Leonardo Harold
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 1,088
- 2,122
Kumbe kwa zile post hawajapata cha kumshati nacho.Kwahiyo wameona kwazile post zake hamna kesi hapo imebidi wamuibue kwa something Solid !!
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe kwa zile post hawajapata cha kumshati nacho.Kwahiyo wameona kwazile post zake hamna kesi hapo imebidi wamuibue kwa something Solid !!
Kabisa ukimsikiliza kamanda wa police wa mkoa wa mbeya anamaanisha mdude ni teja na kwamba matumizi ya heroin yanaweza haribu akili za mtu!!kuwa mdude hana akili timamuHii kesi inaonekana kabisa ya kutengeneza kabisa ila ni hatari sana kwa Nchi inapata laaana za ajabu kwa ajili ya matukio ya watu wachache ingawaje dogo ilitakiwa aachane na mambo hayo kipindi hiki...baadae mnataka watu waiombee Nchi bila kubadilika hizi tabia zenu mnaangaamiza Taifa kwa vizazi vijavyo
[emoji16]Sema kashika remote, huku tunatazama vikatumi anavyotuwekea tuvicheki
Kumbe uyo mtoto anakula unga pia,yani anakula unga na kuza bidhaha iyo haramu?23gm mahakamani anawashinda hicho ni kiwango cha matumizi mpelekeni rehab [emoji111] [emoji111] [emoji111]
Ndo alicholenga kamanda ukimsikiliza kw makini kuwa mdude ni teja23gm mahakamani anawashinda hicho ni kiwango cha matumizi mpelekeni rehab [emoji111] [emoji111] [emoji111]
Uhakika gani unaotaka, polisi unaona hawana ushahidi paka kesi imefika mahakamani?Unayo hakika ya unacho kisema Mkuu !!?
Sasa mteja anakuwaje ni mhujumu uchumi?si apelekwe detox na rehabNdo alicholenga kamanda ukimsikiliza kw makini kuwa mdude ni teja
Sent using Jamii Forums mobile app
Nature itamfundishaNi ufala kabisa. Unajiingiza kichwa kichwa wakati wenzako wana jeshi. Faida gani sasa na hii kesi imekaa vibaya. Hapa kutoka ni baada ya miaka.
Vijana nyie wa Lumumba yaani njaa zenu hadi ubinadamu umewatoka nyie ni ma shetani ila yana mwisho.wapo na wanamshauri vizuri sana sema vijana wa chadema hawasikilizi wazee
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila mtu angekuwa na mawazo kama yako dunia isingekuwa na mabadiliko yoyote. Kwenye kupigania haki ni lazima kuwe na sacrifice na wale wa mwanzoni wengi huuawa au kuumizwa na kufungwa kwa kesi za kubambikiwa. Hakuna sehemu mabadiliko yamekuja bila baadhi ya watu kuumia. Njia nzuri ni kwa waliobaki wenye kukerwa na ukandamizaji huu kupaza sauti na kusaidia kwa hali na mali. Leo umemuita fala lakini kumbuka utawala wa aina hii huwa na kawaida ya kunogewa na ukatili inaofanya. Pamoja na woga wako si ajabu kesho wewe au ndugu yako akajikuta ameathirika na huu ukatili bila hata kutegemea. Hata marehemu Akwilina alikuwa ''fala''?Ni ufala kabisa. Unajiingiza kichwa kichwa wakati wenzako wana jeshi. Faida gani sasa na hii kesi imekaa vibaya. Hapa kutoka ni baada ya miaka.
Aya sawa njoo unikamate kwa kuuliza swali.Kama hujui kuwa huyo ni kichaa hata Wewe ukikamatwa sitashangaa
Ndo hapo sasa wakati kamanda anasema nikosa kisheria kutumia madawa ya kulevyaSasa mteja anakuwaje ni mhujumu uchumi?si apelekwe detox na rehab
Huu ni wakati muafaka wa wafadhili kukata misaada
Ngoja anyee debe!Kuna lijitu nchi hii bora Mungu alitangulize.
Naomba ushahidi wa mtu aliyemtukana mkuu nione.Kutukuna watu bila sababu ndio kusema kweli? Mbona viongozi wake wa chadema hawatukani watu (unavyodai kusema kweli)
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu hubambika kilo sio vigramm vya personal use hahaha mumeshapotea stepu Mdude anatoka asubuhi tuKumbe uyo mtoto anakula unga pia,yani anakula unga na kuza bidhaha iyo haramu?
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA