Mbeya na Kanda ya Ziwa ziwe semi-autonomous kama Zanzibar!

Watu wa kilimanjaro wamejiletea maendeleo bila kuitegemea serikali, nenda kila kona ya nchi hii unawakuta kina mangi wanafanya biashara na wanapush maendeleo ya nyumbani kwao hasa upande wa elimu ndio maana leo hii kilimanjaro ndio mkoa wenye shule nyingi

Wakati serikali inaanza kampeni ya kua na shule ya sekondari kila kata wao walikua na zaidi ya shule mbili kila kata na kila mwaka wanaongeza shule kwa nguvu zao hawaitegemei serikali

Hospitali ya mawenzi haikujengwa na serikali ilijengwa na wakulima wa kahawa

Hospitali ya KCMC waliijenga kupitia KKKT

Hawa watu ni kweli hawana raslimali ya maana mkoani kwao ila wana uwezo mkubwa wa kujiongeza, angalia sehemu yoyote yenye fursa wanawahi chapu

Tujifunze kutoka kwao hao jamaa wana tabia za kiisraeli

Mbeya hoyeee sema nako wamejazana balaa hawa kina mangi
 
Una hakika huyo nyerere alikuwa sio mkabila na mdini fuatilia huyo alikuwa mdini sana ndo kaharibu balance imeanza kwa magufuli ndo alikuwa na hakk sawa ila sio nyerer na wengine
Hahahahahaaaaaaa huyu aliyevunja nyumba za watu kimara kukiwa na zuio la mahakama ila akazuia mwanza wasivunjiwe kisa wasukuma wenzake? Baraza la mawaziri la magufuli muslims walikuwa wanne tu na asilimia 80 ilikuwa wakatoliki??? Punguza mahaba angalia uhalisia maana mpaka masheikh waliliongea hili wakaambiwa waache uchochezi
 
Hivi wewe unajitambua kweli? Hata tajiri mkubwa wa Tunduma ni msukuma! Lodge kibao hapo border ni za wasukuma! Kwa ujumla Mbeya wasukuma wanakamata uchumi kwa sehemu
kubwa!
Sasa kwa nini msiendeleze kwenu mnaenda kuendeleza kwa watu halafu mnalialia
 
Wasukuma matajiri ni wachache sana na hawana msaada wowote kwa wasukuma maskini hohe hahe ambao ni wengi mno na hata kusoma tu hawajui, au unamaanisha kumiliki ngo'mbe 100 ndio utajiri huko usukumani
 
Acha matusi maendeleo yanaletwa na elimu, kua na raslimali huku huna elimu nayo ni kujidanganya au unafkiri maendeleo ni kua na barabara ya lami na mataa ya barabarani?

JPM kapeleka lami mpaka chato kaweka na mataa barabarani huko vimewasaidia nini??

Somesheni watoto acheni kuwachungisha ng'ombe
 
Hahaha ukute wakati unaandika umekula zako Ugali mkuubwa na Sato wako mwenyewe halafu pembeni kaparachichi kako ladha imekolea umeona ulete uzi….
Mkuu acha ubinafsi tutapata wapi parachichi na sato sie
 
Yule Jamaa naweza mwita Godfather of Brainwashing yani mpaka sasa kazi yake ya kutukuka bado inaonyesha matokeo chanya
 
Naelewa hilo ila nyerere alipiga uislamu mwanzoni kabisa na kuupoteza kweny ramani
 
CCM haiwezi kuruhusu utawala wa majimbo kwasab kama hizi licha ya faida zake.Hakuna kanda itakayoruhusiwa kujitenga,CCM ipo tayari kui-release zanzibar kuliko kumegwa kwa eneo la BARA kwasab yeyote..
 
Tuweke sheria pesa inapokusanywa ibaki na itumike hapo hapo at least 50% kuleta maendeleo eneo linalohusika, zinazobaki ndio ziende serikali kuu, watu watajituma na kuona maendeleo ya haraka sana
 
Hapa tunaongea kujifurahisha tu.lakn project ya kujitenga au kupewa autonomy.ni Jambo lisilowezekana.kama Z'bar imefeli kujitoa mkoa upi utaweza..halafu coalition ya wasukuma, wahaya na wakurya ni wapi na wapi? watawezana kweli..labda useme Tabora, Mwanza, Shy, simiyu, na Geita.
 
Udhaifu wa huyu mama utatuletea balaa.

Hamjifunzi yanayotokea Tigray nchini Ethiopia.

Enzi za Chuma haya mawazo ya separatism usinge yasikia, hata hao watani zangu wa kaskazini walikiona Cha Moto kwa kuhisiwa tu.

Tujifunze kwa wachina, spirit ya separatism kwao ni moja ya mihimili mitatu ya uovu.
 
Ficha ujinga wako, ata mwanza wangebomolewa kama kungekuwa na mradi unapita, magorofa mangap na nyumba ngapi mwanza zilivunjwa kwenye upanuzi wa barabra ya njia nne ya makongoro, Kwahiyo mradi usifanyike kisa kukwepa nyumba za watu au ulitaka wakazi wa mwanza wabomolewe nyumba zao bila sababu? Chuki hazitakusaidia punguza upumbafu.
 
Hamchangii hata asilimia 10 kwenye pato la taifa
Utakuwa na shida ya akili punguwani mkubwa mwanza pekee inachakia 15% bado hujaweka mikoa mingine ya kanda ziwa, una fuvu lililojaa matembele
 
Huu ni ufedhuli wa hali ya juu sana, Zanzibar ni mshirika na Tanganyika kuunda Tanzania. Unawezaje kuifananisha Zanzibar na Mbeya?
 
Una bwabwaja sana kama mwimba taarabu, Maendeleo ya Tanzania unayoyaona leo kanda ya ziwa ina mchango wa asilimia 70%, kanda ya ziwa ndio sehemu ilijaliwa wasomi wengi na maprofesor wa mwanzo walitoka huko.
 
Zanzibar tangia hapo kabla ya muungano ilikuwa ni nchi kamili lakini Mbeya na hiyo Kanda ya ziwa hazijawahi kuwa nchi,wazo lako la kutaka zijitawale zenyewe ni pa kipuuzi halafu halina mashiko.
 
Ipo haja yaKusikilizwa maoni haya akati bado Watu hawa wanaweza kudhibitiwa na kuzingatia wazo lao. na kuanza kufanyika Mchakato wa kutanua wigo wa kiutawala kabla fikra hizi hazijafiki kiwango cha kutoweza kudhibitika.

Wenye akilizao timamu hutegemea sana dalili za mgogoro kutatua migogoro, hawasubiri minyukano kikwete alijaribu mfumo huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…