Mungu siyo mnafiki, endelea na furaha yako!!#HABARI Kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mdude Nyagali, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mbeya, kujibu shtaka linalomkabili ya uhujumu uchumi baada ya kukutwa na gramu 23.4 za dawa za kulevya aina ya Heroine.
Source EATVView attachment 1449165
Makamanda kampiganieni, kamanda wenu.[emoji22]
Sent using Jamii Forums mobile app by My phone
Eti nabakia Africa.
We kibwengu ungekua na washaur ungekua unaandika upuuzi humu
Ni ufala kabisa. Unajiingiza kichwa kichwa wakati wenzako wana jeshi. Faida gani sasa na hii kesi imekaa vibaya. Hapa kutoka ni baada ya miaka.Hapa ndo napochukia kujiingiza kwenye mapambano ya siasa...unaiacha familia yako inahangaika wew unaenda kunyea debe...kwani angetulia tu angepungukiwa nini?
Malipo gani sasa? Kwa hiyo wewe unaona sawa auze madawa ili vijana waharibikiwe?Ila Mungu anawaona na malipo ni hapa hapa duniani.
Odhis *
Haingii akilini mtu aliyekuwa front foot kukosoa serikali kama huyu afanye ujinga wa kukaa na madawa ya kulevya. Hii ni kubambikiwa kabisa na inazidi kutuonyesha jinsi huu utawala ulivyokosa utu na usivyoaminika.Wamembambikia dogo. Mashetani kabisa hawa. Wamemuuwa Ben Saanane mchana kweupee
Yule ni mjinga,Pole yake. Ukiona kina Kigogo wanaisema serikali kwa ID fake lazima ujifunze. Humu JF tunaisema Serikali kwa ID fake sisi sio vilaza. Hapo atateseka miaka kama miaka. Aombe Magufuli ashindwe Urais ama afariki dunia.
CCM wameshaishiwa mbinu na pumzi. Kazi yao kuu iliyobaki ni kutumia Jeshi la Polisi na Mahakama kutekeleza dhulima zao.Magufuli hivi wewe ni Mtumishi wa umma kweli? Je unatenda haki kweli?
Haki huinua taifa, Bali dhambi ni aibu ya watu wote
Acheni ujinga mnarudia ujinga walioufanya Makaburu wa Afrika ya kusiniUna ushahidi Kama kabambikiwa? Au sababu ni kada wa chadema Basi hawezi kufanya kosa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Our Mandela, stay strong. Hii haitafanya kunyamaza. Aliyeumbiwa utetezi huwa hatetereki na misukosuko.
Pole our Madiba. Tupo pamoja ktk maumivu yako. Mungu akulinde dhidi ya hii "mikorona" kandamizi
Umeshaona Ni CHADEMA.unadhani kunachakumshauri akueleweHuyo kijana anawazazi wanaomshauri?
Hata kichaa huwaona wengine ni vichaa. Tafakari Bia yetuNawashauri wazazi wamwache akae jela wasihangaike kuuza mashamba kuhangaika na kichaa
Hivi kosa la kutukana ni kubambikiwa heroin gramm 23 ndio sheria inavyosema?
Malipo gani sasa? Kwa hiyo wewe unaona sawa auze madawa ili vijana waharibikiwe?
Hio furaha umenipa wewe.?π‘π
23gm mahakamani anawashinda hicho ni kiwango cha matumizi mpelekeni rehab β β β
Hivi mbowe anakusukumiaMbowe ahojiwe nasikia Ndio kazi zake