ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Nyani sio mnyama fala ni mnyama mjanja mjanja kwa asili. Naiona hii kesi serekali ikishindwa saa nne asubuhi. Labda huyo muimbaji angesema serekali inawaona mbuzi. Maana mbuzi ni mnyama anayechinjwa bila kelele na mara nyingi hutumika kwenye makafala.