Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,500
- 10,616
Tuonyeshe ya kwako kwanza Ili tukinganishe na ya kwakoHii mikoa nyumba zao nyingi ni dhaifu sana, yaani unaona udongo mtupu kila mahali kwenye kuta nne.
Hizi nyumba nyingi likitokea tetemeko itakuwa maafa.
Huko si ndiko wanakosema ukionekana umejenga nyumba mzuri sana kesho huamki?
Hii mikoa nyumba zao nyingi ni dhaifu sana, yaani unaona udongo mtupu kila mahali kwenye kuta nne.
Hizi nyumba nyingi likitokea tetemeko itakuwa maafa.
Matetemeko mengi tu yanatokea na nyumba ziko imara hazijadondoka. Wacha wivu na dharau kwa mikoa inayolisha Tanzania kwa chakulaHii mikoa nyumba zao nyingi ni dhaifu sana, yaani unaona udongo mtupu kila mahali kwenye kuta nne.
Hizi nyumba nyingi likitokea tetemeko itakuwa maafa.
Asante ChoiceVariable kwa kuleta takwimu hizi. Hii mikoa ni ya kuiheshimu na watu wake wachapakazi.
Siku hizi wanajengea blocks afu hawachapii ili zionekanešššHii mikoa nyumba zao nyingi ni dhaifu sana, yaani unaona udongo mtupu kila mahali kwenye kuta nne.
Hizi nyumba nyingi likitokea tetemeko itakuwa maafa.
Nikategemea jedwali lingekuwa linahusu mikoa yenye kiwango kikubwa cha nyumba bora za makazi kumbe linahusu kipato/vipato?
Utakuwa na pesa ukose nyumba Bora?Nikategemea jedwali lingekuwa linahusu mikoa yenye kiwango kikubwa cha nyumba bora za makazi kumbe linahusu kipato/vipato?
Hela kila mtu anapata kinachozungumzwa hapa kwanini makazi yao ni duni?
Hii mikoa nyumba zao nyingi ni dhaifu sana, yaani unaona udongo mtupu kila mahali kwenye kuta nne.
Hizi nyumba nyingi likitokea tetemeko itakuwa maafa.
Siyo mimi ni mleta mada amesema hapo juu,kuwa na pesa ni kitu kingine kuwa na mwamko wa kujenga ni kitu kingine.Utakuwa na pesa ukose nyumba Bora?
Unataka makanisa yajengee watu nyumba bora?Huko ndio kuna makanisa mengi ya miujiza kuliko viwanda.
kupanga ni kuchagua mkuu,Hii mikoa nyumba zao nyingi ni dhaifu sana, yaani unaona udongo mtupu kila mahali kwenye kuta nne.
Hizi nyumba nyingi likitokea tetemeko itakuwa maafa.
Wewe nimekaa mbeya miaka zaidi ya 10 years agoUmepita Mara moja tu lakini unamdomo njia nzima...Mara foleniš“