Mbeya: Msanii wa Nyimbo za Injili, Sifa Bujune ashikiliwa kwa tuhuma za kuimba wimbo wenye maudhui ya uchochezi

Mbeya: Msanii wa Nyimbo za Injili, Sifa Bujune ashikiliwa kwa tuhuma za kuimba wimbo wenye maudhui ya uchochezi

Hao ni vijana wa Mbarikiwa Mwakipesile na huwa tunamshauri sana aache kushindana na dola na kama anainba kuisema serikali aimbe na kusema yeye kama yeye na asihusishe kanisa na Ukristo kwenye mambo yake. Yule ana shida kidogo kwa. Suala lake binafsi liniiuma sana kwani nilikuwa nampenda na kupenda zile tenzi wanazoimba.

Sasa amejiingiza kushambulia serikali bila sababu akisema wamemuulia mwanaye tena Mkurugenzi wa usalama wa Taifa ndio kafanya hivyo. Jamaa hashauriki, vijana wake hao waliokamatwa hawashauriki wao wanatokana na kujiona wajuaji kama genta alivyo. Kiburi, kutojinyenyekesha, ujuaji mara nyingi huenda kwenye anguko.

Sasa kumezuka wimbi kubwa la watumishi wanaosimama na kuoneshana umwamba na serikali. Hakuna duniani mtumishi wa Mungu aliwahi ishinde dola nasi wajibu wetu ni kushauri na kuiombea mamlaka na siyo kushindana nayo.

Mimi ni kiongozi wa Kanisa na ni miongoni mwa wajumbe CPCT Taifa, kama wapentecoste tulishauri na kutoa maoni yetu kwa Mamlaka kuhusu Bandari kwani nasi tunaaminiwa na watu hatuwezi mshutumu mfalme mbele za watu.


Tulikumbushia kwa Spika wakati wa mkutano wetu mkuu pale CBC Miuji Dodoma kuhusu maoni yetu na msimamo wetu ki sio kushindana wala kupinga hadharani.
Mbarikiwa Mwakipesile ana kipaji kizuri sana cha kuimba. Tenzi zile alivyoziimba ni wazi zinadhihirisha kipaji chake lakini nadhani kichwani hayuko sawa. Dishi limeyumba kidogo na anahitaji ushauri wa kidaktari japo nasikia pia huwa hashauriki. Yaani angejikita kwenye Neno tu na kumtukuza Mungu aisee angefika mbali sana.
 
Mbarikiwa Mwakipesile ana kipaji kizuri sana cha kuimba. Tenzi zile alivyoziimba ni wazi zinadhihirisha kipaji chake lakini nadhani kichwani hayuko sawa. Dishi limeyumba kidogo na anahitaji ushauri wa kidaktari japo nasikia pia huwa hashauriki. Yaani angejikita kwenye Neno tu na kumtukuza Mungu aisee angefika mbali sana.
......ni mgonjwa...alikuwa anatumia vidonge siku za nyuma....Dr.D.......Z.....anasema alimbadilishia na kumweka katika sindano moja kila mwezi....alikataa kuchomea hospitali na kutaka awe anachomwa nyumbani kwake......Dr.D.......anasema hajui kama ushauri wake ulitekelezwa.....

Ahurumiwe mchungaji wetu Mwakipesile [emoji120]
 
Bora Mwendazake alishajisemea hadharani kuwa "You are not free to that extent"

Huyu hasemi hivyo ila watu wanabinywa korodani kimya kimya

Siku akija kusema hayo basi tutegemee maiti za kwenye viroba
 
......ni mgonjwa...alikuwa anatumia vidonge siku za nyuma....Dr.D.......Z.....anasema alimbadilishia na kumweka katika sindano moja kila mwezi....alikataa kuchomea hospitali na kutaka awe anachomwa nyumbani kwake......Dr.D.......anasema hajui kama ushauri wake ulitekelezwa.....

Ahurumiwe mchungaji wetu Mwakipesile [emoji120]
Pole yake. Kuna video moja anamshambulia mchungaji mwenzake kwa matusi mazito tena akiwa madhabahuni huku anajigaragaza chini povu jeupe likimtoka mdomoni. Ukiiangalia utajua kuwa hayuko sawa. Si ajabu alishaacha kutumia dawa na kujikita katika maombi zaidi. Watu wake wa karibu na wamsaidie kungalipo na muda bado 🙏🏿
 
Bora Mwendazake alishajisemea hadharani kuwa "You are not free to that extent"

Huyu hasemi hivyo ila watu wanabinywa korodani kimya kimya

Siku akija kusema hayo basi tutegemee maiti za kwenye viroba
Nadhani hata yeye hapa anasema "You are not free to that extent". Alikuwa makamu kule na sijui kwa nini huwa wanamtenga na mabaya yaliyofanyika kule.

Screenshot_20230911_175040_Telegram.jpg
 
Pole yake. Kuna video moja anamshambulia mchungaji mwenzake kwa matusi mazito tena akiwa madhabahuni huku anajigaragaza chini povu jeupe likimtoka mdomoni. Ukiiangalia utajua kuwa hayuko sawa. Si ajabu alishaacha kutumia dawa na kujikita katika maombi zaidi. Watu wake wa karibu na wamsaidie kungalipo na muda bado [emoji1545]
Hakika.....

Inasikitisha....

Mch.ana matatizo makubwa na wengi wamzungukao ni kama vile nao "wagonjwa" ilihali ni wazima ila BWANA alinena "watu wangu huangamia kwa kukosa maarifa....".

Maarifa maarifa maarifa [emoji120]

BWANA amsaidie aaamin[emoji120]
 
Kumbe wote wanafanana

Mtoto wa Mjusi wote Mijusi 🙌
Demokrasia sisi bado. Ni dhana tu tuliyopandikiziwa na hawa mabosi wetu kwa sababu wanazozijua wao wenyewe. Na mimi naamini ni mtego mwingine wa kutufanya tusiendelee.

Wenyewe huko wengi wao waliendelea wakati wana tawala za kifalme na kidikteta; na baadhi yao walishapigana wenyewe kwa wenyewe mpaka kuheshimiana. Siamini kama wangeanza na hii demokrasia yao wangefika hapo walipo.

Isitoshe kwa sasa demokrasia kule kwao ni sehemu ya mila na utamaduni wao. Na inaanzia majumbani huko. Ndiyo maana kitoto kidogo cha kizungu kinaweza kumkoromea mshua wake home eti kisa kina demokrasia na kinajua haki zake na mshua hawezi kukifanya cho chote. Sisi bado hatujafika huko. Nyumba nyingi bado kuna udikteta wa mshua na wakati mwingine hata mama. Na mila zetu nyingi zinatuasa kuheshimu na kutotukana watu waliotuzidi umri. Ndiyo maana kuna mpishano na mkanganyiko kuhusu dhana nzima ya demokrasia. Kuna wanaoiga uzungu ndani ya demokrasia huku wakiamini kuwa demokrasia haipaswi kuwekewa mipaka. Hawa ndiyo hawaoni shida hata kuporomosha matusi kwa jina la demokrasia. Huku nako utasikia kutukana watu wakubwa si mila na utamaduni wetu na demokrasia yetu inabidi iendane na mila na utamaduni wetu. Mkanganyiko!

Afrika inahitaji "madikteta" dizaini ya akina Kagame na Magufuli. Tuwape miaka 10 - 20 tu. Afrika ingebadilika kabisa. Na baada ya hapo turudi sasa kwenye hizi ngonjera za demokrasia na kuchekeana chekeana na kutukanana huku hakuna la maana linaloendelea.
 
Ana nyimbo nyingi tu.

Ni hivi, tangu zamani watumishi waliposhauri Watawala na kupuuzwa,

Waliacha madhabahu na kuwaendea huko waliko kuwakemea.

Nenda kasome Nabii Samweli alivyofanya Kwa Sauli, Na manabii wa Kweli hawapokei bahasha za khaki.

Anakupa UKWELI mchungu hachukui hata mia na humfanyi kitu maana ametumwa na Mungu.
Trash
Mbarikiwa Mwakipesile ana kipaji kizuri sana cha kuimba. Tenzi zile alivyoziimba ni wazi zinadhihirisha kipaji chake lakini nadhani kichwani hayuko sawa. Dishi limeyumba kidogo na anahitaji ushauri wa kidaktari japo nasikia pia huwa hashauriki. Yaani angejikita kwenye Neno tu na kumtukuza Mungu aisee angefika mbali sana.
Hii ndio hoja yangu japo vijana wanatoa povu hapa eti shujaa wa kizazi chao ni yule anayepinga serikali hadharani tena akiitukana. Mbarikiwa hashauri wala hakemei, ila anatukana na ni kweli ana shida ya akili.

Maneno na matendo yake ya sasa ni ya mtu mwenye matatizo ya akili. Mungu amsaidie.
 
Pole yake. Kuna video moja anamshambulia mchungaji mwenzake kwa matusi mazito tena akiwa madhabahuni huku anajigaragaza chini povu jeupe likimtoka mdomoni. Ukiiangalia utajua kuwa hayuko sawa. Si ajabu alishaacha kutumia dawa na kujikita katika maombi zaidi. Watu wake wa karibu na wamsaidie kungalipo na muda bado 🙏🏿
Hashauriki wala haambiliki. Nimeona video nyingi akifanya hivyo. Utumishi wa Mungu umejengwa katika unyenyekevu. Sasa hata anavoongea na kutenda unaona kuna shida kichwani mwake.
 
Haya std7 hongera kwa kumaliza shule juzi. Sekondari unaenda soma wapi?
Fake pastor Kinengunengu baada kumaliza la saba nilienda chuo cha biblia kusoma theolojia
Kwa sasa nipo mtaani nafanya kazi na kuhubiri injili siuzi mafuta, maji wala vitambaa vya upako.
 
Hao ni vijana wa Mbarikiwa Mwakipesile na huwa tunamshauri sana aache kushindana na dola na kama anainba kuisema serikali aimbe na kusema yeye kama yeye na asihusishe kanisa na Ukristo kwenye mambo yake. Yule ana shida kidogo kwa. Suala lake binafsi liniiuma sana kwani nilikuwa nampenda na kupenda zile tenzi wanazoimba.

Sasa amejiingiza kushambulia serikali bila sababu akisema wamemuulia mwanaye tena Mkurugenzi wa usalama wa Taifa ndio kafanya hivyo. Jamaa hashauriki, vijana wake hao waliokamatwa hawashauriki wao wanatokana na kujiona wajuaji kama genta alivyo. Kiburi, kutojinyenyekesha, ujuaji mara nyingi huenda kwenye anguko.

Sasa kumezuka wimbi kubwa la watumishi wanaosimama na kuoneshana umwamba na serikali. Hakuna duniani mtumishi wa Mungu aliwahi ishinde dola nasi wajibu wetu ni kushauri na kuiombea mamlaka na siyo kushindana nayo.

Mimi ni kiongozi wa Kanisa na ni miongoni mwa wajumbe CPCT Taifa, kama wapentecoste tulishauri na kutoa maoni yetu kwa Mamlaka kuhusu Bandari kwani nasi tunaaminiwa na watu hatuwezi mshutumu mfalme mbele za watu.


Tulikumbushia kwa Spika wakati wa mkutano wetu mkuu pale CBC Miuji Dodoma kuhusu maoni yetu na msimamo wetu ki sio kushindana wala kupinga hadharani.
Brother watu wamechoka sana.. Kuna lugha ya kuongea na serikali kwasasa maana lugha laini hazina matunda wameshupaza shingo hawaambiliki, hawashauriki..
Hawa wanaopaza sauti zao kwa ukali ni kiwakilishi cha wengi sana waliochoshwa mno na mambo ya hii serikali
Wanaweza kuwajeruhi kuwaumiza na hata kuwafunga lakini wataibuka wengine wengi watakaoongea kwa sauti kali zaidi.. Watu wamechoka sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Brother watu wamechoka sana.. Kuna lugha ya kuongea na serikali kwasasa maana lugha laini hazina matunda wameshupaza shingo hawaambiliki, hawashauriki..
Hawa wanaopaza sauti zao kwa ukali ni kiwakilishi cha wengi sana waliochoshwa mno na mambo ya hii serikali
Wanaweza kuwajeruhi kuwaumiza na hata kuwafunga lakini wataibuka wengine wengi watakaoongea kwa sauti kali zaidi.. Watu wamechoka sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Toka enzi na enzi hayo yapo na si mapya.....hayajazibadilisha SERIKALI.....

#Never give wisdom to unworthy as it unjust to the knowledgeable [emoji120]
 
kwahiyo siku hizi hamkemei dhambi hadharani mnaenda kuwaeleza na kuwakemea chumbani??? huu kama si us£nge ni nini?? toka mmempa yule kambale wa chato tuzo niliwadharau mpaka leo, hamna kanisa hapo kuna wala sadaka tuu humo. TAG ni useless church
Mkuu naona umegusa nilikopita.
TAG lilikuwa ni kanisa lenye misingi bora kabisa, lskini taratibu Barnabas Mtokambali analipeleka mbali na Mungu.

Rais anapewa TUZO ya corona?
Badala ya kumshukuru Mungu!!!

Hili jambo liliniumiza sana.

Isitoshe akaongea maneno ya hovyo mnoo.
 
huyo binti akae ndani miezi ya kutosha hadi akili zimrudi. kale kakikundi kao kote kanatakiwa kukaa ndani kama njia ya kuwakomboa kutoka kwenye kikundi haramu kinachojiita cha dini.
 
Wewe nawe jaribu kuficha uchi wa akili yako. WAYAHUDI walimuua Yesu na hawakuwa na dola? Pilato, Herode walikuwa viongozi wa Kirumi na ndio walitoa hukumu. Wayahudi walileta mashtaka ya kidini Pilato akaona hayana nguvu ndio wakaleta shtaka la uhaini dhidi ya Kaisari (kukataza watu kulipa kodi na kutomuheshimu Kaisari).

Wewe ni empty sana kama jamaa anavyosema. Biblia inaposema nao walimtoa mikononi mwa mataifa nao wakamsulubisha ina maanisha nini? Je wale askari waliohukumiwa na kumchoma mkuki pale Msalabani walikuwa ni wayahudi?

Pathetic.
Kwanini pilato alinawa mikono kabla ya Kutoa HUKUMU?

Unajua maana ya Wayahudi kusema Damu yake iwe juu yetu na juu ya watoto wetu?

Usijitie ujuaji Kwa usoyajua.
 
Kwanini pilato alinawa mikono kabla ya Kutoa HUKUMU?

Unajua maana ya Wayahudi kusema Damu yake iwe juu yetu na juu ya watoto wetu?

Usijitie ujuaji Kwa usoyajua.
Wewe maamuma tu, wapi wayahudi walipata mamlaka ya kumuua wakati walikuwa chini ya dola la Rumi? Je wangekuwa na uweza na mamlaka ya kumuua kwanini wasingemuua vichochoroni hadi kwenda kumshatki kwa pilato? nani aliidhinisha kuuawa kwake? Je ni nani waliotekeleza mauaji yake? Kuna sehemu wayahudi walimsulubisha zaidi ya kushtaki wakisubiri pilato atoe hukumu? Je kusema hatia ya damu iwe juu yetu ndio utekelezaji wa mauaji? Nakataa wayahudi hawajamuua ila aliuliwa na dola ya Kirumi ila wayahudi walichochea uuaji wake hizo zingije ni blah blah zako tu mkuu.
 
Back
Top Bottom