Mbeya: Msanii wa Nyimbo za Injili, Sifa Bujune ashikiliwa kwa tuhuma za kuimba wimbo wenye maudhui ya uchochezi

Mbeya: Msanii wa Nyimbo za Injili, Sifa Bujune ashikiliwa kwa tuhuma za kuimba wimbo wenye maudhui ya uchochezi

Wacha blah blah, hakuna unabii wa namna hiyo. Hizo mbwembwe tu. Kuna nabii gani kwenye Biblia alitabiri kama unayosema wewe. Acha uongo na upotoshaji dogo. Sijui kwanini kila kitu sasa mnakiweka kwenye mlengo wa kisiasa. Yaani mtu akikataa kuamini unachoamini na kutaka unalazimisha siasa.

Tangu mmeanza kuwashauri Kwa staha,

Lini wameacha kuiba KURA kwenye chaguzi?
 
Wasengenyaji mnoo, halafu waoga.
Hawa ni wachungaji wangu nawajua nje ndani.

Elimu ya kuunga unga haiwapi ujasiri kukosoa, wengi ni weupe sana kichwani.

Pili wamejaa umaskini, wanakimbizana na sadaka na mafungu ya kumi tu.

Kama ana bisha aseme kanisa lake hapa
Haaaahaa mkuu msamehe tu huyu bwana.
 
Hizi ni blah blha zako tu mnatulazimisha wote tuandamane na kutukana watawala kama hatuna akili? Sisi ni viongozi tuna watu tunawaongoza na hatuwezi kusimama mbele na kashfiana na viongozi wenzetu. Haya ya kuzini wewe wasema kwani hata hao maaskofu akina yule wa KKKT Karagwe mnayemuona shujaa amezaa na mke wa mtu, hao maaskofu na mapadri wa Kiroma ndio wenyewe tena wao hadi wanalawiti watoto wa kiume. Mashehe na maustadhi nao hivyo hivyo. Kwa hilo, mmetukosa hatusimami na kushutumu mamlaka ili tuonekane mashujaa. Sisi wajibu wetu ni kuwashauri tu.

Wajibu wa kushauri Nani aliwapa?
 
Hao ni vijana wa Mbarikiwa Mwakipesile na huwa tunamshauri sana aache kushindana na dola na kama anainba kuisema serikali aimbe na kusema yeye kama yeye na asihusishe kanisa na Ukristo kwenye mambo yake. Yule ana shida kidogo kwa. Suala lake binafsi liniiuma sana kwani nilikuwa nampenda na kupenda zile tenzi wanazoimba.

Sasa amejiingiza kushambulia serikali bila sababu akisema wamemuulia mwanaye tena Mkurugenzi wa usalama wa Taifa ndio kafanya hivyo. Jamaa hashauriki, vijana wake hao waliokamatwa hawashauriki wao wanatokana na kujiona wajuaji kama genta alivyo. Kiburi, kutojinyenyekesha, ujuaji mara nyingi huenda kwenye anguko.

Sasa kumezuka wimbi kubwa la watumishi wanaosimama na kuoneshana umwamba na serikali. Hakuna duniani mtumishi wa Mungu aliwahi ishinde dola nasi wajibu wetu ni kushauri na kuiombea mamlaka na siyo kushindana nayo.

Mimi ni kiongozi wa Kanisa na ni miongoni mwa wajumbe CPCT Taifa, kama wapentecoste tulishauri na kutoa maoni yetu kwa Mamlaka kuhusu Bandari kwani nasi tunaaminiwa na watu hatuwezi mshutumu mfalme mbele za watu.


Tulikumbushia kwa Spika wakati wa mkutano wetu mkuu pale CBC Miuji Dodoma kuhusu maoni yetu na msimamo wetu ki sio kushindana wala kupinga hadharani.
Sijuhi huo wimbo lakini kama ameimba kuikosoa Serikali kosa liko wapi? Mbona mwimbaji akiimba kusifia hiyo serikali hakamatwi wala kuhojiwa? Ni kasumba mbaya iliyoanza kupandikizwa na kuota mizizi kipindi cha jpm, mwanzoni Rais wa Sasa alianza kuonyesha ukomavu, lakini baada ya haya madudu yanayofanywa na serikali yake nae anaanza mwelekeo mbaya.
 
Sio wote kaka🤭nI baadhi tu
Wengine wako vzr
80% I know these wachungaji dada, sina haja ya kutuhumu watu kwa uwongo.

Yaani 80% wapo after money, ni watu wakiofeli kimaisha waka opt. Kuwa wachungaji.

Na hawa ni watu wa ajabu sana, wanawachukia wachungaji wenzao walionyooka.
Mfano mdogo wanamchukia sana Mchungaji Magembe wa Majumba sita pale Dar, kisa tu anawapa ukweli mchungu.
 
Anamuiga ney wa mitengo, akiamua kuipa serikali nakoz za uso anaipa apendavyo, kaonywa, sijui kama atarudia kuimba makavu kwa serikali. Sasa huko mbeya hakuna basata mpaka polisi wakamate muimba sanaa? Halafu tangu lini waimba injili wameanza kuimba mambo ambayo si injili? Huyo kijana anasali kanisa gani tujue misimamo ya kisiasa ya mchungaji wake?
 
Haaaahaa mkuu msamehe tu huyu bwana.
Kauli ya huyu mchungaji inashabihiana na Askofu Barnabas Mtokambali, aliitoa Dodoma mbele ya Magufuli kuwa yeye habweki hadharani bali huomba kuonana na mkuu wa nchi, wakati huo akimtunukia tuzo ya corona😂😂😂.

Wapentecoste wachungaji wanafiki sana.

Elia alimuonya na kumkemea Ahabu kwa uovu wake lkn wao wanajiona wana hekima saana kutokemea uovu
 
Anaimba bandari siku hizi.
Ana nyimbo nyingi tu.

Ni hivi, tangu zamani watumishi waliposhauri Watawala na kupuuzwa,

Waliacha madhabahu na kuwaendea huko waliko kuwakemea.

Nenda kasome Nabii Samweli alivyofanya Kwa Sauli, Na manabii wa Kweli hawapokei bahasha za khaki.

Anakupa UKWELI mchungu hachukui hata mia na humfanyi kitu maana ametumwa na Mungu.
 
Sijuhi huo wimbo lakini kama ameimba kuikosoa Serikali kosa liko wapi? Mbona mwimbaji akiimba kusifia hiyo serikali hakamatwi wala kuhojiwa? Ni kasumba mbaya iliyoanza kupandikizwa na kuota mizizi kipindi cha jpm, mwanzoni Rais wa Sasa alianza kuonyesha ukomavu, lakini baada ya haya madudu yanayofanywa na serikali yake nae anaanza mwelekeo mbaya.
Kumezoea kuficha ufagio na majembe uvunguni, ujinga mtupu
 
Hao ni vijana wa Mbarikiwa Mwakipesile na huwa tunamshauri sana aache kushindana na dola na kama anainba kuisema serikali aimbe na kusema yeye kama yeye na asihusishe kanisa na Ukristo kwenye mambo yake. Yule ana shida kidogo kwa. Suala lake binafsi liniiuma sana kwani nilikuwa nampenda na kupenda zile tenzi wanazoimba.

Sasa amejiingiza kushambulia serikali bila sababu akisema wamemuulia mwanaye tena Mkurugenzi wa usalama wa Taifa ndio kafanya hivyo. Jamaa hashauriki, vijana wake hao waliokamatwa hawashauriki wao wanatokana na kujiona wajuaji kama genta alivyo. Kiburi, kutojinyenyekesha, ujuaji mara nyingi huenda kwenye anguko.

Sasa kumezuka wimbi kubwa la watumishi wanaosimama na kuoneshana umwamba na serikali. Hakuna duniani mtumishi wa Mungu aliwahi ishinde dola nasi wajibu wetu ni kushauri na kuiombea mamlaka na siyo kushindana nayo.

Mimi ni kiongozi wa Kanisa na ni miongoni mwa wajumbe CPCT Taifa, kama wapentecoste tulishauri na kutoa maoni yetu kwa Mamlaka kuhusu Bandari kwani nasi tunaaminiwa na watu hatuwezi mshutumu mfalme mbele za watu.


Tulikumbushia kwa Spika wakati wa mkutano wetu mkuu pale CBC Miuji Dodoma kuhusu maoni yetu na msimamo wetu ki sio kushindana wala kupinga hadharani.
Acha ujinga, unataka tuwapinge kwa kificho watu wasio na hofu ya mungu??
 
Back
Top Bottom