Mbeya: Msanii wa Nyimbo za Injili, Sifa Bujune ashikiliwa kwa tuhuma za kuimba wimbo wenye maudhui ya uchochezi

Mbeya: Msanii wa Nyimbo za Injili, Sifa Bujune ashikiliwa kwa tuhuma za kuimba wimbo wenye maudhui ya uchochezi

Yohanna Mbatizaji alimwambia Kweli mfalme kuwa amefanya kosa kunyanganya mke wa kakake na kumfanya mke wake.

Mfalme akamfunga gerezani, mke aliyesemwa akamuundia zengwe Yohana na akauwawa.

Kwahiyo Yohana angeacha kukemea TABIA ya kudhulumu NDOA Ili UOVU uenee?

Kweli na HAKI vinatoka Kwa Mungu, kufa Kila mtu atakufa muda wake ukifika.

Ni kheri kufa ukipigania Kweli na HAKI kuliko kufia guesthouse ukizini.
Nawe u mbabaishaji na hakuna kitu cha Kiroho ujuacho. Hivi haonakina Yohana walienda kumsema na kumkemea huyo Mfalme Hadharani? Je Mungu gani asiye na utaratibu wa namna hiyo? Nathari alienda kwa Daudi, Samweli alienda kwa Sauli, Eliya alienda kwa Ahabu. Sasa leo mtu anasimama mtandaoni na kuanza shutuma tena kwa kashfa na kujigamba binafsi kushindana na dola. Jana niliona video moja ya Askofu mmoja anajiita mwana mapinduzi. Ile sio kukemea ni kujigamba na kutishia dola. Lina Yohana alisimama na "kusema simuogopi Herode, wala Pilato wala Majeshi yote ya Kirumi. Hayanifanyi kitu na hayanibabaishi kitu" hahaaa bro bwana. You are very low upstairs na masuala ya Kiroho huna ujuacho. Naonaga kule kwenye uzi wa yoga unavyoongea. Bado sana wewe.
 
barikiwa ameharibu sana wale vijana, nadhani yeye ndio anatakiwa kuwa wa kwanza kukaa ndani. au la apelekwe mirembe yeye na mkewe, wameharibu vijana sana, vijana wake hawana akili kabisa wamebaki kumsikiliza yeye tu. kama amechochea, akae ndani na afungwe kabisa. sijui kwanini serikali inamuogopa mbarikiwa.
Rabbon aione hii
 
Sasa ndugu ulikosa Kiti uko CCM mpaka ukaamua uangukie Uchungaji?
Kutetea CCM ni ishara ya kwanza kua unajali tumbo kuliko Haki sidhani kama utaweza kuongoza ibada kwa dhati pasipo Sadaka/malipo.

"Ivimbie Serkali ufungiwe Kanisa"
Hahaaaaa kimsingi huu ndio msimamo na kile mtakacho kutulazimisha wote tuingie huko na kuamini kile muaminicho au mtakacho. Sijaitetea ccm sehemu ila naandika kilicho kweli.
 
Hao ni vijana wa Mbarikiwa Mwakipesile na huwa tunamshauri sana aache kushindana na dola na kama anainba kuisema serikali aimbe na kusema yeye kama yeye na asihusishe kanisa na Ukristo kwenye mambo yake. Yule ana shida kidogo kwa. Suala lake binafsi liniiuma sana kwani nilikuwa nampenda na kupenda zile tenzi wanazoimba.

Sasa amejiingiza kushambulia serikali bila sababu akisema wamemuulia mwanaye tena Mkurugenzi wa usalama wa Taifa ndio kafanya hivyo. Jamaa hashauriki, vijana wake hao waliokamatwa hawashauriki wao wanatokana na kujiona wajuaji kama genta alivyo. Kiburi, kutojinyenyekesha, ujuaji mara nyingi huenda kwenye anguko.

Sasa kumezuka wimbi kubwa la watumishi wanaosimama na kuoneshana umwamba na serikali. Hakuna duniani mtumishi wa Mungu aliwahi ishinde dola nasi wajibu wetu ni kushauri na kuiombea mamlaka na siyo kushindana nayo.

Mimi ni kiongozi wa Kanisa na ni miongoni mwa wajumbe CPCT Taifa, kama wapentecoste tulishauri na kutoa maoni yetu kwa Mamlaka kuhusu Bandari kwani nasi tunaaminiwa na watu hatuwezi mshutumu mfalme mbele za watu.


Tulikumbushia kwa Spika wakati wa mkutano wetu mkuu pale CBC Miuji Dodoma kuhusu maoni yetu na msimamo wetu ki sio kushindana wala kupinga hadharani.
Wacha kikenyua mimeno yako michafu!
Hao sio mabwabwa kama wewe, wana sababu ya kuisema serikali![emoji848]
 
Kama Isyesye basi ni muumini wa Mwakipesile Mbarikiwa.
Ila police wametusaidia kutujulisha kuwa kuna wimbo umetoka
sio tu muumini, alikuwa anaishi naye nyumbani kwa mbarikiwa, ni binti ambaye mbarikiwa anamlea (kwa mujibu wa clip ambayo mbarikiwa amesambaza). vijana wote kwenye kile kikundi wamechanganyikiwa na wanaishi kimwili na wale hawana tofauti na Makenzie, na mbarikiwa inasemekana alishawahi kuwa na connections na makenzie wa kenya. pia, anaabudi illegally kwasababu kile kikundi hajakisajili, amekataliwa usajili kwasababu hata serikali iliona haikielewi kichwa chake.
 
W
Wacha kikenyua mimeno yako michafu!
Hao sio mabwabwa kama wewe, wana sababu ya kuisema serikali![emoji848]
Wacha weeeee watoro wasio na wazazi hawa wao ni kutukana kila.mtu tu.
 
Acha nawe kupotosha. Kuna sehemu Eliya alimtukana Ahabu? Kuna sehemu Eliya alimshutumu Ahabu? Mnampotosha na yule kuanguka hashauriwi namfahamu nawafahamu wale vija wake na mkewe na wala sijihesabii haki na mwache kumpampu ujinga. Kuna sehemu Eliya alimshinda ahabu? Akina Petro, Yakobo na Paulo waliuliwa na Dola. Yesu aliuliwa na Dola. Hakuna mtumishi wa Mungu aliyewahi ishinde dola narudia na afanyavyo ni watu wasio na akili pekee ndio wanamuunga mkono. Akina Eliya walienda kuonya na sio kutukana. Wacha maneno yako haya.

Kama CPCT tulishatuma mtu kumuonya, kumshauri na kumueleza aache haya. Anajibu hovyo na kiburi. Kiburi kile sio cha Kimungu hata usemaji na sasa mnajifichia kuhukumu nankujihesabia haki. Kwake namhukumu na najihesabia haki. Mi nakaa na kutumika Mbeya, tumemuita na kuongea, hasikii wala haambiliki yule.
Aisee wewe itakuwa mkristo jina tu halafu unajiita kiongozi wa dini sijui mchungaji wa pentecoste. Huko kanisani kwenu kuna upungufu wa viongozi mpaka na wewe uwe kiongozi. Hakika umelihabisha kanisa lako yaani unaamini Yesu aliuliwa na dola, na pia unaamini dola lilikuwa na uwezo zaidi ya kumzidi Yesu? Hivi kama Yesu angetumia malaka yake na uwezo kuna kiumbe angefurukuta?
 
Mara nyingi msema kweli huitwa "Mchochezi" na yale "machawa ya Mama" yenye kusifia ujinga ndio huitwa "Wazalendo" na kupewa airtime ili kuendelea kuhadaa na kuwalaghai wananchi. CCM wanapenda watu kama Steve Nyenyere and the likes.
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia mwimbaji wa nyimbo za injili SIFA BONIVENTURE BUJUNE [25] Mkazi wa Isyesye Jijini Mbeya kwa tuhuma za kuimba wimbo wenye maudhui ya uchochezi na kuurusha kwenye mitandao ya kijamii.

Kamanda wa Polisi Mbeya, Benjami Kuzaga amesema Mtuhumiwa alikamatwa Septemba 13, 2023 huko Isyesye Jijini Mbeya baada ya kuimba wimbo wenye maudhui ya uchochezi dhidi ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kuusambaza kupitia mitandao ya kijamii pamoja na mtandao wa kurusha maudhui wa Youtube.

Mtuhumiwa anaendelea kuhojiwa kwa hatua zaidi za kisheria.
Amtaje aliyemtuma.

Watu wanajaribu kila njia kuiondowa nchi kwenye amani.
 
Hahaaaaa kimsingi huu ndio msimamo na kile mtakacho kutulazimisha wote tuingie huko na kuamini kile muaminicho au mtakacho. Sijaitetea ccm sehemu ila naandika kilicho kweli.
Hiyo ndiyo kweli mliyotumwa kuifichaficha kama Uchawi, Hii pia ni aina ya Uchawa kutokosoa wakati husupport hadharani ni Unafiki.
 
Hao ni vijana wa Mbarikiwa Mwakipesile na huwa tunamshauri sana aache kushindana na dola na kama anainba kuisema serikali aimbe na kusema yeye kama yeye na asihusishe kanisa na Ukristo kwenye mambo yake. Yule ana shida kidogo kwa. Suala lake binafsi liniiuma sana kwani nilikuwa nampenda na kupenda zile tenzi wanazoimba.

Sasa amejiingiza kushambulia serikali bila sababu akisema wamemuulia mwanaye tena Mkurugenzi wa usalama wa Taifa ndio kafanya hivyo. Jamaa hashauriki, vijana wake hao waliokamatwa hawashauriki wao wanatokana na kujiona wajuaji kama genta alivyo. Kiburi, kutojinyenyekesha, ujuaji mara nyingi huenda kwenye anguko.

Sasa kumezuka wimbi kubwa la watumishi wanaosimama na kuoneshana umwamba na serikali. Hakuna duniani mtumishi wa Mungu aliwahi ishinde dola nasi wajibu wetu ni kushauri na kuiombea mamlaka na siyo kushindana nayo.

Mimi ni kiongozi wa Kanisa na ni miongoni mwa wajumbe CPCT Taifa, kama wapentecoste tulishauri na kutoa maoni yetu kwa Mamlaka kuhusu Bandari kwani nasi tunaaminiwa na watu hatuwezi mshutumu mfalme mbele za watu.


Tulikumbushia kwa Spika wakati wa mkutano wetu mkuu pale CBC Miuji Dodoma kuhusu maoni yetu na msimamo wetu ki sio kushindana wala kupinga hadharani.
Nonsense
 
Ukienda kuhubiri unanjaa lazima Utailamba Serkali Makalio, Muwe mnatafuta pesa kwanza ndo mnajiita Viongozi/Wachumgaji Mnamtia Yesu aibu kaita Vibaka Katika Nyumba zake.
 
Hao ni vijana wa Mbarikiwa Mwakipesile na huwa tunamshauri sana aache kushindana na dola na kama anainba kuisema serikali aimbe na kusema yeye kama yeye na asihusishe kanisa na Ukristo kwenye mambo yake. Yule ana shida kidogo kwa. Suala lake binafsi liniiuma sana kwani nilikuwa nampenda na kupenda zile tenzi wanazoimba.

Sasa amejiingiza kushambulia serikali bila sababu akisema wamemuulia mwanaye tena Mkurugenzi wa usalama wa Taifa ndio kafanya hivyo. Jamaa hashauriki, vijana wake hao waliokamatwa hawashauriki wao wanatokana na kujiona wajuaji kama genta alivyo. Kiburi, kutojinyenyekesha, ujuaji mara nyingi huenda kwenye anguko.

Sasa kumezuka wimbi kubwa la watumishi wanaosimama na kuoneshana umwamba na serikali. Hakuna duniani mtumishi wa Mungu aliwahi ishinde dola nasi wajibu wetu ni kushauri na kuiombea mamlaka na siyo kushindana nayo.

Mimi ni kiongozi wa Kanisa na ni miongoni mwa wajumbe CPCT Taifa, kama wapentecoste tulishauri na kutoa maoni yetu kwa Mamlaka kuhusu Bandari kwani nasi tunaaminiwa na watu hatuwezi mshutumu mfalme mbele za watu.


Tulikumbushia kwa Spika wakati wa mkutano wetu mkuu pale CBC Miuji Dodoma kuhusu maoni yetu na msimamo wetu ki sio kushindana wala kupinga hadharani.
Eeh mwakipesile sijui kakutwa na nini?
Kwani huyo mwanae anaesema wanemuua ,ni wa kuzaa?
Na ilikuwaje?
Maana ht nilipojaribu kuifuatilia kiukweli sikuelewa
 
Hizi ni blah blha zako tu mnatulazimisha wote tuandamane na kutukana watawala kama hatuna akili? Sisi ni viongozi tuna watu tunawaongoza na hatuwezi kusimama mbele na kashfiana na viongozi wenzetu. Haya ya kuzini wewe wasema kwani hata hao maaskofu akina yule wa KKKT Karagwe mnayemuona shujaa amezaa na mke wa mtu, hao maaskofu na mapadri wa Kiroma ndio wenyewe tena wao hadi wanalawiti watoto wa kiume. Mashehe na maustadhi nao hivyo hivyo. Kwa hilo, mmetukosa hatusimami na kushutumu mamlaka ili tuonekane mashujaa. Sisi wajibu wetu ni kuwashauri tu.
Ndio maana hamheshimiki hamjitambui kabisa
 
Enzi za ukipigwa shavu moja mgeuzie la pili umepitwa na wakati.

Mnahubiri uoga na sio neno la ujasiri.
Tangu mwanzo Wafalme wakikosa hukenewa na watumishi wa Mungu lkn ninyi mmekuwa watu wa ajabu mno hasa Wapentecoste.

Wachungaji wa Kipentecoste wanafiki mnooo mnapitwa na RC.

ningmyi ni wasengenyaji na wanung'unikaji chichini...ninawafahamu kuliko.
Haaaahaaa mkuu inaonesha unawajua kiundani kweli na una uzoefu nao.
 
Back
Top Bottom