Mbeya: Msanii wa Nyimbo za Injili, Sifa Bujune ashikiliwa kwa tuhuma za kuimba wimbo wenye maudhui ya uchochezi

Mbeya: Msanii wa Nyimbo za Injili, Sifa Bujune ashikiliwa kwa tuhuma za kuimba wimbo wenye maudhui ya uchochezi

Enzi za ukipigwa shavu moja mgeuzie la pili umepitwa na wakati.

Mnahubiri uoga na sio neno la ujasiri.
Tangu mwanzo Wafalme wakikosa hukenewa na watumishi wa Mungu lkn ninyi mmekuwa watu wa ajabu mno hasa Wapentecoste.

Wachungaji wa Kipentecoste wanafiki mnooo mnapitwa na RC.

ninyi ni wasengenyaji na wanung'unikaji chichini...ninawafahamu kuliko.
Hizi Dini zineingiliwa na matapeli na machawa wanaoogopa kuumbuliwa ndio Maana wanajificha kwenye mgongo Wa kujinyenyekesha Kwa watawala Hata kama dhulma imejaa.

Wanatumia Dini kukwepa Kodi badala Wakati pesa ni michango ya waumini .
Cha ajabu hawatangazi ni bidhaa Gani imeingizwa na kusamehewa Kodi na Ina manufaa Gani Kwa Jamii . Cha ajabu michango haiishi. Wanashirikiana na matapeli kuingiza magari na vifaa vingine Kwa kukwepa Kodi ndio Maana wanakua ni tawi la wahuni na Mafisadi.
Kwenye ukweli usemwe Hata kama utamgharimu MTU . Ujapokufa Utakua unaishi . Lakni ukiishi ukiwa unamdhalilisha Mungu na Kristo basi Hata kama una jina la kuwa hai basi inakua umekufa kitambo.
 
Unasoma BIBLIA Gani?

Nenda kasome mkasa wa Nabii Elia vs Mfalme Ahabu dhidi ya Yezebeli na Yehu utajua nini anafanya Mbarikiwa.( 1 Wafalme 1,2,3,4.......... )Hadi mwisho wa kitabu utaona.

Kila mtumishi ameumbwa na kupewa utumishi Kwa nafasi yake.

Usijihesabie HAKI.
🤝 Noted
 
Hao ni vijana wa Mbarikiwa Mwakipesile na huwa tunamshauri sana aache kushindana na dola na kama anainba kuisema serikali aimbe na kusema yeye kama yeye na asihusishe kanisa na Ukristo kwenye mambo yake. Yule ana shida kidogo kwa. Suala lake binafsi liniiuma sana kwani nilikuwa nampenda na kupenda zile tenzi wanazoimba.

Sasa amejiingiza kushambulia serikali bila sababu akisema wamemuulia mwanaye tena Mkurugenzi wa usalama wa Taifa ndio kafanya hivyo. Jamaa hashauriki, vijana wake hao waliokamatwa hawashauriki wao wanatokana na kujiona wajuaji kama genta alivyo. Kiburi, kutojinyenyekesha, ujuaji mara nyingi huenda kwenye anguko.

Sasa kumezuka wimbi kubwa la watumishi wanaosimama na kuoneshana umwamba na serikali. Hakuna duniani mtumishi wa Mungu aliwahi ishinde dola nasi wajibu wetu ni kushauri na kuiombea mamlaka na siyo kushindana nayo.

Mimi ni kiongozi wa Kanisa na ni miongoni mwa wajumbe CPCT Taifa, kama wapentecoste tulishauri na kutoa maoni yetu kwa Mamlaka kuhusu Bandari kwani nasi tunaaminiwa na watu hatuwezi mshutumu mfalme mbele za watu.


Tulikumbushia kwa Spika wakati wa mkutano wetu mkuu pale CBC Miuji Dodoma kuhusu maoni yetu na msimamo wetu ki sio kushindana wala kupinga hadharani.
Wewe nawe ni walewale kama machawa wengine tu kwani ukiwa CPCT ndio unakuwa hauna element kama za dada yako mfalme Zumari...
 
ndio hawa hawa wachungaji wenye matumbo makubwa kama wanakulaga watu. kanisa linaloacha kukemea maovu na dhambi hilo sio kanisa ni genge la kukusanyia sadaka. very hopeless church
Walafi kama nini
 
Nani kasema mtoto wake kafa kwa ajali? Una nilisha maneno. Nimesema chanzo cha kifo kile ni walipopata ajali wakienda kuhubiri kanda ya ziwa. Baada ya kumrudisha mtoto Mbeya au wampeleke Hospitali wakaenda naye kwenye mkutano wakati mtoto akiwa na majeraha ya ndani. Hii ndio ilisababisha kifo chake. Je wewe una ushahidi kuwa aliuliwa na Usalama wa Taifa? Kwa akili yako ndogo, usalama wataua mtoto wa Mbarikiwa kwa kosa gani? Je mbarikiwa ana influence gani nchi hii hadi awe tishio?
Na wewe unaushahidi kama mtoto alipata majeraha ya ndani? Au unafikiri Yohani mbatizaji aliongelea uvunguni mpaka ikampeleekea kutiwa gerezani na mwishoe kuchinjwa kichwa. Red is Red na Yellow is Yellow.
 
Hizi Dini zineingiliwa na matapeli na machawa wanaoogopa kuumbuliwa ndio Maana wanajificha kwenye mgongo Wa kujinyenyekesha Kwa watawala Hata kama dhulma imejaa.

Wanatumia Dini kukwepa Kodi badala Wakati pesa ni michango ya waumini .
Cha ajabu hawatangazi ni bidhaa Gani imeingizwa na kusamehewa Kodi na Ina manufaa Gani Kwa Jamii . Cha ajabu michango haiishi. Wanashirikiana na matapeli kuingiza magari na vifaa vingine Kwa kukwepa Kodi ndio Maana wanakua ni tawi la wahuni na Mafisadi.
Kwenye ukweli usemwe Hata kama utamgharimu MTU . Ujapokufa Utakua unaishi . Lakni ukiishi ukiwa unamdhalilisha Mungu na Kristo basi Hata kama una jina la kuwa hai basi inakua umekufa kitambo.
Umeongea ukweli wote.
Kwanza serikali iache kutoa misamaha ya kodi kanisani .

Hii misamaha ya kodi inaua Ukristo.
Wachungaji wetu wamekuwa matapeli .

Wanashirikiana na madalali wakubwa kuuza vitu vyenye msamaha wa kodi.

Mfano hai ni Mtu anajiita Askofu Isangya tajiri mkubwa, kanisa la International,Sakila kikatiti Arusha.

Huyu ndiye tapeli labda namba moja Tanzania kupitia dini.

Huwa anasafiri kwenda Marekani anakaa zaidi ya miezi 4 akikusanya nguo za misaada, saa za thamani na mengineyo.

Analenta Makontena ya kufa mtu.

Marekani anapewa kama misaada lkn yeye akifika tu bongo anauza vyote.

Yule fala ni tajiri kupindukia, alitaka kujenga uwanja wa ndege wa binafsi akanyinwa kibali.

Huyu ndiye alikuwa akiingiza makontena ya vifaa mbali mbali kwa jina la kanisa lakini ukweli vilikuwa vya Mwenye hoteli za Naura, Impala na Ngurdoto...Mrema.

Kanisa la EAGT lina mgogoro mkubwa tangu mwaka juzi, ugomvi mkubwa ni kugombea mapato ya aibu, kupitia mradi wa kuagiza magari kwa jina la kanisa lkn sio ya kanisa.

Uongozi wa juu umeoza na hili limeandikwa mara kadhaa magazetini.

Makanisa yetu ya kiroho wachubgaji 80% yameoza hawana ujasiri wa kukemea serikali wataumbuliwa.

Sio kipentecoste pekee hata Moravian, Anglican maarufu wachungaji wazinzi zaidi, KKKT ya akina Malasusa ni tatizo tupu pia.
 
Na wewe unaushahidi kama mtoto alipata majeraha ya ndani? Au unafikiri Yohani mbatizaji aliongelea uvunguni mpaka ikampeleekea kutiwa gerezani na mwishoe kuchinjwa kichwa. Red is Red na Yellow is Yellow.
Wanajijua ni waovu wakitoka hadharani wataumbuliwa
 
Mahubiri yake

Nawe u mbabaishaji na hakuna kitu cha Kiroho ujuacho. Hivi haonakina Yohana walienda kumsema na kumkemea huyo Mfalme Hadharani? Je Mungu gani asiye na utaratibu wa namna hiyo? Nathari alienda kwa Daudi, Samweli alienda kwa Sauli, Eliya alienda kwa Ahabu. Sasa leo mtu anasimama mtandaoni na kuanza shutuma tena kwa kashfa na kujigamba binafsi kushindana na dola. Jana niliona video moja ya Askofu mmoja anajiita mwana mapinduzi. Ile sio kukemea ni kujigamba na kutishia dola. Lina Yohana alisimama na "kusema simuogopi Herode, wala Pilato wala Majeshi yote ya Kirumi. Hayanifanyi kitu na hayanibabaishi kitu" hahaaa bro bwana. You are very low upstairs na masuala ya Kiroho huna ujuacho. Naonaga kule kwenye uzi wa yoga unavyoongea. Bado sana wewe.
Mnyoa denge, Wewe ndio mbabaishaji unafikiri ukikaa kota za mahakama ndio utakuwa unajua sheria. Kitu kikiongelewa uvunguni wewe panda kwenye dari kiseme.
 
Mnyoa denge, Wewe ndio mbabaishaji unafikiri ukikaa kota za mahakama ndio utakuwa unajua sheria. Kitu kikiongelewa uvunguni wewe panda kwenye dari kiseme.
Mpeni mabanzi ya kutosha akawasimuliwe matapeli wenzie
 
Yohanna Mbatizaji alimwambia Kweli mfalme kuwa amefanya kosa kunyanganya mke wa kakake na kumfanya mke wake.

Mfalme akamfunga gerezani, mke aliyesemwa akamuundia zengwe Yohana na akauwawa.

Kwahiyo Yohana angeacha kukemea TABIA ya kudhulumu NDOA Ili UOVU uenee?

Kweli na HAKI vinatoka Kwa Mungu, kufa Kila mtu atakufa muda wake ukifika.

Ni kheri kufa ukipigania Kweli na HAKI kuliko kufia guesthouse ukizini.
Wewe hujisikii vizuri kupigania haki ufe, mbona unamng'ang'niza mwenzako!
 
Acha nawe kupotosha. Kuna sehemu Eliya alimtukana Ahabu? Kuna sehemu Eliya alimshutumu Ahabu? Mnampotosha na yule kuanguka hashauriwi namfahamu nawafahamu wale vija wake na mkewe na wala sijihesabii haki na mwache kumpampu ujinga. Kuna sehemu Eliya alimshinda ahabu? Akina Petro, Yakobo na Paulo waliuliwa na Dola. Yesu aliuliwa na Dola. Hakuna mtumishi wa Mungu aliyewahi ishinde dola narudia na afanyavyo ni watu wasio na akili pekee ndio wanamuunga mkono. Akina Eliya walienda kuonya na sio kutukana. Wacha maneno yako haya.

Kama CPCT tulishatuma mtu kumuonya, kumshauri na kumueleza aache haya. Anajibu hovyo na kiburi. Kiburi kile sio cha Kimungu hata usemaji na sasa mnajifichia kuhukumu nankujihesabia haki. Kwake namhukumu na najihesabia haki. Mi nakaa na kutumika Mbeya, tumemuita na kuongea, hasikii wala haambiliki yule.
Wewe ni mjinga
 
Hao ni vijana wa Mbarikiwa Mwakipesile na huwa tunamshauri sana aache kushindana na dola na kama anainba kuisema serikali aimbe na kusema yeye kama yeye na asihusishe kanisa na Ukristo kwenye mambo yake. Yule ana shida kidogo kwa. Suala lake binafsi liniiuma sana kwani nilikuwa nampenda na kupenda zile tenzi wanazoimba.

Sasa amejiingiza kushambulia serikali bila sababu akisema wamemuulia mwanaye tena Mkurugenzi wa usalama wa Taifa ndio kafanya hivyo. Jamaa hashauriki, vijana wake hao waliokamatwa hawashauriki wao wanatokana na kujiona wajuaji kama genta alivyo. Kiburi, kutojinyenyekesha, ujuaji mara nyingi huenda kwenye anguko.

Sasa kumezuka wimbi kubwa la watumishi wanaosimama na kuoneshana umwamba na serikali. Hakuna duniani mtumishi wa Mungu aliwahi ishinde dola nasi wajibu wetu ni kushauri na kuiombea mamlaka na siyo kushindana nayo.

Mimi ni kiongozi wa Kanisa na ni miongoni mwa wajumbe CPCT Taifa, kama wapentecoste tulishauri na kutoa maoni yetu kwa Mamlaka kuhusu Bandari kwani nasi tunaaminiwa na watu hatuwezi mshutumu mfalme mbele za watu.


Tulikumbushia kwa Spika wakati wa mkutano wetu mkuu pale CBC Miuji Dodoma kuhusu maoni yetu na msimamo wetu ki sio kushindana wala kupinga hadharani.
Ila pia wewe ni mzigo kama alivyo huyu anayeimba nyimbo zenye uchochezi.
 
Ndio mnajifichia huko siku hizi mkimbiaji ukweli. Eti leo mkuu wa usalama wa Taifa ameua mtoto wa Mbarikiwa. Yaani aue mtoto kwa kosa gani? Mbarikiwa ana tishia nini kwenye usalama wa nchi? Mbarikiwa ana influence gani nchini? Mbarikiwa ana watu wangapi wanaosikiliza? Wale kikosi kazi hata 50 hawafikii.

Mtoto kafa tokana na ajali ya Gari wakati wanaenda kuhubiri kule kanda ya ziwa. Baada ya kupata ajali, baada wampeleke hospitali au wamrudishe Mbeya, wamelazimisha naye amelazimisha kwenda kwenye mkutano eti ni shujaa anataka afe pamoja na Baba yake. Mtoto akawa na maumivu ya ndani kwa ndani ndio kilimuua. Sasa hapo mkuu wa usalama wa Taifa kahusikaje?

Tunafahamu utumishi wa Kimungu umejengwa katika unyenyekevu. Ukitaka kujua fuatilia watoto wake akina Onesmo Mwakajila hata yule Ulimwengu aliamua kujitoa kikosi na alivyoshambuliwa. Mwulize Kuhani Lawi alivyomshauri alichokutana nacho toka kwa hao watoto wake. He is psychiatric, wampime akili na wamcontrol haraka ataleta maafa kama ya Shakahola.
kumbe wewe ndoyule pastor unayeashindana na mwakisile mitandaoni... aisee umekosea sana
 
Tulikumbushia kwa Spika wakati wa mkutano wetu mkuu pale CBC Miuji Dodoma kuhusu maoni yetu na msimamo wetu ki sio kushindana wala kupinga hadharani.
Sasa imewasaidia kitu gani wakati mnashauri na kupuuzwa!

Sitapoteza muda wa kukuchambua wewe na huo unafiki mnaoufanya ndio uliotufikisha hapa tulipofikia kama taifa.

Mnatumia njia hizo ili kesho na keshokutwa mkumbukwe na mtupiwe fupa la kulamba kama mbwa?

Hizo njia zenu ziliwahi kuleta mabadiliko wapi?
 
Akina Petro, Yakobo na Paulo waliuliwa na Dola. Yesu aliuliwa na Dola. Hakuna mtumishi wa Mungu aliyewahi ishinde dola narudia na afanyavyo ni watu wasio na akili pekee ndio wanamuunga mkono. Akina Eliya walienda kuonya na sio kutukana. Wacha maneno yako haya.
Duh!

Nilidhani unazo za kutosha kichwani, kumbe ni mtupu hivi?

Kwa hiyo wewe unahimiza hao watumishi walambe uchafu, kwa vile hawawezi kushindana na dola?

Akili yako ni mbovu sana. Watu wa mfano wako ndio maadui wakuu katika jamii yoyote ile.
 
Hizi ni blah blha zako tu mnatulazimisha wote tuandamane na kutukana watawala kama hatuna akili? Sisi ni viongozi tuna watu tunawaongoza na hatuwezi kusimama mbele na kashfiana na viongozi wenzetu. Haya ya kuzini wewe wasema kwani hata hao maaskofu akina yule wa KKKT Karagwe mnayemuona shujaa amezaa na mke wa mtu, hao maaskofu na mapadri wa Kiroma ndio wenyewe tena wao hadi wanalawiti watoto wa kiume. Mashehe na maustadhi nao hivyo hivyo. Kwa hilo, mmetukosa hatusimami na kushutumu mamlaka ili tuonekane mashujaa. Sisi wajibu wetu ni kuwashauri tu.

Naona umeanza kujihesabia haki,kwamba wewe huna mawaa,angalau hao wanasimamia haki kuliko wewe mnafiki
 
Hao ni vijana wa Mbarikiwa Mwakipesile na huwa tunamshauri sana aache kushindana na dola na kama anainba kuisema serikali aimbe na kusema yeye kama yeye na asihusishe kanisa na Ukristo kwenye mambo yake. Yule ana shida kidogo kwa. Suala lake binafsi liniiuma sana kwani nilikuwa nampenda na kupenda zile tenzi wanazoimba.

Sasa amejiingiza kushambulia serikali bila sababu akisema wamemuulia mwanaye tena Mkurugenzi wa usalama wa Taifa ndio kafanya hivyo. Jamaa hashauriki, vijana wake hao waliokamatwa hawashauriki wao wanatokana na kujiona wajuaji kama genta alivyo. Kiburi, kutojinyenyekesha, ujuaji mara nyingi huenda kwenye anguko.

Sasa kumezuka wimbi kubwa la watumishi wanaosimama na kuoneshana umwamba na serikali. Hakuna duniani mtumishi wa Mungu aliwahi ishinde dola nasi wajibu wetu ni kushauri na kuiombea mamlaka na siyo kushindana nayo.

Mimi ni kiongozi wa Kanisa na ni miongoni mwa wajumbe CPCT Taifa, kama wapentecoste tulishauri na kutoa maoni yetu kwa Mamlaka kuhusu Bandari kwani nasi tunaaminiwa na watu hatuwezi mshutumu mfalme mbele za watu.


Tulikumbushia kwa Spika wakati wa mkutano wetu mkuu pale CBC Miuji Dodoma kuhusu maoni yetu na msimamo wetu ki sio kushindana wala kupinga hadharani.
[emoji7][emoji7][emoji2956]
 
Back
Top Bottom