Mbeya: Msanii wa Nyimbo za Injili, Sifa Bujune ashikiliwa kwa tuhuma za kuimba wimbo wenye maudhui ya uchochezi

Na akiimba wimbo wa kumtukuza rais akamatwe pia maana rais hana sifa zaidi ya kuwa mama Abdul
sahihi na wale waandishi wa habali wa tbc wanaompamba yule bibi kwenye hafla mbali mbali wakamatwe maana wanasema uongo na si wazarendo kwa kumpa sifa mtu ambaye hajiwezi
 
Yaani muue mwanae halafu mnamwambia ajinyenyekeshe?
Ngoja waje wakutende wewe kwa mwanao halafu ujinyenyekeshe kwa dola

Pathetic!!!
 
Katika kusoma kwangu biblia toka agano la kale mpaka agano jipya manabii na mitume wa kweli asilimia kubwa walikuwa hawaelewani na wenye mamlaka

Hao manabii na mitume walikemea Zambi na makosa ya watu na viongozi wao
Nabii Elia Yohana mbatizaji na wengine wengi walikemea viongozi bila kinga'atang'ata maneno

Hii nchi imejaa rushwa, ufisadi, uchawi, na kila aina ya mabaya,
Lini viongozi wa dini mmesimama na kukemea hayo maovu ya serikali
Nyie mmekuwa kama wale manabii arobaini walioingiwa na pepo ili wamdanganye mfalme aende vitani akauwawe.

Mwakipesile anaweza kuwa na mapungufu mengi lakini si mnafiki

CPCT ondoeni boriti kwanza
SHALLOM.
 
Anaimba bandari siku hizi.
Soma Hesabu 22.

Mfalme Balaki anamwita Nabii Ballamu aje awalaani Israeli Ili aweze kuwashinda katika vita,

Balamu anamwambia Hawa Haiwezekani kuwalaani maana WAMEBARIKIWA!!

Mfalme Balaki anamwambia Nabii Balamu, ukinilaania watu Hawa Israeli nitakupa RUSHWA ya nusu ya ufalme wangu,

Nitakupa pesa na Mali nyingi, sharti unilaanie watu Hawa!!

Balamu akamgomea Mfalme na akasusa Hongo zake, na AKAWABARIKI Israeli Badala ya kuwalaani.

Na zamani, kukataa Amri ya mfalme Ilikuwa ni kuuwawa.
 
Ndio Hawa watumishi fake,

Yaani watawala wanaiba kura katika chaguzi,

Watumishi hawakemei UOVU huo, wanawapongeza na kuchukua bahasha za kaki!!

Mtumishi wa Kweli hapindishi, na hapajawahi kuwa na urafiki kati ya Watawala waovu na Manabii wa Kweli.
 
We kama mwoga kaa pembeni na waache watumishi wa Mungu wasio wanafiki waseme ukweli na kukemea maovu kiuhalisia
 
Mzee magembe😅😅
Nampendaga na mambo yake ....

Ila 80%hapana bwana hii kubwa sn
 
Kila mtu ana njia yake ya kufikisha ujumbe. Wewe kama unaiogopa serikali Kaa pembeni.
 
We kenge upewe bandari na nani?
Embu toka hapa usikae kudandia mada za maana za watu kwa upuuzi wako.
Unawapenda sana waarabu nenda na msuli bila Chupi kwao huko mkatafute wajukuu
🤣🤣🤣
 
Punguza uongo, eti Yesu aliuliwa na Dola.
 
Basi muombeeni maana km hashauriki na alikuwa vzr tu Kuna mahali adui kapata mlango!
Muombeeni acheni kumshauri!
 
Wewe mbona hauna unyenyekevu?. Umejaa unafiki. Mwenzako anadai mtoto wake kauawa wewe unadhihaki na kukebehi.
 
Naye anao uhuru wa kutoa maoni yake. Usimlazimishe atoe maoni yake.
 
Mzee magembe😅😅
Nampendaga na mambo yake ....

Ila 80%hapana bwana hii kubwa sn
Nafikiri mtu akikuuliza kuhusu mtumishi Mwksg unamfahamu nje ndani.

Hivyo niamini nisemacho. I know these men mamaa.

Karibu 90% ya maisha yangu kuanzia utotoni nimekuwa karibu nao.

Unanichokoza nifunguke🤣🤣🤣🤣

Itoshe tu kusema wachungaji wa kipentecoste wengi ni tatizo kubwa sana but Uktisto na wokovu ni halisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…