Mbeya: Mwimbaji wa Wimbo wa "Mnatuona Nyani" afikishwa Mahakamani, tuhuma za Uchochezi zayeyuka yawa kesi ya kusambaza Uongo

Mbeya: Mwimbaji wa Wimbo wa "Mnatuona Nyani" afikishwa Mahakamani, tuhuma za Uchochezi zayeyuka yawa kesi ya kusambaza Uongo

Msanii Sifa Bujune ambaye aliswekwa rumande kwa maelezo kwamba, wimbo wake umejaa Uchochezi , na kwamba angeburuzwa mahakamani kwa uchochezi wake huo, leo amefikishwa mahakamani, baada ya shinikizo la Wanasheria kutaka aachiliwe ama afunguliwe mashtaka.

Bali kinyume na madai ya RPC wa Mbeya ambaye alimpa Bujune kesi ya Uchochezi, Msanii huyo ameshitakiwa kwa makosa ya kusambaza taarifa za uongo, Ajabu!

Hii maana yake ni kwamba RPC wa Mbeya ni Muongo na hafai kuendelea kuwa mtumishi wa jeshi la polisi, Napendekeza Afukuzwe kazi haraka na akamatwe.

Tuishi humo 👇👇
 

Attachments

  • twitter_20210906_160702.mp4
    1.1 MB
State Attorney kaandika "the facts which she knew were false."

BADALA YA: Claims which she knew were false.

Anamtuhumu mtu kwa kutoa "facts za uongo." Anakiri kwamba zilikuwa ni facts!

Huwa namlaumu sana yule Prof aliyebuni kuanzishwa Law School miaka 10 iliyopita (ni marehemu sasa). Ime prove haisaidii kitu. Ali argue kwamba watoto wanatoka chuoni bado vichwa panzi. Tukasema walipaswa warekebishe mafunzo, sio kuongeza ki mwaka kingine cha shule nyingine ya yale yale! We were right. Not to mention mikataba mkenge wanayoliandikia Taifa.
 
State Attorney kaandika "the facts which she knew were false."

BADALA YA: Claims which she knew were false.

Anamtuhumu mtu kwa kutoa "facts za uongo." Anakiri kwamba zilikuwa ni facts!

Huwa namlaumu sana yule Prof aliyebuni kuanzishwa Law School miaka 10 iliyopita (ni marehemu sasa). Ime prove haisaidii kitu. Ali argue kwamba watoto wanatoka chuoni bado vichwa panzi. Tukasema walipaswa warekebishe mafunzo, sio kuongeza ki mwaka kingine cha shule nyingine ya yale yale! We were right. Not to mention mikataba mkenge wanayoliandikia Taifa.
Kwa kadri ya kumbukumbu zangu Law school ilianzishwa na Profesa Sifuni Mchome , bado yuko hai

Niko tayari kusahihishwa
 
Mimi kweli ni Mpinzani Damu na Nyama lakini hawa Vijana wa Mwakipesile wapimwe akili ni Vilaza sana, Ukiwasikiliza hoja zao ni watu Wanaotumika tu hata wanachokizungumza hawakifafanui vizuri.

Wasali waliombee taifa waachane na siasa chafu wanaidharirisha imani yao walipofikia huyo sio Yesu tena ni ni akili za Binadam zinawaendesha.
Wewe nimpinzani wa Nini?(unapinga nini,?)
 
Haki na Aman havitafutwi hivyo, Hao wana Mihemko. Na hii ndo shida ya watu wa Iman wakiamin jambo wanalikomalia haswa bila hata kulitathmin kwa kina.
Nami sidhan kama ni kazi ya Dini kushindana na Serkal wao wakiamua kuingia kwenye siasa waweke gamba la dini pembeni. Yesu hakusolve kwa njia wanazotumia wao.
Mhhhh!!!!?🤣🤣😂😂😂😂🪑
 
Kwa mujibu wa Wakili Jebra Kambole ambaye yuko upande wa utetezi, amesema Watuhumiwa wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi jijini humo kwaajili ya kusomewa Mashtaka yanayowakabili.

Sifa Bujune, Mkazi wa Isyesye anashikiliwa tangu Septemba 13, 2023 pamoja na Mtayarishaji wa muziki aitwaye Ezekiah wakituhumiwa kuandaa wimbo wa “Tanzania Inaelekea Wapi?” unaodaiwa kuwa na maudhui ya uchochezi dhidi ya Serikali.

================



Wakili Jebra Kambole amesema waliosomewa mashtaka watu watatu karika Mahakama ya Hakimu Mkazi Jijini wote shtaka lao ni moja ambalo ni "Kusambaza Taarifa za Uwongo kwa njia ya Mtandao".

Mtuhumiwa wa kwanza na wapili wote ni waimbaji ambao ni Sifa Boniventure Bujune na Salome Mwampeta, wa tatu ni mtayarishaji (prodyuza) Hezekiel Millyashi George.

Amesema "Baada ya kusomewa mashtaka watuhumiwa wote wamekana mashtaka, upelelezi haujakamilika na hivyo wameruhusiwa kupata dhamana kesi yao itarejeshwa Mahakamani Oktoba 3, 2023, tupo tunashughulikia suala la dhamana."

Watuhumiwa walishikiliwa tangu Septemba 13, 2023 wakituhumiwa kuandaa wimbo wa “Tanzania Inaelekea Wapi?” unaodaiwa kuwa na maudhui ya uchochezi dhidi ya Serikali.


Pia soma : Mbeya: Msanii wa Nyimbo za Injili, Sifa Bujune ashikiliwa kwa tuhuma za kuimba wimbo wenye maudhui ya uchochezi
Mamlaka zinatia AIBU
 
Serikali ya CCM imesaidia Sana kusambaza huu wimbo, face book na kwingineko kila mtu anaomba huu wimbo
 
wAAYu9E.jpg
 
Back
Top Bottom