamu kesi bambikizi kwa hiu awamu atakujibu ni "uhujumu uchumi"
Hawa watu hata aibu ya uso hawana kabisa!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iko siku itageukia upande wenu, upanga kwa upanga
 
CONNECTING DOTS za matukio yake zinanipa kufikiri mbali sana katika tukio hilo
 
Makamanda wa M4C watume kikosi maalum Cha makomandoo wa sheria wakamuokoe mkuu wa batalioni ya Chadema Facebook jenerali mdude.
 
Kesi za dizaini hii siku hizi watu hawashtuki tena maana wanajua kinachoendelea behind the scene.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…